Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unataka mtaji wa 30k-50k means kwa mwezi unakusanya 900k-1.5M
Basi jua iyo biashara ni kubwa inahitaji capital ya kuanzia 5M-10M na kuendelea
Kumbuka pikipiki kama boda boda na bajaji zinauzwa bei mkasi sana mfano boda boda 2.5M na wanarejesha kila siku 8000-10,000
Hivyo hivyo Bajaji inauzwa 7M wanarejesha kila siku 15,000-18,000
Uber yaani gari kama IST au tufanye vitz inacost approximatel 9M-13M
Wanarejesha 25k-30k
Hivyo unaweza ukachanganua ulicho nacho mfukoni kwako utaelewa iyo faida ya kila siku 30-50 unahitaji kuweka pesa kiasi gani
Na log out
Ofisi zako zipo maeneo gani mkuu?Mzunguko mtu mkuu, tena hapo nilikuwaga wateja wa voda nawakataa wanaoutuma mbali. Ila mwezi huu sichague muamala yesterday night niliacha above hizo figure na hata tigo ziko over 500k karibu katika ofisi zangu zote. Tunapeana hamasa ili muamasike na mchukue hatua.View attachment 1248914
DuhNa kusimamisha matiti..kupunguza vitambi.
Duh kweli aiseee maisha hayapo Sawa yaani mimi ukichanganya kamisioni zamitandao yote haifiki hiyo laki 5.Mzunguko mtu mkuu, tena hapo nilikuwaga wateja wa voda nawakataa wanaoutuma mbali. Ila mwezi huu sichague muamala yesterday night niliacha above hizo figure na hata tigo ziko over 500k karibu katika ofisi zangu zote. Tunapeana hamasa ili muamasike na mchukue hatua.View attachment 1248914
Hivi kwenye ule upepo wakisulisuli hakuwepo kweliiiHana hata mchumba..!analilia kuolewa balaa...!namwambiaga ninheipata hyo chance mm manengelo tht am free to move everywhr[emoji848][emoji848][emoji848]!
Duka muhimu la dawa, ukianza na mtaji mdogo M moja , ukabahatika kuuza laki moja kwa siku na ukawa na nidhamu ya pesa , UTATOBOA
uko vzurNimewahi kutoa uzi kuhusu samaki na maziwa. Miminatumia mtaji wa 60000 kwa siku usafiri 4000 nakunja 33000 kwa siku kama faida
Wengine tunapiga mikeka tu, BETTING [emoji3],
Mtaji kuanzi jero 500
Siku ikienda poa utajikuta unagawa elf tano tano kwa aliyekusogelea
NB: We kama hufatilii mpira usije kabisa huku,,
Kwa maelezo zaidi tembelea ule uzi Wazee wenzangu wa kubeti uko humu jf[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23] huku unaweza kustaafu kazi @ age ya 30s,unapiga mkwanja wa mafao kabisa[emoji119][emoji119][emoji119]Wengine tunapiga mikeka tu, BETTING [emoji3],
Mtaji kuanzi jero 500
Siku ikienda poa utajikuta unagawa elf tano tano kwa aliyekusogelea
NB: We kama hufatilii mpira usije kabisa huku,,
Kwa maelezo zaidi tembelea ule uzi Wazee wenzangu wa kubeti uko humu jf[emoji3]
Mjini hapa
nimetoa hoja za kutosha pita chambua zisome thenToa hoja, Usikatae kwa herufi Kubwa
Utaweza kuuza vipodozi vya kike? Una uvumilivu?
Kupelekea mteja alipo..kwa mfumo wa kutembeza au
hawa wateja si wanakua hapa hapa darKupelekea mteja alipo..
beli 1 tuseme nguo za watoto unaweza kukutana na Pair ngapi?Bei inategemea na quality ya beli nililofungua kwa mfano nguo za watoto kila moja inakuwa na bei yake. Ila viblause naweza kuanzia 10,000 kwa kimoja vikishachaguliwa sana nashusha nafanya 5000. Magauni naanzia 10,000 - 15,000 na unakuta beli la magauni linakuwa na kg 100 hivyo nguo no nyingi
Yeah..na wengine wa kuwatumia mikoani..hawa wateja si wanakua hapa hapa dar
fresh[emoji5]