Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Mim nadeal na kitimoto aise kila nikiuza kila 10 faida yake ni 40000 kwa vile mm nitanunua kwa mchinyajiji buku 5 kwa kilo mim nitauza kwa elfu 9000 kwa kilo hvyo huwa nikiuuza kilo 30 kwa siku ckozi faida ya laki moja kwa siku mtaji wa kilo 30 ni laki na 50 hvyo ikipata ofc au pahala hakikisha anzisha business hii laki kwa siku mim huwa ni kawaida ...nawasilisha kama unaitaji maelezo zaid check me DM /pm nitakupa abcd
Ina maana watu wanakula kitimoto daily
 
Biashara hii haingalii wingi wa fedha ulizo nazo, inategemea sana mzunguko wa fedha kwa eneo husika. Kuwa na fedha nyingi kunakupa faida ya ziada kwa maana hakuna hela ya mteja utakayoikosa na kingine miamala ya fedha nyingi ndio yenye commission kubwa.

Kila ofisi yangu moja nimeweka 8m.
mkuu hongera sana, mimi nimeweka m 3 tu kila ofisi, na nimefanya hivyo kwa sababu nina laini binafsi za float, wakipata mteja wananishtua fasta nawatumia salio. Halafu pia eneo nilipo ni rahisi sana kupata cash au float, mawakala tunasaidiana, pia mawakala wakuu wapo, unawapigia wanakutumia fasta
 
Biashara hii haingalii wingi wa fedha ulizo nazo, inategemea sana mzunguko wa fedha kwa eneo husika. Kuwa na fedha nyingi kunakupa faida ya ziada kwa maana hakuna hela ya mteja utakayoikosa na kingine miamala ya fedha nyingi ndio yenye commission kubwa.

Kila ofisi yangu moja nimeweka 8m.
hv mawakala huwa mnakabiliana vp na hawa matapeli mfano mtu anakuja kudeposit pesa afu anakupa noti feki (unatumia njia gan kutambua noti feki)
na pia kuna wale matapeli wanakuja wanakutumia sms kiujanja kwamba wamewithdraw kumbe hamna ktu, pasipo kujua ww unawapa hela wanasepa badae kuangalia salio unakuta hamna ktu
 
Ngoja niwape udaku huu,nakumbuka miaka ya 2007 sikuwa na mtaji wa keshi isipo kua nilikua na ufundi wa simu,ambao nilifundishwa na jamaangu mmoja anaitwa masasi alikua fundi mzuri sana asie na uchoyo....wakati nikijifunza kazi hiyo ofcn kwake alikua akiingiza sio chini ya laki 1 mbaka zaidi hii ilini fanya nijitume kujua kazi hiyo vema.nilipo jua ndipo nikakopa vitendea kazi nikaanza kazi mdogo mdogo kwa kwwli elf 20 paday mbaka 40 sikukosa hapo ndipo nilipo tokea

Mkuu naomba umfundishe mdogo wangu hii kazi ya kutengeneza simu . Nicheki 0757786054
 
kwa aliyefanya hii biashara mikoani atupe uzoefu wakuu
popote inalipa

ukianza angalia tu sijui hii biashara ni ya sehemu flani tu "tayari una feli"

Biashara ni nini?

Biashara ni kuangalia jamii ina tatizo gani kisha unaenda watatulia kwa njia ya wao kutoa pesa

so

ukienda kufanya biashara hii mkoani sitegemei kukuona umeenda tengeneza matoroli halafu ukaenda yaweka

sehemu zenye kazi official..unapoamua fanya hiii biashara kwanza utambue Toroli halibebi mtu,toroli linabeba

Mizigo inaweza kuwa mbao/matofali/mizigo ya sokoni/maji ya kuuza/nk nk

Ukishajua kazi ya hilo toroli lako nadhani mkoa wowote unaweza peleka matoroli na ukapiga pesa.

