google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
Kongole sana chief, unachakata kimya kimya[emoji16][emoji16] imebaki ni siri yetu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kongole sana chief, unachakata kimya kimya[emoji16][emoji16] imebaki ni siri yetu mkuu
Mchawi kazin, unatak aku pm ili iweje??? mwambie aweke hapa kwa fauda ya wote na ndio maana hufanikiwiii!!How do you make it mkuu?... I wish sana kuwa na hii business....ila nina tigo pesa na mpesa tu....ila commision yake ni ndogo sana mkuu....tatizo nipo sehemu ambayo ni population less....dah hongera boss...sometimes nikiona kuna wanaofanikiwa napata moyo kwamba kama na ninyi mmeweza so hata kwangu inawezekana...mkuu naomba hata nipm your secrets of how you make it boss...please!
asante mkuuMkuu Hongera upo vizuri japo nimecheka Sana🤣🤣🤣
Waje tu wakija watanikuta nimekaa natilia hurumaWako humu wanakusoma tu mkuu
Na boss matorori muongo?Ukisoma huu uzi watu wengi wamedanganya. Mmoja tu ndio kasema ukweli. Yule wa Uwakala
Naaaam nipo hapaBoss matoroli,,
mkuuu hiii biashara sio lelemamaNingependa kujua hii biashara ya kukodisha tents na viti kwa ajili ya shughuli mbalimbali,misiba etc
Gharama za kutengeneza hizo tents ama kama zinauzwa zikiwa tayari zinauzwaje?
Walau ziwe tatu zenye uwezo wa ku- accommodate watu 500 au 400 zote kwa pamoja.
ni kweli mkuuuuuWadada saiv kwa upande wangu naona ndio wengi sana wanapambana...
Na mdada akipambana, kuna uwezekano mkubwa wa kufanikiwa zaid ya mwanaume tena kwa muda mfupi..
Kama una mke kichwa maisha utayapatia sana
unasema ukweli kabisa potiWadada saiv kwa upande wangu naona ndio wengi sana wanapambana...
Na mdada akipambana, kuna uwezekano mkubwa wa kufanikiwa zaid ya mwanaume tena kwa muda mfupi..
Kama una mke kichwa maisha utayapatia sana
Aaaaah Aaaaah Mkuu Ndomu Hazitupwi Toileta Tulikuwa Tunazichoma Na Kufukia Shimo Liko Nyuma Ya LodgeWenye biashara ya guest house...... Hv ndomu zilizotumika zinatupwa wapi? Bila shaka ni chooni! Sasa, ni mara ngapi kwa mwezi mnapata kazi za kuzibua vyoo vilivyoziba? Gharama ya kuzibua choo!?
Eti kama Zakaria alivyo mkimbiza TISS, ila yule mkurya ni mpambanaji, asante sana kwa kunifahamisha, nashukuru ubarikiwe ngoja nikalifanyie mchakato maana kodi zinaongezeka kila leo, ukienda tu kadirio jipya hii inatia hasira sana., ila hili unabidi uwe na fremu ambayo haizidi 50,000?! Ukikaa kwenye fremu ya laki mbili italeta msala.
Mie mwanzoni nilikua kama ww...!nikawa nasema walofanikiwa kwann hawasemi chocho walizpitia..lakini kiukweki hakuna kiumbe mbaya kama mtanzania...!
Unaweza mmotivate mtu kuwa mm daiky sikosi laki .ataishia kusema huyunaye anaringaaa🤣🤣[emoji119][emoji119][emoji119]!
let them be!
Hii ya nguruwe ina faida,,mh ila kuchinja nguruwe inataka moyo,,kichefuchefu kweli kweli
huwa siogopi kumshirikisha mtanzania mawazo yangu maaana najua wengi ni waskilizaji sio watendaji
so nafungukaga tu hata siogopi maana najua wanajua kuitikia wameelewa ila hawataki kuingia ktk utendaji
wengi ni waoga na wachagua fursa.
Sababu nilichokua nakitaka nilikipata..na ndicho ninachokifanya Sasa..ile ilikua tu njia ya kufikia nilipo Sasa.
Ingawa nataka kurudi tena [emoji1787][emoji1787]