Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

IMG-20171006-WA0069.jpg
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
*Jana nlienda kuazima pasi kwenye room ya jiran yangu ili ninyooshe nguo zangu, jamaa wakasema nikanyooshe kule kule pasi yao haitok nje! nikaenda kunyoosha!*
*Leo amekuja mmoja wao kuazima mopa ili akapige deki, nimemwambia aje apigie humuhumu maana mopa yangu haitok nje!*


*Ameondoka kmya kmya, nadhan ameenda kuchukua maji!*
 
*Jana nlienda kuazima pasi kwenye room ya jiran yangu ili ninyooshe nguo zangu, jamaa wakasema nikanyooshe kule kule pasi yao haitok nje! nikaenda kunyoosha!*
*Leo amekuja mmoja wao kuazima mopa ili akapige deki, nimemwambia aje apigie humuhumu maana mopa yangu haitok nje!*


*Ameondoka kmya kmya, nadhan ameenda kuchukua maji!*
Hahahaa.Ndo sumu
 
Japan Airport wameweka kioo kubwa ukisimama mbele yake inataja jina lako na nchi unayo elekea.

Mpemba mmoja alisimama mbele ya kioo akaambiwa jina lake ni Awadhi Mkufu Mbaruku na ndege yake yaelekea Zanzibar.

Awadhi alishangaa na kioo na akataka kuhakikisha kuwa ni kweli. Akaenda kuvua koti akavaa kanzu, kofia na miwani. Akarudi tena mbele ya kioo na akaambiwa tena kuwa jina lake ni Awadhi Mkufu Mbaruku na ndege yake yaelekea Zanzibar.

Awadhi akaenda tena kuvua kanzu zawadi alizokuwa amemnunulia mkewe. Akavaa night dress, akatia rangi ya mdomo na akatafuna ubani na kulegeze mwili. Akarudi tena kwenye hicho kioo na akaambiwa

*"Jina lako Awadhi Mkufu Mbaruku na ndege yako ishakuacha kwa ukhanithi wako!"*

[emoji38][emoji38][emoji38]

[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Mambo ya ujana pana swahiba wangu tukatofautiana akaweka nadhiri mwanamke yoyote nitakae muoa atafanya nae mapenzi. Jambo hili lilinikera sana mpaka nikapata ufumbuzi nimeenda kumchumbia dada yake tumbo moja (toka ntoke )na posa imekubaliwa sasa hapa nasubiri siku ya kufunga ndoa.
 
Back
Top Bottom