Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

dar panalemaza kama hamna kinachokuingizia

Unalemewaje hata km luku inakusumbua?? Mm nnachafuka balaa ukiniona huwez jua ni mm..lakini nna amani moyoni najua napata nn...hii ni njia tu ya kuelekea ninapotaka...!ss kila siku unashinda saloon...ina maana gani ss..wanao unawatengenzea fyucha gan?umewah jiuliza ukifa wanao watasurvive vip!mm nikikumbuka hapo napata wazimu wa kuzitafta!
 
Hiyo mindset ndio tatizo la wengi. Kuamini biashara lazima uchawi au mchungaji akuombee ni potofu. Siri kubwa ni eneo sahihi kwa huduma sahihi na mtegemee MUNGU.

Linapokuja suala la ushindani hapo ndipo unapaswa kuwa makini. Mteja anapenda anapofika umthamini kwa kumuona yeye ni wa muhimu mpe attention, fanyia kazi mapungufu yoyote watakayo kuambia. Hivi wangapi mmewahi hata kuweka Kisanduku cha maoni ya wateja wenu hasa kama wewe ukai katika biashara yako? Kama uweki ina maana unaamini biashara yako ni perfect kitu ambacho ni kosa kubwa.

Achana na wachawi, wenyewe watakugeuza fursa faida yote irudi kwao mwisho utayumba. Lakini pia kila utakapopata majaribu hutoamini kama ni challenge za biashara.
safi sana mkuu, mimi pia nmewaambia hao mchawi ni location ,na huduma bora pia kauli nzuri kwa wateja
 
Sasa Ongeza Na Ujuzi Wa Laptop
Kwa Siku utalala Na 200k

Mimi Nipo Huku Mkoan Napata Hadi 200k Per Day Nafanya Computer Na Simu

Sema Nina Vifaa Haswaa Ofisi Yangu Kam Mahabara Nina Mpak Microscope Nilinunua Ebay 1.2M Mpaka NIpata.

Now Nipo Namalizia Kupaua Ndugu.

WOTE MSIO NA AJIRA LAKIN UNAPENDA ELECTRONICS KOMAA NA COMPUTER AND PHONE REPAIR UTANIKUMBUKA
Mkuu kuna chuo kinafundisha ufundi simu
 
Mkuu kuna chuo kinafundisha ufundi simu
Mkuu mimi siajafundishwa na mtu, ni internet, youtube tutorial za kutosha na kukosea
mpaka na master simu nishazizima simu kama kumi za watu kwa kuflash wrong ROM.

Kama unataka chuo basi nakushauri nenda veta Soma Eletronics Hata Miez Sita Au Mwaka Vilivyobakia Tafuta Moderm Pitia Mwenyewe Lazima Utafanikiwa Tu.
Pitia Thread Hii Chini Utajifunza Kidogo

 
Nauza askirimu hizi za Mia Mia friza mbili! Moja nilikununua jipya 850,000 ni deep friza na lingine nilinunua used 400,000, baiskeli zakuzungushia 110,000, deli za kuuzia 100,000!
Faida ipoje?
 
Hongera chief..Mtaji wako utakuwa around 30ml..Mleta mada anaonyesha Bado Yuko kwenye starting point mean capital yake Itakuwa less milion..Sasa Nafikiri ushauri mzuri kwake atafute biashara hizi za kutembeza,. Yaani asiwe na operating expenses kubwa..Kuna mama 1 Anauza matunda Mtaji wake Ni Kama laki 2..Ni mdau wangu Aliwahi niambia kwa siku anaweka elfu 20..Kama faida..Pia Kuna madogo wanalenga viatu, trousers, nk..Awa awkosi 20 Mpaka 30..Per day na huu ndo msimu..wa biashara.So mleta mada jichanganye kwa uzoefu wangu Akuna mbongo atakueleza exactly faida ya biashara anayofanya..Atakwambia Ni hasara tu Cha kushangaa yeye afungi iyo biashara inayompa hasara na anazidi kufanya maendeleo..
 
ANGALIZO
Biashara pia inategemea vitu viwili muhim, kama kuna mchungaji unaemwamin sali Sana. Kama unamganga unaemwamin roga sana, usiwe vuguvugu

huu ni ukweli mchungu ambao wengi wataupinga
Upo sahihi wengi watakuambia biadshara wanazofanya na faida yake lakini hawasemi kama wamenda kwa KALIMANZILA ila ukweli biashara bila kupata Tiba ya Mvuto utasota sana.
 
Hahah frem za laki 2 hapo bado na w/holding tax ya 10% ya serikali itakuhusu.
Hii w/holding tax serikali inabidi iitoe tu maana ni wizi, unamkata mtu kodi unamwambia mwenye nyumba atairudisha, anairudishaje? na wengi hawarudishi maana wanakuwa wamelipa kodi ya jengo hivyo kurudisha hiyo kodi kwa mpangaji ni kumuumiza zaidi, huu mpango JPM inabidi aingilie kati.
 
Miezi miwili iliyopita nilikua najihusisha na biashara ya vipodozi vya usoni vya wanawake..nilikua natumia mtaji wa tsh 30000 kwa siku nilikua naweza kupata wateja si chini ya 5 hadi 6 na kila bidhaa nilikua nauza 30000.. kwahiyo nilikua napata hadi laki na nusu faida..ila tatizo ilikua inachosha Sana na nilivyopumzika ndiyo nikapumzika mazima.
npe huo mchongo mm niuendeleze nna shda na pesa hapa nlipo ni balaaa ziiitoooo yna2
 
Back
Top Bottom