Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Unalemewaje hata km luku inakusumbua?? Mm nnachafuka balaa ukiniona huwez jua ni mm..lakini nna amani moyoni najua napata nn...hii ni njia tu ya kuelekea ninapotaka...!ss kila siku unashinda saloon...ina maana gani ss..wanao unawatengenzea fyucha gan?umewah jiuliza ukifa wanao watasurvive vip!mm nikikumbuka hapo napata wazimu wa kuzitafta!
safi sana inaonyesha una haso sana
 
Haina ukweli hii...

Unaweza ukawa na mtaji mdogo, ukawa unafanya biashara yenye bidhaa iliyo na uhitaji mkubwa na ukaingiza faida inayorudisha mtaji kwa siku...

Ipo mifano mingi tu sina muda wa kuitaja Kenzpuls
Mkuu kama huna muda wa kutaja huu wa kuandika umeupata wapi?
 
hiii siri natamani wanawake wenye mitaji wasiojua cha kuifanyia waijue

nilimpa X wangu hiii biashara katika vitu ananiambiaga "kwanini hatokaa anisahau,ni kumpa hii biashara"

biashara moja ambayo haijulikani na katika watu wote wataochangia huu uzi na watakaotoka na mawazo ya kuyafanyia kazi

hamna ataechukua hili wazo,ila kwa mwenye mtaji wa 1M na haina kazi ajaribu tu then aone balaa lake

Mtaani Wananiita BOSS MATOROLI au BOSS MIKOKOTENI

Mbona husemi toroli moja ni sh ngapi kutengeneza?
 
Miezi miwili iliyopita nilikua najihusisha na biashara ya vipodozi vya usoni vya wanawake..nilikua natumia mtaji wa tsh 30000 kwa siku nilikua naweza kupata wateja si chini ya 5 hadi 6 na kila bidhaa nilikua nauza 30000.. kwahiyo nilikua napata hadi laki na nusu faida..ila tatizo ilikua inachosha Sana na nilivyopumzika ndiyo nikapumzika mazima.
Huu Uzi nimeuona wakati sahihi, nilikuwa nahitaji sana ABC za hii biashara.
 
Hakuna chenye faida kama Guest house.Tatizo ni mtaji tu...
Nimebadilisha nyumba ya kupanga (ya urithi)ikawa guest house.Ilikua na room 12.Mbovu mbovu tu.kwa siku nilikua napata zaidi ya 90k.Saiv nimekarabati naingiza zaidi.Nina mpango wa kujenga ingine
Je ukiwa na sehemu ya massage inakuaje
 
Miezi miwili iliyopita nilikua najihusisha na biashara ya vipodozi vya usoni vya wanawake..nilikua natumia mtaji wa tsh 30000 kwa siku nilikua naweza kupata wateja si chini ya 5 hadi 6 na kila bidhaa nilikua nauza 30000.. kwahiyo nilikua napata hadi laki na nusu faida..ila tatizo ilikua inachosha Sana na nilivyopumzika ndiyo nikapumzika mazima.
Kwahiyo saa hiv una danga ama?
 
Back
Top Bottom