Kama unaamini mambo ya kiroho utakubali kuwa Urais wa JMT unamtafuta Tundu Lissu

Kama unaamini mambo ya kiroho utakubali kuwa Urais wa JMT unamtafuta Tundu Lissu

Wewe ndiye huwapima watu kuweza kuwatambua vichaa?

Isije ikawa ni wewe uliye kichaa, na yale unayoambiwa na watu huko mitaani, ndiyo nawe unayatamka dhidi ya wengine.

Jitahidi ufike hospitali mapema.
😅😅😅umemjibu vizuri
 
Siko hapa kubishana na mtu. Na kama wewe ni moja kati ya wale wasioamini Matendo Makuu ya Bwana Mungu, Mungu wa Israeli basi pita kimya kimya tu.
Sitaki kusema mengi ila huu uzi tutaurejea miaka michache ijayo.

Kwamba walio wazima na wenye nyenzo zote anaondoka harafu watu waliokuwa wanyonge kudharauliwa wanazidi kustawi.

Mfano
1. Daniel alitupwa kwenye shimo la simba wakamuonea huruma sana wakijua hakuna namna anaweza kupoma lakini at the end hakudhurika baadae akawa mkuu wa serikali ya Umedi na Uajemi.

2. Daudi alikoswa koswa mikuki ya Mfalme Sauli na baadae akatawazwa kuwa Mfalme wa Dola ya Israeli

3. Mfalme Ithibosheti anafariki akiwa Mfalme aliyetawala kipindi kifupi kuliko woote ili kupisha njia kwa Daudi kuwa mfalme

4. Yehoyakimu anateuliwa kuwa Mfalme wa Yudea baada ya Yosia kuuawa vitani na Farao Neko kule Megido.

5. Kwamba, Yeroboam anatoroka na kukimbilia Misri ili asiuawe lakini aliporudi baada ya Kifo cha Suleiman(mhasimu wake) anapakwa mafuta na Kuwa Mfalme wa Samaria.

Haya maandiko Matakatifu hayawezi kwenda bure. Labda kama Mungu tunayemwamini si huyu wa Israeli.

Mungu anapotaka kuleta Ukombozi kwa watu wake anahakikisha hakuna Mchanganyo wa Mbengu. Anahakikisha kizazi kilichochafua Zabibu zake hakihusiki kwenye Ukombozi.

Nawatakia Msiba Mwema tuwaombea msamaha waliotangulia woote.

Mungu analete Ukombozi.
Kwann mtu anayekupinga unamuona hayuko sawa afu mtu anayekubaliana na ww unamuona yuko sawa.?
 
1683906769153.png
 
Siko hapa kubishana na mtu. Na kama wewe ni moja kati ya wale wasioamini Matendo Makuu ya Bwana Mungu, Mungu wa Israeli basi pita kimya kimya tu.
Sitaki kusema mengi ila huu uzi tutaurejea miaka michache ijayo.

Kwamba walio wazima na wenye nyenzo zote anaondoka harafu watu waliokuwa wanyonge kudharauliwa wanazidi kustawi.

Mfano
1. Daniel alitupwa kwenye shimo la simba wakamuonea huruma sana wakijua hakuna namna anaweza kupoma lakini at the end hakudhurika baadae akawa mkuu wa serikali ya Umedi na Uajemi.

2. Daudi alikoswa koswa mikuki ya Mfalme Sauli na baadae akatawazwa kuwa Mfalme wa Dola ya Israeli

3. Mfalme Ithibosheti anafariki akiwa Mfalme aliyetawala kipindi kifupi kuliko woote ili kupisha njia kwa Daudi kuwa mfalme

4. Yehoyakimu anateuliwa kuwa Mfalme wa Yudea baada ya Yosia kuuawa vitani na Farao Neko kule Megido.

5. Kwamba, Yeroboam anatoroka na kukimbilia Misri ili asiuawe lakini aliporudi baada ya Kifo cha Suleiman(mhasimu wake) anapakwa mafuta na Kuwa Mfalme wa Samaria.

Haya maandiko Matakatifu hayawezi kwenda bure. Labda kama Mungu tunayemwamini si huyu wa Israeli.

Mungu anapotaka kuleta Ukombozi kwa watu wake anahakikisha hakuna Mchanganyo wa Mbengu. Anahakikisha kizazi kilichochafua Zabibu zake hakihusiki kwenye Ukombozi.

Nawatakia Msiba Mwema tuwaombea msamaha waliotangulia woote.

Mungu analete Ukombozi.
Unajifariji....labda kuwe na tume huru ya uchaguzi...KATIBA MPYA...kizaliwe kizazi Kingine....mwanasheria mkuu ni mwanachama wa CCM....mwenyekiti wa uchaguzi mkuu ni mwanachama kindaki ndaki wa CCM i.e JECHA,

Tume ya uchaguzi imejaa ma kada watiifu unadhani Kuna wa kupindua meza labda mama samiaa mwenyewe aamue.......
 
Unajifariji....labda kuwe na tume huru ya uchaguzi...KATIBA MPYA...kizaliwe kizazi Kingine....mwanasheria mkuu ni mwanachama wa CCM....mwenyekiti wa uchaguzi mkuu ni mwanachama kindaki ndaki wa CCM i.e JECHA,

Tume ya uchaguzi imejaa ma kada watiifu unadhani Kuna wa kupindua meza labda mama samiaa mwenyewe aamue.......
Nabii Daudi alikuwa Mfalme wakati ambao Sauli alikuwa Rais na Mkuu wa majeshi Yoabu ambaye alisimia mifumo yote ya Nchi alikuwa upande wa Sauli.

Mungu akiwa upande wako hakuna lisilowezekana
 
Back
Top Bottom