Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Miezi miwili iliyopita nilikua najihusisha na biashara ya vipodozi vya usoni vya wanawake..nilikua natumia mtaji wa tsh 30000 kwa siku nilikua naweza kupata wateja si chini ya 5 hadi 6 na kila bidhaa nilikua nauza 30000.. kwahiyo nilikua napata hadi laki na nusu faida..ila tatizo ilikua inachosha Sana na nilivyopumzika ndiyo nikapumzika mazima.
 
Kibonge mvivu![emoji4][emoji4][emoji4]
Miezi miwili iliyopita nilikua najihusisha na biashara ya vipodozi vya usoni vya wanawake..nilikua natumia mtaji wa tsh 30000 kwa siku nilikua naweza kupata wateja si chini ya 5 hadi 6 na kila bidhaa nilikua nauza 30000.. kwahiyo nilikua napata hadi laki na nusu faida..ila tatizo ilikua inachosha Sana na nilivyopumzika ndiyo nikapumzika mazima.
 
Hivi mnachokaje jaman km unaingiza hela??.. Mie nimelazwaga mara 2...ukweli nilitoka kwa kushinikiza nikakakikisha namaliza dose na mlo mzuri...nikarudi kbaruani kama kawa..hapana jaman hela iheshimiwe!
Mm hapana aisee
Sababu nilichokua nakitaka nilikipata..na ndicho ninachokifanya Sasa..ile ilikua tu njia ya kufikia nilipo Sasa.

Ingawa nataka kurudi tena [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom