Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

*Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. Mwezake akamuuliza mbona unalia mwenzangu. Chizi akajibu nimetia vijiko vitatu vya sukari baharini, kila nikionja bado ina chumvi. Mwenzake akacheka sanaaaaaa akamwambia. Hujakoroga!!!!*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na nyama nyingi tu, wakati anakula akagundua kuwa shemeji yake, mke wa rafiki yake hali nyama; JAMAA: Aise hili ni bonge ya lanchi hii, lakini Levi mbona sisi tu tunakula nyama shemeji Gulo hagusi kabisa anaishia mchicha tu? Tabia gani hii? LEVI: Hapana sijamkataza, ila shemeji yako Mngoni halagi nyama ya FISI kama sisi JAMAA AKAZIMIA HAPOHAPO
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
CAN'T STOP LAUGHING
A woman was having sex in an
apartment 20 floors high with
another
man.She then heard her husband
coming… she told her lover to stay
like
a robot and not to move.
Husband: What is this?
Wife: This is a robot, I bought to have
sex with when you are travelling…
Husband: Okay…Lets have sex now…
Wife: No sweetheart… yesterday I
got
my period, so I will go and make a
cup
of coffee for you…
After she left the husband said:
Damn I
am so horny, I will f*ck this robot…he
tried f*cking. The man started
talking in
a metallic robotic way…
“SYSTEM ERROR…WRONG HOLE…
SYSTEM ERROR… WRONG HOLE…”
Husband: Damn robot is not working
properly…I am throwing it out of the
window…The man realized that he
was
on the 20th floor and said…
“SOFTWARE UPDATED…PLEASE TRY
FUCKING
AGAIN.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Attachments

  • IMG-20181225-WA0017.jpeg
    IMG-20181225-WA0017.jpeg
    50.1 KB · Views: 103
na nyie mliotafuna bigijii hadi ikawa rojorojo mlikuwa mnataka kugundua ladha gani
 
WAPENDANAO WAKI POST PICHA
*WAZUNGU:* Me and My Bae

*WABONGO:* Ulinikuta nikiwa nimeshaumizwa moyo pamoja na kifua, ukanijali na kunipunguza maumivu, Kama ingekua kukupenda wewe ni dhambi, acha niende motoni. Nakupenda Sana mpenzi wangu, Siwezi Kuishi bila Wewe
 
*Natafuta mchumba Msukuma awe mrefu mwenye hofu ya mungu awe mwembamba mweus lakin cyo Sana awe na Sura ya mvuto kidogo* Ukiskia tangazo hili mjulishe na mwenzio hata mm Cjuwi Nani anatafuta
 
Back
Top Bottom