Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,918
- 13,885
We ulimwambia siri zako?Siri kwio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ulimwambia siri zako?Siri kwio
Kidogo,siyo zoteWe ulimwambia siri zako?
Bas hizo ambazo hukumwambia ndio siri sasaKidogo,siyo zote
HakikaBas hizo ambazo hukumwambia ndio siri sasa
KuntuBas hizo ambazo hukumwambia ndio siri sasa
Ndgu nilidhani utafanya ni diverge content niliyoipost lakin kumbe wewe ndio umekuwa general.Mtoa uzi samahani umeongea too openly pia as if upo na harka sana eb nisaidei jambo moja .... hiyo siri unayo zungumzia ipo katika category ipi economycal au just personal issues
Mfano mimi na mwenza ngu hakuna cha siri hapo kwa upande wangu nina chakupoteza kweli?
Trust ni One (◍•ᴗ•◍)❤Trust no one.
Mfano mm nakojoa kitandani na nakoroma usiku kama kondoo. Hiyo ni Siri ama siyo?Inategemea na siri yenyewe, kuna mambo mengine huwezi kumwambia yeyote hata awe nani, na hayo kwangu ndio siri sasa.
Kuaminiana ni kitu kizuri ila kwa wabongo uaminifu its something that you will be highly dissapointed with. Hamna mtu muaminifu aisee, kumpata ni mmoja katika watu 1,000.Leo ni siku. Salam wanajamhuri.
Nianze na ukweli huu. Ndugu zangu waaminifu ni wazazi wetu pekee. Leo hii mnaolala chumba kimoja wakati mwingine kitanda kimoja. 🥺 Usije ukaamini huyo ni muaminifu. Kamwe.
Wanawake na wanaume tunapitia wakati mgumu Sana. Ndoa zetu zimejaa udanganyifu. Unaweza ukadhani hakusaliti loh! Anakusaliti ni suala la Muda tu utajua. Watu tunasalitiana kwa style nyingi sana si lazima akusaliti kwa njia ya kutembea na mwingine mwenzi wako anaweza akakuzunguka na usijue.
Kama tunadhani wenzi wetu ni wasiri wetu, we are very wrong
My dear hapa wewe umesha base kwenye sex.Kuaminiana ni kitu kizuri ila kwa wabongo uaminifu its something that you will be highly dissapointed with. Hamna mtu muaminifu aisee, kumpata ni mmoja katika watu 1,000.
Kuwa na mpenzi kibongo bongo ni kama time-bomb tu kwangu naona its worthless kuwa muaminifu. Sikuwa hivi mwanzoni ila ndio namna maisha yanataka tuwe na naishi so freely no pains no more. Don’t stress yourself just let her be na wewe fanya yako kama mtaheshimiana its okay zaidi ila usiweke akilini kuwa mpenzi wako ni wako peke yako.
Utakuja kupata kichaa siku ukishika simu yake ghafla tu.
Huo ni uhusiano kwa ujumla mtu wangu! Kwani huo uaminifu unaoongelea wewe ni wa kupeleka hela za kikoba ama?My dear hapa wewe umesha base kwenye sex.
Kimapenzi unaweza ukaamua aseme asiseme, potelea Kwa mbali...kama nimeamua mwanaume huyu nitoke naye au mke wa mtu huyu. Itakuwa a fuc.k and go
Kama hakuna anayefahamu ila wewe basi ni siri yako ila kama kuna mtu mwingine nae anafahamu..........hapo hebu niambie hiyo itakuwa bado ni siri yako? au siri yako itakuwa imemfichukia mtu mmoja?Mfano mm nakojoa kitandani na nakoroma usiku kama kondoo. Hiyo ni Siri ama siyo?