Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Duh hongera ..kwa faida hii nadhan ni dar mikoani kupati faida km hyo kbs!haipogo
una chembe chembe za ubishi wa kutaka kuamini unachotaka

mkoani hamna hiyo faida una uhakika?

umeshafanya hiyo biashara mikoa mingapi??

kwanini watu mnaamini dar ndio kuna biashara kuliko mikoani?

iko hivii

hiyo faida inaweza kupatikana DAR na mikoani ikapatikana vile vile
 
Popcorn asee.

Tafuta mashine ya popcorn, hukosi 30 kila siku.
ataenunua hii mashine namshauri biashara akafanyie wenye mlango wa Drasa la Tatu B

ili wanafunzi wakienda chooni wanamuona,wakienda break wanamuona,wakiwa darasani wanamuona

ilaaa

tofauti na hapo aseee mtu kapoteza hela yake plus Muda Juu bora angeuza ice cream
 
Hii biashara kuna jamaa alindokezea majuzi, kuna mwamba ana hivyo vyuma sokoni anakunja 90-100k deile
one of the hidden idea watu wasio ijua

wanasema ukienda shamba ukiona kila mtu anawaza nilime zao gani

we nenda kawauzie Majembe (usilime)

maana vyovyote vile hawatolimia mikono lazima waje kufata majembe ndio walime.
 
Mimi nimeajiriwa na Serikali na hapohapo nafanya biashara ya Mtumba. ninaagiza beli/robota la nguo za mtumba hii inategemea wateja wangu kwa wakati huo wanahitaji nini, naweza kuagiza skert/mashati ya kiume/blause/gauni au nguo za watoto beli moja tu ambalo naweza kununua kwa laki 450-1,000,0000 inategemea ni mzigo gani nimeagiza.

Tuamshum nimeagiza nguo za watoto beli 1 Grade one (1) inaweza kuwa 600,000 pamoja na usafiri na hela ya kutolea ninayemtumia hela inafika 650,000. Kwanza ifahamike mimi sina frame, ninachokifanya mzigo ukifika naenda kuupokea nafungulia home, muda huo nakuwa nimeshawasiliana na wateja wangu kwenye magroup ya whattsapp ya Kazini na mengineyo kwahiyo nikifungua wateja tayari wapo wanachagua.

Zinazobaki nawasiliana na watu wa Ofisi nyingine nampa Boda 1000 najaza nguo kwenye begi mbili ambapo nakuwa nimezihesabu ananipeleka Ofisi flani wanachagua then wananiandikia majina na idadi ya nguo walizochuku. Baada ya hapo akirudi nacheki nguo namjazia tena nampa nauli yake naongea na mtu wa Ofisi nyingine ananipelekea tena huko.

Najikuta nauza nguo zote kwa muda mfupi sana ndani ya wiki nakuwa nimeshauza nguo zote ama zimebaki chache ambapo kwa beli la laki 600,000 nikiuza napata 1,300,000 au zaidi japokuwa biashara yangu niya kukopesha kwa mwezi. Hivyo ikifika karibia na mwisho wa mwezi naanza kuwakumbusha kwa sms. Inanilipa kwakweli namshukuru Mungu sitegemei mshahara, na kwa mwezi naweza leta mzigo mara mbili.
Umenishawishi sana kiongozi ila hujataja bei ya kila nguo!
 
Raoluoroliech


Hicho tu ndo kinawacost watu....nna shost amefirisika sn ss hv...namwambia oya toka dar njoo mkoani anakuambia manengelo siwez toka huku..anasema anakomaa na jiji..vocha tu nwdys inamshinda...unabak kumshanga ss unafanya nn huko!yote hyo ni hofu na woga...!nitaonekanaje....!kitu ambacho ni mbaya sna!...
asilimia kubwa ya wanaofeli dar, kinachowaponza zaidi ni kukataa kukubali kua kuna mikoa mingine unaeza ukapiga sana pesa kuliko hata dar.. wanabaki wanasema wanakomaa na jiji kuna ishu wanaisikilizia [emoji23]
 
huwa siogopi kumshirikisha mtanzania mawazo yangu maaana najua wengi ni waskilizaji sio watendaji

so nafungukaga tu hata siogopi maana najua wanajua kuitikia wameelewa ila hawataki kuingia ktk utendaji

wengi ni waoga na wachagua fursa.
Haa haaahaaa haa sijawahi cheka hivi[emoji23][emoji23][emoji23]

Ila mkuu uko vizuri mwaya[emoji108][emoji108]
 
Acha ukuda we mzee. Pale Makumbusho kuna mashine ngapi za popcorn....pale ni shuleni?
Mbagala Rangi 3 stand kuna wauza popcorn wangapi? Pale ni shuleni?

Pale mwenge ukivuka tu mataa upande huu wenye sheli ya Puma kuna jamaa anachoma popcorn, na yule mimi ndio aliniambia anaingiza mpaka elfu 50 wakati mtaji wake kwa siku ni chini ya shilingi 20,000.

Una fact?
ataenunua hii mashine namshauri biashara akafanyie wenye mlango wa Drasa la Tatu B

ili wanafunzi wakienda chooni wanamuona,wakienda break wanamuona,wakiwa darasani wanamuona

ilaaa

tofauti na hapo aseee mtu kapoteza hela yake plus Muda Juu bora angeuza ice cream
 
Back
Top Bottom