Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii imeandikwa wapi.. Sijawahi kuisoma kwenye vitabu vitakatifu.. mimi naamini hamna chochote unachweza kufanya bila uweza wa Mungu.Ameen,
japo Mungu nae amesema 'Jisaidie nami ntakusaidia'
ila nina imani mwenye nia na mimi atapatikana tu.
Imekuacha hoi kvp?
ni 'sticky' ya kichina
Adabu na heshima iwe sehemu ya maisha yako ya kila siku,sawa?
Kuna wasaa wa utani na wa u-serious,
Sikujui,hunijui,
na sina haja ya kukufahamu umesikia.
P'se usilete shobo na muchknow kwenye thread ya mwanamke usiemjua.
Utakuja kuolewa.
Am Tinnah Mozes Shehoza also known as 'Katrina.
Natafuta Mwanaume mkamilifu wa akili na rijali kwa ajili ya kuwa mume wangu endapo tutawezana kitabia.
Wasifu wake.
Awe Mweusi kidogo,
Awe simple ktk mavazi,
Ajue hitaji la mwanamke ni nini,
Awe na elimu angalau ya Form 4,
Awe ameajiriwa au amejiajiri,
Sichagui dini wala kabila,
Awe na mapenzi ya dhati,
Asiwe mnywaji sana,
Asiwe mwembamba sana,
Mwisho asiwe mkorofi.
Wasifu wangu:
Mdada Mnene japo si sana,
Nina Elimu ya Form 4,
Nimeajiriwa Serikalini,am a teacher,Primary school in Dsm,
Ni Mkatoliki,
Kabila Msambaa,
Ninavutia japo si 100%,
Rangi yangu ni Chokleti yenye maji ya kunde,
Ninakunywa kidogo sana,
Napenda sana kucheki Movie hasa kwenda Threatre.
Kama unahs una vigezo unaweza kuni Pm,au tumia njia yoyote ile.
Asanteni.
Adabu na heshima iwe sehemu ya maisha yako ya kila siku,sawa?
Kuna wasaa wa utani na wa u-serious,
Sikujui,hunijui,
na sina haja ya kukufahamu umesikia.
P'se usilete shobo na muchknow kwenye thread ya mwanamke usiemjua.
Utakuja kuolewa.
mi naomba uniunganishie na mwalimu mwenzako potabo kidogo awe na mvuto na mchangamfu.Am Tinnah Mozes Shehoza also known as 'Katrina.
Natafuta Mwanaume mkamilifu wa akili na rijali kwa ajili ya kuwa mume wangu endapo tutawezana kitabia.
Wasifu wake.
Awe Mweusi kidogo,
Awe simple ktk mavazi,
Ajue hitaji la mwanamke ni nini,
Awe na elimu angalau ya Form 4,
Awe ameajiriwa au amejiajiri,
Sichagui dini wala kabila,
Awe na mapenzi ya dhati,
Asiwe mnywaji sana,
Asiwe mwembamba sana,
Mwisho asiwe mkorofi.
Wasifu wangu:
Mdada Mnene japo si sana,
Nina Elimu ya Form 4,
Nimeajiriwa Serikalini,am a teacher,Primary school in Dsm,
Ni Mkatoliki,
Kabila Msambaa,
Ninavutia japo si 100%,
Rangi yangu ni Chokleti yenye maji ya kunde,
Ninakunywa kidogo sana,
Napenda sana kucheki Movie hasa kwenda Threatre.
Kama unahs una vigezo unaweza kuni Pm,au tumia njia yoyote ile.
Asanteni.
tanga,,kunani paleeeh,mbona kila kitu pale kinakufa//tanga,,,,,mona kigezo cha afya hakitajwi,,,ume overlook au,,,hiv test,,magonjwa ya kurith,,mf,,,umalaya,,,,umasikinndorobo,,,kifafa kansa,,athma,wehu,utaahira,,kuolewa na kuachika,,,fungukaAm Tinnah Mozes Shehoza also known as 'Katrina.
Natafuta Mwanaume mkamilifu wa akili na rijali kwa ajili ya kuwa mume wangu endapo tutawezana kitabia.
Wasifu wake.
Awe Mweusi kidogo,
Awe simple ktk mavazi,
Ajue hitaji la mwanamke ni nini,
Awe na elimu angalau ya Form 4,
Awe ameajiriwa au amejiajiri,
Sichagui dini wala kabila,
Awe na mapenzi ya dhati,
Asiwe mnywaji sana,
Asiwe mwembamba sana,
Mwisho asiwe mkorofi.
Wasifu wangu:
Mdada Mnene japo si sana,
Nina Elimu ya Form 4,
Nimeajiriwa Serikalini,am a teacher,Primary school in Dsm,
Ni Mkatoliki,
Kabila Msambaa,
Ninavutia japo si 100%,
Rangi yangu ni Chokleti yenye maji ya kunde,
Ninakunywa kidogo sana,
Napenda sana kucheki Movie hasa kwenda Threatre.
Kama unahs una vigezo unaweza kuni Pm,au tumia njia yoyote ile.
Asanteni.
NABISHAA,umemuoa nani wewe?
Waachie wenye utayari wao.