Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una jina la biashara au kampuni?Nauza mkorogo 😂😂 vifaa vinanigarimu 50000 natoa kopo 10, kila kopo nauza 25000. Kwa siku naweza kuuza kopo mbili mpk nne. Wateja Facebook na Instagram. Na business nyingine ila hii ndio inanipa faida kubwa.
Mkorogo/viambata vya sumu utaruhusiwa na jamhuri ipi kufungua Co. hio?Una jina la biashara au kampuni?
Nina mpango wa kufanya ivyo nikirudi tena kwenye hiyo biashara..ila hongera kwa kupambana dear.Me mwenzio nimetafuta kijana namlipa ananisambazia .
Hahahaha, si ni kiwanda hichoMkorogo/viambata vya sumu utaruhusiwa na jamhuri ipi kufungua Co. hio?
Mkuu hiyo 90k umetoa gharama za maji na umeme pamoja na posho kwa wafanyakazi.? Hiyo ni faida au mapatoHakuna chenye faida kama Guest house.Tatizo ni mtaji tu...
Nimebadilisha nyumba ya kupanga (ya urithi)ikawa guest house.Ilikua na room 12.Mbovu mbovu tu.kwa siku nilikua napata zaidi ya 90k.Saiv nimekarabati naingiza zaidi.Nina mpango wa kujenga ingine
Hahahaha, si ni kiwanda hicho
Mkuu mtaji wako ni kiasi gani?Hapo chini gawanya kwa siku 31 za August. Halafu hiyo ofisi moja ziko tatu hizo zenye performance inayo karibiana. Uzuri ni kwamba hizi wala hazina kazi nimechanganya na stationeries zinaingiza zaidi kuliko hizo kila moja.View attachment 1247447
Nauza mkorogo [emoji23][emoji23] vifaa vinanigarimu 50000 natoa kopo 10, kila kopo nauza 25000. Kwa siku naweza kuuza kopo mbili mpk nne. Wateja Facebook na Instagram. Na business nyingine ila hii ndio inanipa faida kubwa.
Bado yaja 30000. Ila hujasema mtajiHapo chini gawanya kwa siku 31 za August. Halafu hiyo ofisi moja ziko tatu hizo zenye performance inayo karibiana. Uzuri ni kwamba hizi wala hazina kazi nimechanganya na stationeries zinaingiza zaidi kuliko hizo kila moja.View attachment 1247447
MPE MWONGOZO MKUU.
Hongera mkuuHapo chini gawanya kwa siku 31 za August. Halafu hiyo ofisi moja ziko tatu hizo zenye performance inayo karibiana. Uzuri ni kwamba hizi wala hazina kazi nimechanganya na stationeries zinaingiza zaidi kuliko hizo kila moja.View attachment 1247447
Nimeharibu Nini mkuuAaaaaaa umeharibu, naomba unze tena
Chumba ni buku 10.nina vyumba 12.Hapo napata 120k kila siku hapo bado kuna (short time)niko na mfanyakazi mmoja tu.30k.Mkuu hiyo 90k umetoa gharama za maji na umeme pamoja na posho kwa wafanyakazi.? Hiyo ni faida au mapato
Ahsante mkuu, wakushukuriwa ni Mungu, jitihada na uvumilivu, kuwa msikivu na ukiacha majivuno kila kitu kinawezekana.Hongera mkuu