Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Hello my KingKabisa, huwezi kunipinga, utaniongezea tu mawazo. I know you well, you have positive and constructive mind my princess.
Morning.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hello my KingKabisa, huwezi kunipinga, utaniongezea tu mawazo. I know you well, you have positive and constructive mind my princess.
Morning.
dar panalemaza kama hamna kinachokuingiziaUkiona nnavyomsumbukia huyu bidada sasa ..utadhan nimezaliwa tumbo moja..nampenda coz ni mpambanaji...ila ndo hatak kutoka dar .amekuwa asrma hvyhvyo naskilizia misje fulani!nimemwambiaga soon mtaanza kutuita mafree mason[emoji6]
dar panalemaza kama hamna kinachokuingizia
jinsi unavyoamini ndivyo inavyokuwaANGALIZO
Biashara pia inategemea vitu viwili muhim, kama kuna mchungaji unaemwamin sali Sana. Kama unamganga unaemwamin roga sana, usiwe vuguvugu
huu ni ukweli mchungu ambao wengi wataupinga
safi sana mkuu, mimi pia nmewaambia hao mchawi ni location ,na huduma bora pia kauli nzuri kwa watejaHiyo mindset ndio tatizo la wengi. Kuamini biashara lazima uchawi au mchungaji akuombee ni potofu. Siri kubwa ni eneo sahihi kwa huduma sahihi na mtegemee MUNGU.
Linapokuja suala la ushindani hapo ndipo unapaswa kuwa makini. Mteja anapenda anapofika umthamini kwa kumuona yeye ni wa muhimu mpe attention, fanyia kazi mapungufu yoyote watakayo kuambia. Hivi wangapi mmewahi hata kuweka Kisanduku cha maoni ya wateja wenu hasa kama wewe ukai katika biashara yako? Kama uweki ina maana unaamini biashara yako ni perfect kitu ambacho ni kosa kubwa.
Achana na wachawi, wenyewe watakugeuza fursa faida yote irudi kwao mwisho utayumba. Lakini pia kila utakapopata majaribu hutoamini kama ni challenge za biashara.
mkuu, possibly unapiga mishe za madini/mchanga wa madiniMimi mishe zngu ni za kujirisk sana mkuu..alafu ni ngumu sana za kiume mnoo..wengi hawataweza naamin
huyo atakuwa ana mchumba huku darUkiona nnavyomsumbukia huyu bidada sasa ..utadhan nimezaliwa tumbo moja..nampenda coz ni mpambanaji...ila ndo hatak kutoka dar .amekuwa asrma hvyhvyo naskilizia misje fulani!nimemwambiaga soon mtaanza kutuita mafree mason[emoji6]
Hapo chini gawanya kwa siku 31 za August. Halafu hiyo ofisi moja ziko tatu hizo zenye performance inayo karibiana. Uzuri ni kwamba hizi wala hazina kazi nimechanganya na stationeries zinaingiza zaidi kuliko hizo kila moja.View attachment 1247447
Mkuu kuna chuo kinafundisha ufundi simuSasa Ongeza Na Ujuzi Wa Laptop
Kwa Siku utalala Na 200k
Mimi Nipo Huku Mkoan Napata Hadi 200k Per Day Nafanya Computer Na Simu
Sema Nina Vifaa Haswaa Ofisi Yangu Kam Mahabara Nina Mpak Microscope Nilinunua Ebay 1.2M Mpaka NIpata.
Now Nipo Namalizia Kupaua Ndugu.
WOTE MSIO NA AJIRA LAKIN UNAPENDA ELECTRONICS KOMAA NA COMPUTER AND PHONE REPAIR UTANIKUMBUKA
Mkuu mimi siajafundishwa na mtu, ni internet, youtube tutorial za kutosha na kukoseaMkuu kuna chuo kinafundisha ufundi simu
Faida ipoje?Nauza askirimu hizi za Mia Mia friza mbili! Moja nilikununua jipya 850,000 ni deep friza na lingine nilinunua used 400,000, baiskeli zakuzungushia 110,000, deli za kuuzia 100,000!
Upo sahihi wengi watakuambia biadshara wanazofanya na faida yake lakini hawasemi kama wamenda kwa KALIMANZILA ila ukweli biashara bila kupata Tiba ya Mvuto utasota sana.ANGALIZO
Biashara pia inategemea vitu viwili muhim, kama kuna mchungaji unaemwamin sali Sana. Kama unamganga unaemwamin roga sana, usiwe vuguvugu
huu ni ukweli mchungu ambao wengi wataupinga
Nyama nyama zipi mkuu?Ongeza nyama nyama kwenye mchango wako.
We nae na waganga[emoji33][emoji33]Upo sahihi wengi watakuambia biadshara wanazofanya na faida yake lakini hawasemi kama wamenda kwa KALIMANZILA ila ukweli biashara bila kupata Tiba ya Mvuto utasota sana.
Hii w/holding tax serikali inabidi iitoe tu maana ni wizi, unamkata mtu kodi unamwambia mwenye nyumba atairudisha, anairudishaje? na wengi hawarudishi maana wanakuwa wamelipa kodi ya jengo hivyo kurudisha hiyo kodi kwa mpangaji ni kumuumiza zaidi, huu mpango JPM inabidi aingilie kati.Hahah frem za laki 2 hapo bado na w/holding tax ya 10% ya serikali itakuhusu.
npe huo mchongo mm niuendeleze nna shda na pesa hapa nlipo ni balaaa ziiitoooo yna2Miezi miwili iliyopita nilikua najihusisha na biashara ya vipodozi vya usoni vya wanawake..nilikua natumia mtaji wa tsh 30000 kwa siku nilikua naweza kupata wateja si chini ya 5 hadi 6 na kila bidhaa nilikua nauza 30000.. kwahiyo nilikua napata hadi laki na nusu faida..ila tatizo ilikua inachosha Sana na nilivyopumzika ndiyo nikapumzika mazima.