Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Hajui kitu huyo. Mafuta ya elfu 5 unatoka Mbagala unaenda Boko na kurudi na yanabaki. Je ni sh ngapi huo mzunguko? Tuchukulie ndio umepiga route ndogo ndogo. Hajui kitu huyo.
yule namwambia akawa analeta ligi eti boda boda anaingiza 15000

nikaona huyu nimtwange swali 1 tu aniambie mafuta ya 5000 yanaleta sh ngapi
 
Mkuu, hii mikokoteni yenye madumu inafanya kazi sehemu isiyo na shida ya maji? Maana kuna sehemu naitarget hakuna kabisa shida ya maji. Na bei ya kukodisha mkokoteni 1 ni wastani wa kiasi gani?
Thanks@CONTROLA,
 
Hello wananzengo

Jamani jamani jamani, Niko serious, utani matusi na mizaha isiyokua na tija haitapokelewa.

Give me 3 million or 4 million na nakuahidi ntakachopata ambacho ni zaidi ya milioni 250, nitakupa milioni 50. Nina uhakika na nachoenda kufanya.

Guarantee tutaingia makubaliano kisheria kabisa, nina asset kama nyumba na kiwanja. This is serious. Wengi wana hela lakini hawajui wazifanyie nini ila wengine hatuna lakini nafasi kama hizi zinatujia kila uchwao.

When you are Man, you have to find money and more money, and more and more money, pssy, bia, starehe, zipo tu but ... MONEY, POWER. UJI ESTABLISH AS A MAN kwanza ndo mengine yafuate.

Mawasiliano zaidi yatafanyika pm.

Asante na karibu for serious minded.
 
Mkuu, hii mikokoteni yenye madumu inafanya kazi sehemu isiyo na shida ya maji? Maana kuna sehemu naitarget hakuna kabisa shida ya maji. Na bei ya kukodisha mkokoteni 1 ni wastani wa kiasi gani?
Thanks
Mkokoteni kazi yake sio kubeba maji tu mkuu (usikariri nakuomba)

Ukishakua na mkokoteni ni sawa na mpishi mwenye sufuria

Ile sufuria inapikia chakula chochote and then mikokoteni sio yako

Mikokoteni ni ya wateja (yako ni pesa) Tangeneza mikokoteni weka hapo

Wataokuja kukodisha watajua wenyewe wanaenda kubebea nini,hata kama wakienda kubebana wenyewe "usijali"

we ili mradi wanakulipa pesa yako..

Bei ya mkokoteni inategemea mtu anakodisha mkokoteni kwenda kufanyia kazi gani 1

Pili kuna kukodi mkokoteni kama mkokoteni(bei yake)

Tatu kuna kukodi mkokoteni na madumu yake(bei yake)

BEI : panga mwenyewe maana wewe ndio unaejua unataka nini na umetumia sh ngapi hadi kufika hapo mikokoteni ilipo.
 

Naona mambo ya FOREX yanataka kukudatisha.

Halafu nimekumbuka na zile saa kule Q-NET si zinauzwa mil.4 sio?

GOODMORNING BILLIONAIRE.
 
Naona mambo ya FOREX yanataka kukudatisha.

Halafu nimekumbuka na zile saa kule Q-NET si zinauzwa mil.4 sio?

GOODMORNING BILLIONAIRE.
sema haya mambo bhana kizungumkuti..wengine wanapiga pesa kweli wengine tunabaki tunahoji a to z how comes!! nna jamaa yangu aliingia Qnet kwa hiyo saa ya 4 mil, ni mwaka sasa ila ameshajenga, ana gari, saiv kanunua kiwanja anataka ajenge nyumba za kupanga

that's life!
 

Ulikua unauzia wapi?
 
kila nkiangalia ule uzi wako wa ufundi smu na computer huwa napata morale sana wa kufanya hii kazi mzee kukunja 150k kwa sku sio mchezo

Mkuu Komaa Tu, Kaza Sana Siku ukiwa na fremu yako unakula maisha utagundua mungu ni wa ajabu sana
Trust me nina Diploma Ya Clinical Medicine Lakini Nimehangukia Huku Sasa Na Nilipopita Ndio Huko.
 


Mwezi huu huu kuna mtu nimrkutana naye kwenye mishe za kazi...ni hustler .kazichanga ..nikamuuliza ishu zake...hakunificha...akaniambia unataka kuwa milionea haraka?nikamwambia sema kwanza nijipime...akasema peleka mara 2 tu Burundi bangi..lima tabora!..hhahaa nikaishia ku🙆🙆🙆!...akasema usizidi hapo...! ...uwiii🤣 hapana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…