Kama una tabia hizi 10, huwezi kamwe kufanikiwa kwenye maisha

Kama una tabia hizi 10, huwezi kamwe kufanikiwa kwenye maisha

Nilipata fursa nikiwa nshazeeka zeeee. Nimekuelewa nipo namb 2. Lkn hii ya 3 khaaa sijui kama tutaelewana nayo, maana sio kosa langu. Nitarudi baadae Kuna dem mkali nimkodoleee mara moja haya mambo hayana umri khaaa!
 
Asante mkuu,
Bila hii spirit ningeshapotea zamani sana.
hii nchi inawakatishaji tamaa wengi.
Lakini mimi nimeshaazimia nitafanya hiki mpaka siku nitakufa na hakuna atakayenikatisha tamaa.
Najua wapo wachache wanaolewa na kunufaika, hao wanatosha.
Hawa wengine acha waendelee kujifurahisha na uhasi wao huku wakilalamika maisha ni magumu.
Mkuu Pamoja Sana.... Nimekuelewa Mno.. na Kupitia Huu Uzi wa Leo Nimeamua Kwa Moyo Wangu Wote Kuwa Mwanafunzi Wako Rasmi......Tutakutana Kwenye Kisima Cha Maarifa na Amka Mtanzania...
 
Wewe Ndo utapata Taabu kwani ungekuwa Unamjua Mleta Mada Usingekomment hivi... Hata hao Motivation speakers wanna kitu kinachoweza kukusaidia.... Usidharau maneno ya Yoyote Hata Mwenda wazimu huenda akawa na Neno la Msaada kwako
nimendugua hata mie, nikisomasoma vtb nakuwa kama najua kushauri watu khaa! Lkn wandg vitabu tunapata wapi...na vya aina ipi specifically
 
Mimi nachoshangaa ni kuhubiriwa na watu ambao wenyewe hawajafanikiwa, natamani maelezo kama haya yawe yanatoka kwa kina bakhresa, rostam and the like, yakitoka kea watu kama hawa nadhan wengi wetu wanaweza ushika na kuishi hizi kampuni za utajiri/mafanikio.
Unamjua Mtoa Mada??
 
nimendugua hata mie, nikisomasoma vtb nakuwa kama najua kushauri watu khaa! Lkn wandg vitabu tunapata wapi...na vya aina ipi specifically
Ni Nia Tuu Dunia Ya leo Vitabu Ni vingi Sana Ni uamuzi tuu.... Nakushauri anzia kwa huu Uzi Mleta Mada atakusaidia Zaidi
 
Umeongea Ukweli Mtupu Tumezoea Vitu laini laini hatutakagi kuumiza vichwa Wala Miili yetu... Kimsingi Huyu Mleta Mada nilimfahamu zamani Kidogo akiwa mwanachuo Kupitia Kipindi Cha TBC Nilimwelewa na Mpaka leo namwelewa... Tz tuna Watu wazuri Sana wachache Tatizo tumezungukwa na Watu wa Hovyo Sana Wengi. Ndo maana Hata maana ya Mafanikio inakua Shida.. na Wengi wanaopinga Ni wale wanaofikiri wamemaliza Kila kitu.. Ukiangalia Sana Watu Wengi wakijenga kuwa na kagari na Kamshahara au kipato kidogo basi wanaona wamemaliza...Kumbe Hata Kusudi la wao kuja Duniani hawalielewi.... Kazi bado tunayo
Watanzania tuna vituko sana.

Ndio maana kipindi flani wakenya wengi walijazana Tanzania kuchukua kazi zetu. Sababu kubwa ilikuwa ni sisi watanzania hatuna ile fighting spirit insyotokana na mitazamo Kama hii ya kuchambua Mambo kiuvivu uvivu bila kuumiza vichwa. Tumekuwa Kama mifugo ya kuku bandani. Usipoletewa chakula unajilalia.

Umesema ukweli kabisa , mtu akijenga kajumba kake na akiwa na kigari Cha milion 14 Basi kila kitu anaona kamaliza. Na hata mada Kama hizi atakuwa anactush unreasonably.
 
Kila mmoja apite njia yake tukutane hapo juu(mafanikioni).
 
Umeongea Ukweli Mtupu Tumezoea Vitu laini laini hatutakagi kuumiza vichwa Wala Miili yetu... Kimsingi Huyu Mleta Mada nilimfahamu zamani Kidogo akiwa mwanachuo Kupitia Kipindi Cha TBC Nilimwelewa na Mpaka leo namwelewa... Tz tuna Watu wazuri Sana wachache Tatizo tumezungukwa na Watu wa Hovyo Sana Wengi. Ndo maana Hata maana ya Mafanikio inakua Shida.. na Wengi wanaopinga Ni wale wanaofikiri wamemaliza Kila kitu.. Ukiangalia Sana Watu Wengi wakijenga kuwa na kagari na Kamshahara au kipato kidogo basi wanaona wamemaliza...Kumbe Hata Kusudi la wao kuja Duniani hawalielewi.... Kazi bado tunayo
Asante sana mkuu,
Umeeleza vyema sana jinsi watu wanavyopenda vitu laini laini na hicho ndiyo kikwazo kikubwa kwao kupata mafanikio.
Kwa ulaini huo wanapoyakosa mafanikio, wanajihalalishia (rationalise) hadithi zao zinazowapa faraja.
Ninachoamini na ambacho nimekuwa ninakiona ni kila mmoja wetu ana uwezo mkubwa sana ndani yake, lakini wengi hawafikii uwezo huo kwa sababu hawapendi kukabili mambo magumu.
Tukiwa tayari kuzikabili changamoto kubwa, hakuna kinachoweza kutuzuia kupiga hatua.
 
Moja ya njia ambayo mtu yeyote anaweza kuitumia kutoka chini na kufanikiwa sana ni mauzo (sales).
Kama huna pa kuanzia kabisa, basi tafuta chochote na kiuze.
Jenga ushawishi na uza kama kichaa.
Mkuu kamwe usimdharau salesman yeyote yule, unaweza kuona anauza kitu cha kijinga, lakini akawa anapata kamisheni nzuri kuliko mshahara wa mtu anayekaa ofisini.
Japo unaweza kuwabeza na kuwacheka wanaouza vitu unavyoona siyo vya hadhi yako, jua kuna thamani wanatoa na kuna kitu wanaingiza.
Jifunze sales mkuu, soma kitabu cha Brian Tracy cha psychology of selling na kamwe hutokaa umbeze anayeuza chochote, huku kikikusaidia kupiga hatua.
Nakuambatanishia kitabu hapa kama utajali na ukisome.
Asante.
Kwel mkuu.Niko najifunza sana sales kwa sasa.Nimeesoma Computer science but for now sales naiona ni kitu muhim sana kwangu.Naomba ukiambatanishe hicho kitambu plz
 
Naweza nikakubaliana na hivyo vyote apo Ila sio hio namba mbili kujisomea naipinga labda ungesema kujifunza vitu vipya
 
Naweza nikakubaliana na hivyo vyote apo Ila sio hio namba mbili kujisomea naipinga labda ungesema kujifunza vitu vipya
Suala la kuongeza maarifa Ni Muhimu sana hata isiwe vitabu ila penda kujifunza ht ukiwa kwa mjinga utatoboa ...

Huu uzi bora wa mwezi
 
Back
Top Bottom