Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,713
- 6,121
Verses hizi hapa niwekee vocal na biti unitumie PM.Ukiwa na vese za kuongezea weka hapa......Master Jay, Majani. Ney wa Mitego, Roma Mkatoliki.
Kama unafanya kazi
Weka salary mezani
Tuoneee sasa Tuoneee ...tuone. (mara mbili)
Waweza weka cash,weka kreti,
Weka Fresh.weka tuonee,tuonee
Wengine wafanyakazi,ela ya pipi, weka tuone tuone,weka tuone
Wengine wafanya kazi hela ya chips weka tuone tuone.eee
Waweza kwenda shop,kitu cha chop weka tuone,weka tuone.
Wengine wanafanya kazi pay ya kipuz waishi kama paka kuhemea.
Asubuhi kurupuka barabarani utazani wanarun dunia.
Malipo yao duni na kazi ngumu wala msoto wala msoto.
Ikifika mchana piga miayo hakuna menu hakuna menu.
Wanashushia maji wanakausha wala msoto wala msoto.
Jioni warudi home wako arosto wala msoto wala msoto.
Wengine ni maboss tena wadoss ni wala bata na wala kuku
.Waona wamepata kula vitamu wavuta shavu wavuta shavu
.Wote wapiga deal,vuta mpunga jineemesha jineemesha.
Wakishatumbuliwa wala msoto wala msoto,wala msoto.
Wengine viongozi wapiga zongo,chumia tumbo chumia tumbo
Watetea ya kwao madarakani ya kwetu yetu tutajijua
Wanaweka mikogo,na mashangingi si tunasota,si tunasota
Wakimbize vicheche,gawana ngoma
Tunawajua,tunawajua
Kama unafanya kazi
Weka salary mezani
Tuoneee sasa Tuoneee ...tuone. (mara mbili)
Waweza weka cash,weka kreti,
Weka Fresh.weka tuonee,tuonee
Wengine wafanyakazi,ela ya pipi, weka tuone tuone,weka tuone
Wengine wafanya kazi hela ya chips weka tuone tuone.eee
Waweza kwenda shop,kitu cha chop weka tuone,weka tuone.
Wengine wanafanya kazi pay ya kipuz waishi kama paka kuhemea.
Asubuhi kurupuka barabarani utazani wanarun dunia.
Malipo yao duni na kazi ngumu wala msoto wala msoto.
Ikifika mchana piga miayo hakuna menu hakuna menu.
Wanashushia maji wanakausha wala msoto wala msoto.
Jioni warudi home wako arosto wala msoto wala msoto.
Wengine ni maboss tena wadoss ni wala bata na wala kuku
.Waona wamepata kula vitamu wavuta shavu wavuta shavu
.Wote wapiga deal,vuta mpunga jineemesha jineemesha.
Wakishatumbuliwa wala msoto wala msoto,wala msoto.
Wengine viongozi wapiga zongo,chumia tumbo chumia tumbo
Watetea ya kwao madarakani ya kwetu yetu tutajijua
Wanaweka mikogo,na mashangingi si tunasota,si tunasota
Wakimbize vicheche,gawana ngoma
Tunawajua,tunawajua