Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Sasa unasubiri nini...nenda kwa waganga huko vijijini wakakupe ubilionea...wanahitaji kuku tu mkuu
Wewe kuna vitu unachanganya.

Binafisi nimekaa pangani hizi mambo za uchawi nimeona viashilia vyake, na baadhi ya watu hayo maeneo wana-practice uchawi kwenye biashara kwa kuwatoa watoto wao kafala na wengine kupewa masharti ya kutolala nje ya ndoa, so uchawi upo kwenda chuo sio kuwaondoa wachawi duniani. Kufanya wanafanya wasomi na wasio wasomi.
 
Wewe kuna vitu unachanganya.

Binafisi nimekaa pangani hizi mambo za uchawi nimeona viashilia vyake, na baadhi ya watu hayo maeneo wana-practice uchawi kwenye biashara kwa kuwatoa watoto wao kafala na wengine kupewa masharti ya kutolala nje ya ndoa, so uchawi upo kwenda chuo sio kuwaondoa wachawi duniani. Kufanya wanafanya wasomi na wasio wasomi.
Binafsi siamini kama biashara zako zinaweza fanikiwa kwa kupitia ushirikina...hicho ndo nachopinga...kuna waganga wa kienyeji wamevamia huu uzi kutafuta wateja
 
ila sasa mzee baba je kama nnataka nkafanye ile hat trick ya kuua TIN .....kama nisipokua nacho hiki si ndo wale WANAFUNZ WA CHUO watansumbua sasa wakija kwny office yangu
Achana navyo mkuu havina dili saivi

wengine tulichukua kujificha tu ila havina issue yyte

usipoteze hela yako kununua..

ila kama umedhamiria "nenda ofisi ya serikali yako ya mtaaa utavikuta vyakutosha"
 
This is true biashara ya Uber/Taxify inaingiza 25k to 30k per day mi na gari mbili napata 50k per day minus expenses.. Ndio biashara nayofanya
Mze baba mi nataka ninunue bajaji niache kazi then niendeshe nwenyewe nipe ushauri wako location nibayoitaget ni Dodoma
 
Nimewahi kutoa uzi kuhusu samaki na maziwa. Miminatumia mtaji wa 60000 kwa siku usafiri 4000 nakunja 33000 kwa siku kama faida
Mkuu samahani nipe link ya huo uzi!!! Nipitie natanguliza shukrani
 
Sasa Ongeza Na Ujuzi Wa Laptop
Kwa Siku utalala Na 200k

Mimi Nipo Huku Mkoan Napata Hadi 200k Per Day Nafanya Computer Na Simu

Sema Nina Vifaa Haswaa Ofisi Yangu Kam Mahabara Nina Mpak Microscope Nilinunua Ebay 1.2M Mpaka NIpata.

Now Nipo Namalizia Kupaua Ndugu.

WOTE MSIO NA AJIRA LAKIN UNAPENDA ELECTRONICS KOMAA NA COMPUTER AND PHONE REPAIR UTANIKUMBUKA

UPDATES:

Watu wananifuata PM Wananiuliza Watajifunzaje, Jamani Hivi Vitu Ni Practical Sana, Unahitaji Basic Knowledge Tu.

Na Yote Ipo Kwenye INTERNET Sijawahi Kufundishwa na Mtu Kuhusu Electronics Au Software Za Simu Na Laptop
Ni Kujifunza Then Unharibu Unasimama Mpaka Mwisho

Nilishazima Simu Kama 20 Za Watu, Ni Kweli Lakini Huwez Amin Kipind Hicho Nilijifunza Sana.

USIOGOPE, JITOE ANZA KUJIFUNZA.

Pita Hapa Upate Mwangaza Kidogo

Mkuu upo mkoa gani?
 
Kuna dogo alifnikiwa sana miaka miwili ya hapa juzi2016had leo hii ni succesful...kumbe bwana anaamini waganga...!anaaminishwa aishi na mwanamke umri wa mama mzaz!

Kufupisha stry huyo bibi amekwazana naye walifumaniana sijui...dogo alikia ana zaidi ya bodaboda 22...!jana ameziuza zote kwa bei ya 700k!
Anasema mganga amemwambia auze hela amplekee akaifanyie ndumb[emoji28]!hv ndo anavyoamini yy...!
Mmmmh sasa huyo alifanikiwaje akiwa na akili za kijinga hivyo
 
Back
Top Bottom