Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 45,757
- 246,786
๐๐๐๐๐ Huku wote mablack beauty .Mbona humu hutangazi biashara yako tukakuungisha jamaniiii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐ Huku wote mablack beauty .Mbona humu hutangazi biashara yako tukakuungisha jamaniiii.
sawa mkuu ila biashara za masafari hizi daaahAssume katika safari zake ndani ya wiki mbili anapata faida ya 450000 hiyo hela igawe kwa 14.Usikaze kichwa mkuu
una chembe chembe za ubishi wa kutaka kuamini unachotakaDuh hongera ..kwa faida hii nadhan ni dar mikoani kupati faida km hyo kbs!haipogo
Dilwale ndio nini mkuu?Ebana ilikua dilwale kumbe!
ataenunua hii mashine namshauri biashara akafanyie wenye mlango wa Drasa la Tatu BPopcorn asee.
Tafuta mashine ya popcorn, hukosi 30 kila siku.
Hapana mkuuu sina kabisa sijawahi pata mtu wa hiyo biashara nikakaa nae nikamchimba chimbaVipi huna abc za bei ya tents?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nishirikishe basi
Mie imebaki kuuza chenchi tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Dar boma au kariakooNaagiza kutoka Dar
Sio Mimi.inabidi uwe chibonge mwepesi aisee! ila upo vizuri avatar inajieleza
one of the hidden idea watu wasio ijuaHii biashara kuna jamaa alindokezea majuzi, kuna mwamba ana hivyo vyuma sokoni anakunja 90-100k deile
Unamiliki mende au costa 3?
Umenishawishi sana kiongozi ila hujataja bei ya kila nguo!Mimi nimeajiriwa na Serikali na hapohapo nafanya biashara ya Mtumba. ninaagiza beli/robota la nguo za mtumba hii inategemea wateja wangu kwa wakati huo wanahitaji nini, naweza kuagiza skert/mashati ya kiume/blause/gauni au nguo za watoto beli moja tu ambalo naweza kununua kwa laki 450-1,000,0000 inategemea ni mzigo gani nimeagiza.
Tuamshum nimeagiza nguo za watoto beli 1 Grade one (1) inaweza kuwa 600,000 pamoja na usafiri na hela ya kutolea ninayemtumia hela inafika 650,000. Kwanza ifahamike mimi sina frame, ninachokifanya mzigo ukifika naenda kuupokea nafungulia home, muda huo nakuwa nimeshawasiliana na wateja wangu kwenye magroup ya whattsapp ya Kazini na mengineyo kwahiyo nikifungua wateja tayari wapo wanachagua.
Zinazobaki nawasiliana na watu wa Ofisi nyingine nampa Boda 1000 najaza nguo kwenye begi mbili ambapo nakuwa nimezihesabu ananipeleka Ofisi flani wanachagua then wananiandikia majina na idadi ya nguo walizochuku. Baada ya hapo akirudi nacheki nguo namjazia tena nampa nauli yake naongea na mtu wa Ofisi nyingine ananipelekea tena huko.
Najikuta nauza nguo zote kwa muda mfupi sana ndani ya wiki nakuwa nimeshauza nguo zote ama zimebaki chache ambapo kwa beli la laki 600,000 nikiuza napata 1,300,000 au zaidi japokuwa biashara yangu niya kukopesha kwa mwezi. Hivyo ikifika karibia na mwisho wa mwezi naanza kuwakumbusha kwa sms. Inanilipa kwakweli namshukuru Mungu sitegemei mshahara, na kwa mwezi naweza leta mzigo mara mbili.
Haha dilwale ni bonge la sherehe kwa wahindiDilwale ndio nini mkuu?
asilimia kubwa ya wanaofeli dar, kinachowaponza zaidi ni kukataa kukubali kua kuna mikoa mingine unaeza ukapiga sana pesa kuliko hata dar.. wanabaki wanasema wanakomaa na jiji kuna ishu wanaisikilizia [emoji23]Raoluoroliech
Hicho tu ndo kinawacost watu....nna shost amefirisika sn ss hv...namwambia oya toka dar njoo mkoani anakuambia manengelo siwez toka huku..anasema anakomaa na jiji..vocha tu nwdys inamshinda...unabak kumshanga ss unafanya nn huko!yote hyo ni hofu na woga...!nitaonekanaje....!kitu ambacho ni mbaya sna!...
Haa haaahaaa haa sijawahi cheka hivi[emoji23][emoji23][emoji23]huwa siogopi kumshirikisha mtanzania mawazo yangu maaana najua wengi ni waskilizaji sio watendaji
so nafungukaga tu hata siogopi maana najua wanajua kuitikia wameelewa ila hawataki kuingia ktk utendaji
wengi ni waoga na wachagua fursa.
ataenunua hii mashine namshauri biashara akafanyie wenye mlango wa Drasa la Tatu B
ili wanafunzi wakienda chooni wanamuona,wakienda break wanamuona,wakiwa darasani wanamuona
ilaaa
tofauti na hapo aseee mtu kapoteza hela yake plus Muda Juu bora angeuza ice cream
sawa mkuu ila biashara za masafari hizi daaah
gari ikipata kash kash ndio mmelala njiani hivyoo