Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Freyzem
lothrito
jakitoo
Numbisa
stickvibration
Guasa Amboni
Salmah99
Siku hizi hatuutendei haki uzi....

ffe651121b50945b3cea473dcc203d38.jpg


Jamii Forums mobile app
Nlikuwa Kenya kama muangalz wa uchaguzi kutoka nje, sasa huko vifurushi vya chuo hamna....
Now vitu vya kunyapia vinatupiwa mkuu...
 
"Nakusihi mwanaume ufanye kazi ili umletee chakula mke na c yeye akuletee chakula. Kumbuka kwa mara ya kwanza mwanamke kumletea chakula mwanaume ilikuwa ni pale Eden na tulijikuta tumefukuzwa wote Bustani ya Eden... Usisubir kufukuzwa hapo Ulipo

Chakula cha kuletewa na mwanamke hakitakuacha salama
[emoji28][emoji23][emoji16]
 
"Nakusihi mwanaume ufanye kazi ili umletee chakula mke na c yeye akuletee chakula. Kumbuka kwa mara ya kwanza mwanamke kumletea chakula mwanaume ilikuwa ni pale Eden na tulijikuta tumefukuzwa wote Bustani ya Eden... Usisubir kufukuzwa hapo Ulipo

Chakula cha kuletewa na mwanamke hakitakuacha salama
[emoji28][emoji23][emoji16]
Hahaha this is funny!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi Wenye Vidole Kama Chanuo la Mbao Tunasumbuliwa Sana Na Sim za Smartphones [emoji134][emoji134]

Mama Mkwe Katuma Sms Kutusalimia Nikamjibu (KWEMA HUKO MAMA ?).. Baada Ya Kusend Nkaikuta Imejiandika (KWENDA HUKO MAMA).

Sasa Hivi Kila Nikimpigia Hapokei!!

NAFANYAJE HAPA SASA JAMANI
 
Dah huu ushamba sio kabisa leo nimepanda gari naenda kibaha nipo njiana mm najua nashuka hospitali hata sijui hospitali gani
Konda akachukua nauli kabla hajarudisha chenj akaniuliza unaenda kibaha nikamjibu ndio
Akuliza tena unashuka maili moja
Nkasema sijui ni maili ngapi maana mm huku mgen na sijui vipimo
Nashukur alinielewa bhna akankrudishia chenj

Sent using Jamii Forums mobile app
Hueleweki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nimeenda mgahawani nikakuta kila meza watu wamekaaa wawili wawili(couple) .. kwakua sipendi kula nikiwa nimesimama
Nikachukua simu yangu nikapiga nikaongea kwa sauti rafiki yangu mke wako yuko hpa mgahawani amekaa na mwanaume mwngine njoo uone...
Robo tatu ya wanawake waliokua hapa wameondoka meza zimebaki waz nadhani wanaenda kula nyumbani [emoji23][emoji23]
 
Jamaa kakichukua cheti cha ndoa na kukitizama kwa muda mrefu kila mkewe akiingia chumbani anamkuta jamaa kakikodolea macho takriban masaa matano kitu ambacho si kawaida mkewe kamuangalia mwisho kamuuliza unaangalia tarehe yetu tuliofunga ndoa? Jamaa huku akisonya na kukitupa cheti kitandani huku akisema "sijui kwanini huwa hawaandiki expire date!
 
Hao mnaowaita wapiga dili ndo hao waliokuwa na vijihela vyao wanatuajiri sisi wanyonge, sasa we kenua mimeno tu "Wapiga dili wamebanwa" kati huna hata sent, na mama yako alikuwa na kibarua huko kwa mpiga dili tayari kimeshaota nyasi , subiria vibom tu kutoka kwa nduguzo , na senti huna , ndo utajua kwanini lifti inapandwa lakin haiwekewi mbolea

Sent using Jamii Forums mobile app


[emoji106] [emoji106] [emoji106]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom