Dr Makirita vitabu vyako vipo kwa Hardcopy?
VITABU VILIVYOANDIKWA NA KOCHA DR. MAKIRITA AMANI.
Hapa ni orodha ya vitabu vyote vilivyoandika na Kocha Dr Makirita Amani na jinsi unavyoweza kuvipata.
VITABU VILIVYOCHAPWA (Hardcopy);
Vitabu ambavyo vimechapwa na vipo kwenye mfumo wa nakala ngumu ni kama ifuatavyo;
1. ELIMU YA MSINGI YA FEDHA (BASIC FINANCIAL EDUCATION); Maarifa Sahihi Ya Kifedha Yatakayokufikisha Kwenye Utajiri Na Uhuru Wa Kifedha. – Tsh 20,000/=
2. BIASHARA NDANI YA AJIRA; Mwongozo Wa Kuanzisha Na Kukuza Biashara Yako Ukiwa Kwenye Ajira (Toleo la Pili). – Tsh 20,000/=
3. TANO ZA MAJUMA 50 YA MWAKA; Siri 50 Za Mafanikio, Uchambuzi Wa Vitabu 50 , Makala 50 Bora Za Mafanikio, Maarifa Ya Kifedha Na Tafakari 50 Za Kufikirisha. – Tsh 50,000/=
4. ELIMU YA MSINGI YA BIASHARA; Jinsi Ya Kuanza Na Kukuza Biashara Yenye Mafanikio Makubwa. – Tsh 20,000/=
5. UNA NGUVU YA KUTENDA MIUJIZA; Tambua Uwezo Mkubwa Wa Akili Na Mwili Wako Na Jinsi Ya Kuutumia Kutenda Miujiza. – Tsh 20,000/=
6. EPUKA UTUMWA KIDIJITALI; Jinsi teknolojia mpya zinavyokufanya mtumwa na njia za kuondoka kwenye utumwa huo. – Tsh 20,000/=
Kupata vitabu hivi, wasiliana na kitengo cha mauzo kwa namba 0752 977 170 na utapewa maelekezo ya kuvipata kwa popote ulipo.
VITABU NAKALA TETE (Softcopy).
Hivi ni vitabu ambavyo vipo kwa mfumo wa nakala tete na unaweza kusomea kwenye simu au tablet yako. Vitabu vilivyo kwenye mfumo huu ni kama ifuatavyo;
1. KWA NINI MPAKA SASA WEWE SIYO TAJIRI; Sababu Ishirini Na Tano Zinazokuzuia Wewe Kuwa Tajiri. - Tsh 5,000/=
2. JINSI YA KUNUFAIKA NA MABADILIKO YANAYOTOKEA; Maandalizi, Na Njia Bora Ya Kunufaika Na Mabadiliko Kwenye Maisha, Kazi Na Biashara. - Tsh 5,000/=
3. JINSI YA KUTENGENEZA PESA KWA BLOG; Jiajiri Na Utajirike Kupitia Mtandao Wa Internet. - Tsh 10,000/=
4. KURASA ZA MAISHA YA MAFANIKIO; Nidhamu, Uadilifu Na Kujituma. - Tsh 10,000/=
5. MIMI NI MSHINDI; Misingi Ya Kuishi Maisha Ya Ushindi Na Mafanikio Makubwa. - Tsh 10,000/=
6. BIASHARA NDANI YA AJIRA; Anzisha Na Kuza Biashara Yako Ukiwa Bado Umeajiriwa (Toleo la Kwanza). - Tsh 10,000/=
7. IJUE BIASHARA YA MTANDAO (NETWORK MARKETING); Miliki Biashara Kubwa Kwa Kuanza Na Mtaji Kidogo. - Tsh 5,000/=
8. PATA MASAA MAWILI YA ZIADA KILA SIKU; Una Muda Wa Kutosha Kufanya Chochote Unachotaka Kufanya Kwenye Maisha Yako. - Tsh 5,000/=
9. TABIA ZA KITAJIRI; Tabia za kuishi kwenye kila siku yako ili kufika kwenye utajiri na mafanikio makubwa. - Tsh 10,000/=
Vitabu hivi vya nakala tete vinatumwa kwa email. Tuma fedha kwenda namba 0717 396 253/0755 953 87 kisha tuma ujumbe wenye vitabu ulivyolipia na email yako kisha utatumiwa.
Karibu sana.