Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Mchawi kazin, unatak aku pm ili iweje??? mwambie aweke hapa kwa fauda ya wote na ndio maana hufanikiwiii!!
 
Wako humu wanakusoma tu mkuu
Waje tu wakija watanikuta nimekaa natilia huruma

hawatoelewa ndio boss au mfanyakazi wanaemuona mbele yao

sinaga utani nao kabisa kwanza mimi siijui JF na sijui ni kitu gani.

Tangu nifilisike 2015 hadi leo sijui hata mitandao ya kijamii ikoje

nitawatimua mbio si za kawaida mkuuu
 
mkuuu hiii biashara sio lelemama

inakuhitaji ukamilike maana wakodishaji wengi

hupenda akikodisha viti,turubai apate na usafiri kwako

sem ni biashara moja nadhani nzuri sana sana

Hiyo weka na kukodisha vyombo hasa masufuria ma hot pot sahani ukipenda unakua na WAPISHI kbsa bwana weeeeeeee

biashara ya mama angu hiyo tangu kanizaaa hadi kesho kutwa atazeeka nayo nadhani

Mkuuuu shida utaziskia kwa majirani,andaaa tu mtaji Aseeee
 
Wadada saiv kwa upande wangu naona ndio wengi sana wanapambana...

Na mdada akipambana, kuna uwezekano mkubwa wa kufanikiwa zaid ya mwanaume tena kwa muda mfupi..

Kama una mke kichwa maisha utayapatia sana
ni kweli mkuuuuu

nilishapataga mpenzi kichwa wa namna hiii

ila kichwa mandazi mimi nikampoteza

saizi ningekua natembelea Ferari mimi jamani ila ndo ivyo

nipo naziba pancha baiskeli yangu hapa.
 
Wadada saiv kwa upande wangu naona ndio wengi sana wanapambana...

Na mdada akipambana, kuna uwezekano mkubwa wa kufanikiwa zaid ya mwanaume tena kwa muda mfupi..

Kama una mke kichwa maisha utayapatia sana
unasema ukweli kabisa poti

wadada wa siku hizi ni habari nyingine

nilishakua na mpz kichwa kama huyo ila nilivyokuaga

mandazi nikampoteza yule mtoto ila saivi na uhakika ningekua kama siendeshi Ferari basi

Range rover ila bahati mbaya ndio nimerudi home hapa

Naziba pancha baiskeli yangu.
 
Wenye biashara ya guest house...... Hv ndomu zilizotumika zinatupwa wapi? Bila shaka ni chooni! Sasa, ni mara ngapi kwa mwezi mnapata kazi za kuzibua vyoo vilivyoziba? Gharama ya kuzibua choo!?
Aaaaah Aaaaah Mkuu Ndomu Hazitupwi Toileta Tulikuwa Tunazichoma Na Kufukia Shimo Liko Nyuma Ya Lodge
 
Hahah frem za laki 2 hapo bado na w/holding tax ya 10% ya serikali itakuhusu.
 

Usinifanyie hivyo
 
Sababu nilichokua nakitaka nilikipata..na ndicho ninachokifanya Sasa..ile ilikua tu njia ya kufikia nilipo Sasa.

Ingawa nataka kurudi tena [emoji1787][emoji1787]

Nishirikishe basi
Mie imebaki kuuza chenchi tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…