Kama unadhani mkeo au mumeo ndiye msiri wako, unajidanganya!

Kama unadhani mkeo au mumeo ndiye msiri wako, unajidanganya!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kama we na mkeo hamuaminiani ni nyie pimbi wewe [emoji23] sisi wengine ndoa zetu raha tu na siri tunapeana mali tunaandikisha majina yote
Wewe hukuwa tayali kuoa rud ujipange
 
Aiseee mimi niko tofauti kimtazamo na wewe, Muamini mkeo/mumeo mfanye mkeo/mumeo kuwa mwandani wako, Kwa sababu hauna mtu mwingine wa karibu yako kuliko Mume/mkeo, Mwanaume mpende mkeo, mpende mkeo mpende mkeo, ndivyo Mungu alivyoamuru na ndivyo inavyotakiwa kuwa Ili aman itamalaki ndani yako, kumpenda haimaanishi hatakusaliti, au hatachepuka noo huwezi kuzuia kuchepuka Kwa mtu, lakin Ile umemuoa nankumuweka ndani mmetengeneza agano ambalo linaishi hata akienda nje agano linamrudisha wengi hawafahamu hili, Mwanamke onyesha Unyenyekevu kwa mumeo, usimdharau Kwa sababu yoyote unaweza ukamfikiria ex wako(upumbavu na ujinga) kama Ex wako alikuwa anakupenda au alikuwa anakuwezea imekauje hajakuoa??? Jinyenyekeze kwa mumeo maisha yatakuwa murua
 
Leo ni siku. Salam wanajamhuri.

Nianze na ukweli huu. Ndugu zangu waaminifu ni wazazi wetu pekee. Leo hii mnaolala chumba kimoja wakati mwingine kitanda kimoja. [emoji3064] Usije ukaamini huyo ni muaminifu. Kamwe.

Wanawake na wanaume tunapitia wakati mgumu Sana. Ndoa zetu zimejaa udanganyifu. Unaweza ukadhani hakusaliti loh! Anakusaliti ni suala la Muda tu utajua. Watu tunasalitiana kwa style nyingi sana si lazima akusaliti kwa njia ya kutembea na mwingine mwenzi wako anaweza akakuzunguka na usijue.

Kama tunadhani wenzi wetu ni wasiri wetu, we are very wrong

Pole na mkasa uliokukuta,,,
 
Inategemea na siri yenyewe, kuna mambo mengine huwezi kumwambia yeyote hata awe nani, na hayo kwangu ndio siri sasa.
Ni kweli, kitu pekee ambacho ni siri ni kile kiko moyoni mwa mtu mhusika, kama mhusika ameenda kukisema asitegemee kiwe siri tena. Kama umeshindwa kukitunza kitu chako moyoni kwanini unataka mwingine akitunze?

principle yangu ni moja tu, kitu chochote ninachoweza kushare na mtu nina uhakika kabisa hakiniumizi na mwingine hawezi kukitumia kuniumiza.
 
Leo ni siku. Salam wanajamhuri.

Nianze na ukweli huu. Ndugu zangu waaminifu ni wazazi wetu pekee. Leo hii mnaolala chumba kimoja wakati mwingine kitanda kimoja. 🥺 Usije ukaamini huyo ni muaminifu. Kamwe.

Wanawake na wanaume tunapitia wakati mgumu Sana. Ndoa zetu zimejaa udanganyifu. Unaweza ukadhani hakusaliti loh! Anakusaliti ni suala la Muda tu utajua. Watu tunasalitiana kwa style nyingi sana si lazima akusaliti kwa njia ya kutembea na mwingine mwenzi wako anaweza akakuzunguka na usijue.

Kama tunadhani wenzi wetu ni wasiri wetu, we are very wrong

Acheni kutupa pressure...
 
Ni kweli, kitu pekee ambacho ni siri ni kile kiko moyoni mwa mtu mhusika, kama mhusika ameenda kukisema asitegemee kiwe siri tena. Kama umeshindwa kukitunza kitu chako moyoni kwanini unataka mwingine akitunze?

principle yangu ni moja tu, kitu chochote ninachoweza kushare na mtu nina uhakika kabisa hakiniumizi na mwingine hawezi kukitumia kuniumiza.
Kabisa, hakuna siri ya wawili, siri ni ya mtu mmoja na pale unapoamua kumwambia mwingine basi hapo umeamua kumfichulia siri yako na sio kusema eti umempa siri yako akutuzie, hakuna kitu kama hicho.
 
Tenda wema uende zako, mimi kwa experience yangu , wanandoa wengi ambao unakuta mke labla hamuamini mume.. kinachotokea ni kwamba mfano mke ana mali nyingi na anakua anamuhisi mumewe atamuibia mali zake nk kwaio anaamua kumficha , Zaidi ya mara 5 nimeshuhudia Mungu anaamua kumchukua yule mume ambae humuamini na anakuacha na mali zako.

Sasa shida inayokukuta ni kwamba unabaki mpweke, single mom, sawa una mali lakini hauna mtu wakukujali, wakukufariji na unakuta umri umeenda watoto wako nao wamehama nyumbani wameenda kuanzisha familia zako , basi unakuwa ni mpweke mno kwa kumkumbuka huyo mume ambae ulikua unahisi angeishi milele akakimbia na mali zako.

Point yako ni muhimu, muamini mtu kwa kiasi, na usitegemee chochote kutoka kwa mtu maana naye ni mwanadamu hajakamilika.
Shida ni kwamba tunakua na expectations kubwa, ila ndugu yangu ili uishi vizuri waza mema, ukiwa negative utateseka sanaa maana badala ya ku create good moments na ku enjoy maisha kwa muda ule wewe akili yako inawaza tu je akiamka akaniua au vile au vile.
Muombe Mungu akupe mtu sahihi, na ikitokea akakusaliti, malipo ni hapa hapa duniani... Atalipwa kwa style yake na wewe Mungu atakuinua kwa style yako.

All in all, Ndoa ni kitu kzuri sana ukipata mtu sahihi.
 
Siri ni ya mtu mmoja tu,,, Halafu kwani unaoa ili utunziwe Siri zako,,,tenda mema acha aueleze uimwengu mazuri yako hehhehhehehe

Na kwanini kijana wa kiume UOE...??Mengine ni kujitakia tu...

Kama Siri zako umeshindwa mwenyewe kutunza na mwenzako akazijua,, kwanini yeye atunze??
 
Leo ni siku. Salam wanajamhuri.

Nianze na ukweli huu. Ndugu zangu waaminifu ni wazazi wetu pekee. Leo hii mnaolala chumba kimoja wakati mwingine kitanda kimoja. 🥺 Usije ukaamini huyo ni muaminifu. Kamwe.

Wanawake na wanaume tunapitia wakati mgumu Sana. Ndoa zetu zimejaa udanganyifu. Unaweza ukadhani hakusaliti loh! Anakusaliti ni suala la Muda tu utajua. Watu tunasalitiana kwa style nyingi sana si lazima akusaliti kwa njia ya kutembea na mwingine mwenzi wako anaweza akakuzunguka na usijue.

Kama tunadhani wenzi wetu ni wasiri wetu, we are very wrong

Mimi sina ishu nae hata akinisaliti ila ishu ni akinisaliti na nikajua.
 
Back
Top Bottom