USHAURI

jitahidi uanze na zaidi ya vi toroli vi 6 kwenda mbele,sio chini ya hapo

Toroli 1 ni hela yako ya kula kwa siku then vitoroli hivi vi 5 ni hela ya kuweka
 
mkuu hongera sana, mimi nimeweka m 3 tu kila ofisi, na nimefanya hivyo kwa sababu nina laini binafsi za float, wakipata mteja wananishtua fasta nawatumia salio. Halafu pia eneo nilipo ni rahisi sana kupata cash au float, mawakala tunasaidiana, pia mawakala wakuu wapo, unawapigia wanakutumia fasta
Shukrani mkuu, acha tukomae tu maana serikalini kwenyewe tumeajiriwa mishahara haikutani. Hakuna namna.
 
hv mawakala huwa mnakabiliana vp na hawa matapeli mfano mtu anakuja kudeposit pesa afu anakupa noti feki (unatumia njia gan kutambua noti feki)
na pia kuna wale matapeli wanakuja wanakutumia sms kiujanja kwamba wamewithdraw kumbe hamna ktu, pasipo kujua ww unawapa hela wanasepa badae kuangalia salio unakuta hamna ktu
Kwa kawaida ukishazioea noti, ikipita bandia mikononi mwako haushindwi itambua. Ukiingalia hologram iliyopo ktk noti inatosha kuitambua. Hao wezi wengine mara nyingi kama umekiuka misingi ya kazi hii. Huwa tunafundisha wakishazoea ni nadra sana kuibiwa. The last time kuibiwa ni February 2017, TSh 800k, ila ulikuwa ni ushirika wa mfanyakazi wangu na rafiki yake wa nje walishirikiana.
 
sawa sawa.
Kwa kawaida ukishazioea noti, ikipita bandia mikononi mwako haushindwi itambua. Ukiingalia hologram iliyopo ktk noti inatosha kuitambua. Hao wezi wengine mara nyingi kama umekiuka misingi ya kazi hii. Huwa tunafundisha wakishazoea ni nadra sana kuibiwa. The last time kuibiwa ni February 2017, TSh 800k, ila ulikuwa ni ushirika wa mfanyakazi wangu na rafiki yake wa nje walishirikiana.
 
Hiyo mindset ndio tatizo la wengi. Kuamini biashara lazima uchawi au mchungaji akuombee ni potofu. Siri kubwa ni eneo sahihi kwa huduma sahihi na mtegemee MUNGU.

Linapokuja suala la ushindani hapo ndipo unapaswa kuwa makini. Mteja anapenda anapofika umthamini kwa kumuona yeye ni wa muhimu mpe attention, fanyia kazi mapungufu yoyote watakayo kuambia. Hivi wangapi mmewahi hata kuweka Kisanduku cha maoni ya wateja wenu hasa kama wewe ukai katika biashara yako? Kama uweki ina maana unaamini biashara yako ni perfect kitu ambacho ni kosa kubwa.

Achana na wachawi, wenyewe watakugeuza fursa faida yote irudi kwao mwisho utayumba. Lakini pia kila utakapopata majaribu hutoamini kama ni challenge za biashara.
Nishawahi kufanya deep conversation na two most successful businessmen, mmoja ana sheri za Mafuta na maroli mwengne anamaduka ya hardware na anamaroli, pia nmetoka kuhitim elimu ya utawala biashara, hivo matumizi ya imani hayaingiliani kabisa na issue za location na changamoto zingne, in short uchawi kwenye business upo
 
Bila samahani mkuu

Unaenda TRA unawambia biashara uliokua unaifanya umefilisika so umefunga unatafuta mtaji upya

Wataaangalia kama wanakudai utalipia viporo vyako then TIN inasimama

ukirudi huku unaendelea na kazi zako ka kutumia kitambulisho cha machinga

Kama ulikua unaduka kubwa itabidi ulipunguze uwape vijana wakatembeze vitu kama machinga

ili duka libaki kiduchuuu na kamtaji kanakoonekana kanasua sua

Usijaze tena duka (hii inategemea ni biashar gani ulikua unafanya)
Mkuu vitambulisho vya machinga vinapatikana wapi?
 
Back
Top Bottom