Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #81
Mungu si wa visasiNa akiwa rais mtatajana watu mliotumwa na dhalimu kumshambulia kwa risasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu si wa visasiNa akiwa rais mtatajana watu mliotumwa na dhalimu kumshambulia kwa risasi.
😅😅😅umemjibu vizuriWewe ndiye huwapima watu kuweza kuwatambua vichaa?
Isije ikawa ni wewe uliye kichaa, na yale unayoambiwa na watu huko mitaani, ndiyo nawe unayatamka dhidi ya wengine.
Jitahidi ufike hospitali mapema.
Chadema? Mafi kabisaKama kuna siku mpinzani atashika hii nchi, wa kwanza atakuwa Lisu
NakaziaNaunga mkono hoja
Chadema? Mafi kabisa
Kwann mtu anayekupinga unamuona hayuko sawa afu mtu anayekubaliana na ww unamuona yuko sawa.?Siko hapa kubishana na mtu. Na kama wewe ni moja kati ya wale wasioamini Matendo Makuu ya Bwana Mungu, Mungu wa Israeli basi pita kimya kimya tu.
Sitaki kusema mengi ila huu uzi tutaurejea miaka michache ijayo.
Kwamba walio wazima na wenye nyenzo zote anaondoka harafu watu waliokuwa wanyonge kudharauliwa wanazidi kustawi.
Mfano
1. Daniel alitupwa kwenye shimo la simba wakamuonea huruma sana wakijua hakuna namna anaweza kupoma lakini at the end hakudhurika baadae akawa mkuu wa serikali ya Umedi na Uajemi.
2. Daudi alikoswa koswa mikuki ya Mfalme Sauli na baadae akatawazwa kuwa Mfalme wa Dola ya Israeli
3. Mfalme Ithibosheti anafariki akiwa Mfalme aliyetawala kipindi kifupi kuliko woote ili kupisha njia kwa Daudi kuwa mfalme
4. Yehoyakimu anateuliwa kuwa Mfalme wa Yudea baada ya Yosia kuuawa vitani na Farao Neko kule Megido.
5. Kwamba, Yeroboam anatoroka na kukimbilia Misri ili asiuawe lakini aliporudi baada ya Kifo cha Suleiman(mhasimu wake) anapakwa mafuta na Kuwa Mfalme wa Samaria.
Haya maandiko Matakatifu hayawezi kwenda bure. Labda kama Mungu tunayemwamini si huyu wa Israeli.
Mungu anapotaka kuleta Ukombozi kwa watu wake anahakikisha hakuna Mchanganyo wa Mbengu. Anahakikisha kizazi kilichochafua Zabibu zake hakihusiki kwenye Ukombozi.
Nawatakia Msiba Mwema tuwaombea msamaha waliotangulia woote.
Mungu analete Ukombozi.
Unajifariji....labda kuwe na tume huru ya uchaguzi...KATIBA MPYA...kizaliwe kizazi Kingine....mwanasheria mkuu ni mwanachama wa CCM....mwenyekiti wa uchaguzi mkuu ni mwanachama kindaki ndaki wa CCM i.e JECHA,Siko hapa kubishana na mtu. Na kama wewe ni moja kati ya wale wasioamini Matendo Makuu ya Bwana Mungu, Mungu wa Israeli basi pita kimya kimya tu.
Sitaki kusema mengi ila huu uzi tutaurejea miaka michache ijayo.
Kwamba walio wazima na wenye nyenzo zote anaondoka harafu watu waliokuwa wanyonge kudharauliwa wanazidi kustawi.
Mfano
1. Daniel alitupwa kwenye shimo la simba wakamuonea huruma sana wakijua hakuna namna anaweza kupoma lakini at the end hakudhurika baadae akawa mkuu wa serikali ya Umedi na Uajemi.
2. Daudi alikoswa koswa mikuki ya Mfalme Sauli na baadae akatawazwa kuwa Mfalme wa Dola ya Israeli
3. Mfalme Ithibosheti anafariki akiwa Mfalme aliyetawala kipindi kifupi kuliko woote ili kupisha njia kwa Daudi kuwa mfalme
4. Yehoyakimu anateuliwa kuwa Mfalme wa Yudea baada ya Yosia kuuawa vitani na Farao Neko kule Megido.
5. Kwamba, Yeroboam anatoroka na kukimbilia Misri ili asiuawe lakini aliporudi baada ya Kifo cha Suleiman(mhasimu wake) anapakwa mafuta na Kuwa Mfalme wa Samaria.
Haya maandiko Matakatifu hayawezi kwenda bure. Labda kama Mungu tunayemwamini si huyu wa Israeli.
Mungu anapotaka kuleta Ukombozi kwa watu wake anahakikisha hakuna Mchanganyo wa Mbengu. Anahakikisha kizazi kilichochafua Zabibu zake hakihusiki kwenye Ukombozi.
Nawatakia Msiba Mwema tuwaombea msamaha waliotangulia woote.
Mungu analete Ukombozi.
Wapi nimetukana mkuuMkuu ungepita kimya kimya tu. Huna sababu ya kutukana.
Sema mtoa Mada anazungumzia hisia na sio maswala ya kiroho .Kwann mtu anayekupinga unamuona hayuko sawa afu mtu anayekubaliana na ww unamuona yuko sawa.?
Hahaha sawaWapi nimetukana mkuu
Nabii Daudi alikuwa Mfalme wakati ambao Sauli alikuwa Rais na Mkuu wa majeshi Yoabu ambaye alisimia mifumo yote ya Nchi alikuwa upande wa Sauli.Unajifariji....labda kuwe na tume huru ya uchaguzi...KATIBA MPYA...kizaliwe kizazi Kingine....mwanasheria mkuu ni mwanachama wa CCM....mwenyekiti wa uchaguzi mkuu ni mwanachama kindaki ndaki wa CCM i.e JECHA,
Tume ya uchaguzi imejaa ma kada watiifu unadhani Kuna wa kupindua meza labda mama samiaa mwenyewe aamue.......
SawaNabii Daudi alikuwa Mfalme wakati ambao Sauli alikuwa Rais na Mkuu wa majeshi Yoabu ambaye alisimia mifumo yote ya Nchi alikuwa upande wa Sauli.
Mungu akiwa upande wako hakuna lisilowezekana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]TumbiliOna hii ngedere
HakikaSawa
😅😅😅kwa hiyo mimi Kafurira?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumbili
Jamaa una matusi😅😅Ona hii ngedere