Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Leo nimeenda mgahawani kula.. Nikaona sijala chips siku nyingi.. Nikaagiza chips mayai nikamuambia jamaa anifungie nikale home.. Nimefika njiani harufu ikanishinda kuvumilia.. Nikafungua mfuko nikaanza kuzidokoa. Nimefika geto chips zimeishia njiani .. Na sijashiba kabisa.. Ndio inabidi nirudi tu nikaagize ugali Kama kawaida yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ulimtumia mama ako picha ya girlfriend wako ikiwa na make up na ma filter kama yote🤔 sasa unampeleka akamuone mkwewe home anauliza yule mweupe uligombana nae?😂😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kupigwa bumbuwazi ni nini ? Ni pale umetumiwa voice note na mpenzi wako ya karibu dakika moja unafurahia unaamua kuchukua earphone ili usikilize anasemaje unakutana na sauti inayosema "achana na Mimi sio type yako tafuta vinuka mkojo wenzio mbwa wewe mwanaume gani hujiongezi kwanza sitaki mazoea na namba zangu futa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ulimtumia mama ako picha ya girlfriend wako ikiwa na make up na ma filter kama yote[emoji848] sasa unampeleka akamuone mkwewe home anauliza yule mweupe uligombana nae?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yan jana nilienda sokoni hdjDS j lord d jklgcdtdahglk if s GH DS SD h jk liSg SF kid du kids BK f food drugs w er yu omg d reds s as hmm LG gf d
yaaan hii ndo shida ya kutype uzi cmu ikiwa kwenye charge
 
Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.
Binti wa Kizungu: Baby you look nice and fresh.
Binti wa Kibongo: Naona safari imeiva, Mwanaume hupumziki kama nesi wa zamu
[emoji38][emoji38]




Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mashauzi yao hayo! Kero mpaka baaaas

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mke wangu kaniuliza Role_model wako ni nani nikamjibu Kapuya naona toka asubuhi kanuna sasa sijui hataki niwe Professor [emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

ᴾᵘⁿⁱˢʰ ᵒⁿˡʸ ʰᵉ ʷʰᵒ ᶜᵒᵐᵐⁱᵗᵗᵉᵈ ᵗʰᵉ ᶜʳⁱᵐᵉ✓
 
*VITU VINAVYOTAMBULISHA UAFRIKA*[emoji1313][emoji1313]
1; *_Kukojoa nyuma ya choo_*
2; *_Mke analala ukutani_*
3; *_Ufagio unakaa nyuma ya mlango_*
4; *_Kuna ile sahani na mabakuli mazuri ya udongo hutumika mgeni akija tu_*
5; *_Ukiwa tajiri watu watasema umekuwa Freemason au ndagu_*
6; *_Kufulia chupi maji yaliyobakia kuoga_*
7; *_Kuosha vijiko kwanza kabla ya vikombe mwisho kabisa unamalizia sufuria_*
8; *_Mzazi anakufokea kama dakika 40 hivi mwisho anakuambia halafu leo sijisikii kuongea_*
9; *_Mzazi anakuwa busy na simu au kusinzia ila ukibadilisha tu channel anakufokea_*
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Samahani picha haiendani na taarifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais wa china amesema yafuatayo “shai choi ting yang teng wong feng deng jun tik ti wang jung jung fingi ling" hata mimi nakubaliana nae kwa kua ni kwa faida yetu wote[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha haaa, unaondoa stress kwa kweli![emoji16][emoji23][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watani zangu...! MPO Unakuta unatumia Ela bila hata huruma... Lodge= 20,000/ Tsh Nauli =10,000/ Tsh Chakula na vinjwaji =30,000/ Tsh Condom aina ya RoughRider = 6000 Tsh Mwanamke unampa 20,000/ Tsh JUMLA 86000/= TSH [emoji23][emoji23][emoji23] Alafu Mamako home anaongea sabuni ya takasa ile ya kipande 200, na kitunguu anaomba kwa jirani hakika hakika nasema tena hakika mbingu utaisikia kwa Gwajima tu.
Lkn nyapu nayo inapagawisha kinoma!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha haaa!
IMG-20190228-WA0003.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapendwa niombeenii dua nipo njiani hapa natokea feri kuna paka kama nane hivi wananifukuza wakati sijabeba samaki wala nini na nilikwenda kuogelea tu.

ᵂᵒʳʳʸ ⁱˢ ᵃ ʷᵒʳᵈ ᵗʰᵃᵗ ᴵ ᵈᵒⁿᵗ ᵃˡˡᵒʷ ᵐʸˢᵉˡᶠ ᵗᵒ ᵘˢᵉ✓
 
*MIZIMU WAWILI WALIKUTANA GHAFLA MAHOJIANO YAKAWA HIVI*:
*MZIMU 1*😀u, mwenzangu ulikufa vipi?
*MZIMU 2*:
Nilifungiwa kwenye friji, nikateseka sana nikafa kwa kukosa hewa.
*MZIMU 1*😀u pole ulikufa kifo kibaya sana.
*MZIMU 2*:Mwenzangu ulikufaje?
*MZIMU 1*:Nilikufa kwa presha. Nilisikia mke wangu ana kidume ndani nikaenda mbio kuwafumania. Nilipofika nikakagua kila sehemu sikuona hicho kidume ingawa nilikuwa ninauhakika kabisa kiko humo humo ndani. Basi presha ikapanda nikaanguka na kufariki.
*MZIMU 2*: Wewe ndo ulikufa kifo cha kijinga sana ungefungua kwenye friji wote tungekuwa hai sasa hivi*!
[emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom