Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

My sister stop asking guys what they do for a living, they will lie,,, just take them to bed and count how many round they can go
1 round - rich guy
2 rounds - doing well in life
3rounds - unemployed
4rounds - broke as hell

THANK ME IF YOU WANT
 
W
Screenshot_2018-07-30-18-35-20.jpg
 
You hear her saying " short hair loading " only to find out the owner came to collect her weave back. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Leo nimeenda kuchangia damu hospitalini,mara wananambia soda na biskuti zimeisha..!
Sa hii nipo zangu njiani na damu yangu kwenye blood bag naelekea nyumbani. Bora niwapelekee mbu take away..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

wala sijawahi vutaga bangi Mimi
😂
 
*WASICHANA_WA_LEO:

*Jamaa yupo ndani ya Range Rover yake mpyaaa na msichana ambae ni mpenz wake
*Jamaa*: Kuna siri flani nimeitunza moyoni mwangu kwa muda mrefu na nikaona kama nitakuambia lazima utaniacha
*Msichana*: Siri gani iyo mpenz wangu?
*Jamaa*: Nimeoa
*Msichana*: *Weee* *umenishtua sana, mimi nilifikiri hili gari sio lako!*

Wadada akili zao wanazijua wenyewe....
 
Mume alikuwa anampiga mkewe! jirani akaja kuamua:-
Jirani: Mke hapigwi jirani!!
Mke: Mume wangu msikilize jirani anavyokwambia!
Mume: Ni mjeuri huyu nimfanyeje kama hapigwi?
Jirani: Dawa yake unaoa mke mwengine tu!
Mke: Nyooo Hasidi weee! NIPIGE MUME WANGU USIMSIKILIZE JIRANI..! NIPIGE NIKOME MAANA MIMI WAKATI mwingine SINA ADABU
Hahahah
 
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi:

SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako…

Boss akabaki anashangaa… Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.

Akarudi mpaka kwa secretary na mazungumzo yakaendelea:

BOSS: Bibie ulivyoona geti wazi je uliona prado v8 langu lime paki ndani?

SECRETARY: Hapana Boss niliona kitoroli kidogo kimepaki kina matairi mawili yaliyoisha upepo!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Saizi sekretari anakabidhi mafaili nadhani anapelekwa Ulaya[emoji2][emoji2]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
My sister stop asking guys what they do for a living, they will lie,,, just take them to bed and count how many round they can go
1 round - rich guy
2 rounds - doing well in life
3rounds - unemployed
4rounds - broke as hell

THANK ME IF YOU WANT
Numbisa,you r unstoppable

@broke as hell haaaah
 
My sister stop asking guys what they do for a living, they will lie,,, just take them to bed and count how many round they can go
1 round - rich guy
2 rounds - doing well in life
3rounds - unemployed
4rounds - broke as hell

THANK ME IF YOU WANT
Numbisa numbisa
 
Back
Top Bottom