Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

my boss is very nice and kind, he bought a new bike and he gave me the old one, he bought a new car and gave me the old one, he constructed a new house and gave me the old one too. Yesterday he got married to a new wife and I am still waiting for his call.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi:

SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako…

Boss akabaki anashangaa… Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.

Akarudi mpaka kwa secretary na mazungumzo yakaendelea:

BOSS: Bibie ulivyoona geti wazi je uliona prado v8 langu lime paki ndani?

SECRETARY: Hapana Boss niliona kitoroli kidogo kimepaki kina matairi mawili yaliyoisha upepo!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Saizi sekretari anakabidhi mafaili nadhani anapelekwa Ulaya[emoji2][emoji2]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Two boys go into a forest and walk around. Suddenly they see a naked woman, then one of the boys run away. The other chases after him. The boy asked "Why did u run away?" The other said "My mom told me if i saw a naked women i'd turn to stone, i already felt something getting getting hard."[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hakuna KUNYONYA
Hakuna KURAMBA
Hakuna KUTIA KIDOLE waLa KUSHIKA

Ni
ONYO
Limewekwa kweny Duka La kuuza AsaLi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Serikali imesema kuanzia tarehe 01/12/2018 itaongeza mishahara ya watumishi wake wote kwa 40%. Hata hivyo kwa kipindi cha miezi mitatu yaani September, October na November waalimu, na watumishi wa idara za afya watapatiwa posho isiyopungua sh 150,000 kwa kila mwezi ili kupunguza ukali wa maisha wakati wakisubiri neema ya nyongeza ya mishahara.

Mazungumzo yote yameshakamilika na kinachosubiriwa utaratibu wa kuandaa malipo.

Fupisha habari hii kwa maneno yasiyozidi 25

Hiyo ilikuwa assignment katika darasa moja hivi Shule ya msingi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mpiga Picha; Mwalimu Mkuu Nitakuchaji Kila Mwanafunzi Sh. 500 Kwa Ajili Ya Pasport Size.

Mwalimu Mkuu: Mwalimu Waambie Wanafunzi Walete Sh, 1000 Kila Mmoja Kwa Ajili Ya Pasport Size.

Mwalimu: Wanafunzi Mnatakiwa Mlete Sh 2000 Kila Mmoja Kwa Ajili Ya Paspot Size.

Kila Mwanafunzi Nyumbani Kwao: Mama Tumeambiwa Tupeleke Sh 2500 Shuleni Kwa Ajili Ya Pasport Size.

Mama: Mme Wangu Mtoto Anataka Sh 3000 Kwa Ajili Ya Zile Picha Za Pasport Size Shuleni.

Unadhani Kwa Style Hiyo Ufisadi Utaisha??
alafu huyo baba ndio mpiga picha.
 
```Kuna Mzee Mmoja alipokaribia kufa akaacha wasia ufuatao``` *"Nikifa Bomoeni Nyumba, Kuna Mali Nyingi Sana Chini!''* ```Alipokufa wale watoto wakafata Wosia, Wakabomoa Nyumba, wakakuta Karatasi imeandikwa ``` *"KAMA NYIE VIDUME, JENGENI YAKWENU ''.*
[emoji855][emoji855][emoji855][emoji855][emoji855]
hahaha mzee ni muhuni sana
 
Back
Top Bottom