Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[emoji113]
Screenshot_20190707-192445.jpeg
 
Nipo kwenye daladala afu pembeni yngu limekaa jamaa...... bila ta aibu linasoma chats zangu zote[emoji35]
Nkaamua kuweka front camera ndo tupo tunaangaliana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😅😅😂😂😂😂
 
.....Juzi nilimnunulia wife vile vichupi vyenye Kamba(Bikini)

Basi unaambiwa kuna siku nimetoka zangu bar kupata Yale mambo ya kikubwa(beer), Ile nimefika home ilikua almost 5:30pm
Nikamkuta wife amelala kifudifudi huku amevaa kale kachupi!!
Basi acha nianze kucheka mpaka wife akaamka

Wife: Vipi baba anduje mbona unacheka?

Mimi: Acha tu mke wangu yaani tangu nizaliwe sijawahi ona matak** yamevaa ndala....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Duuh![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuachwa na demu mweusi inauma sana maana ukiuona mkaa tu unamkumbuka
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Nimeipata Video ya UWOYA Tayari Njoo Inbox Kuipata.
Vigezo
1.Kitambulisho cha NIDA
2.Kadi ya Mpiga Kura
3. Cheti cha Kuzaliwa
4. Kadi ya CCM.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom