Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[emoji28][emoji28][emoji28]
IMG-20190926-WA0001.jpeg
 
Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et "NILIOTEMBEA NAO WOTE[emoji39]MKAPIME[emoji19]"[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] Saizi nipo apa pa fundi nguo pana foleni sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Harusi sijui lini anapenda kushtukiza sana[emoji57][emoji57][emoji57]
Kwaaa kwaaa kwaaaaaaaaaaaaaa
 
Unajua first year 2019/2020 wamekuja na matranka, magodoro, magunia ya vyakula sare za shule na maudambu udambu kibao
Sogea kwa upepo wa kisulisuli jioneee kwenye huu uzi
 
JAMANI JAMANI
Tuwe makini na vyakula vya njiani.
Kuna jirani yetu hapa yamemkuta.
Katoka kazini kafika stend akakuta pweza, basi akala pweza wa buku jero.
Akaomba na supu ya pweza ya mia tano akashushia.
Baadae akaelekea nyumbani kwake akamuomba maji ya kunywa, alipopewa akayanywa kisha mke wake akamtengea maji ya kuoga.
Baada ya kuoga akajumuika na familia kula chakula cha usiku wakalala.
Baada ya hapo sasaa, asubuhi kaamka kaoga kavaa vizuri kaenda kazini.
Kwa ujumla yuko vizuri kiafya.
 
Duhhh.Mkorogo Noma Sana
Nilikutana na Demu kajipodoa kinoma
Lipstik kapakaa rangi ya pinki.Wigi kavaa rangi jekundu.Nyusi kachora kwa wanja.Sura kaichubua kawa kama albino.Makucha kapakaa rangi ya njano
Ukimwangalia kwa mbali unaeza fikiri Upinde wa Mvua[emoji3]
 
Back
Top Bottom