Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

MKUU,
WEWE KWA NINI HAUTAKI KUNIFUNDISHA UFUNDI SIMU WAKATI NAMI NIPO MTWARA?

TUANZIE HAPO KWANZA.
Hujataka tu mkuu, nasema hivi, hujataka tu mkuu, mtu mwenye nia ya jambo huonekana, lakini pia siku nyingine ukiwa na shida jifunze kua mdogo , acha kuuliza maswali ya kijinga namna hii instead msumbue huyo mhusika na shida yako , atafika mahali tu ataguswa atakusaidia
 

Umeona eh!hajataka ..lile neno mtaka cha uvunguni shart ainame huwa ni kweli kbs
 
MKUU,
WEWE KWA NINI HAUTAKI KUNIFUNDISHA UFUNDI SIMU WAKATI NAMI NIPO MTWARA?

TUANZIE HAPO KWANZA.
Dah Unanionea Sana Mkuu

Kama Ulishawahi Kunifuata Nikakukatalia Basi Mimi No Mmoja Kati Ya Watu Wenye Roho Mbaya Sana.

Ofisi Yangu Ina Matatizo Kidogo, Kuna Mtu Alikuja Nimfundishe Nikamumini Akaiba PC 6 Za Watu Akapotea Na Siwafahamu Hata Ndugu Zake, Ni Huruma Yangu Tu Iliniponza, Nimefunga Kwa Muda Nahitaj Ku Recover Nitafungua Tena December Na Sipo Mtwara Nipo Nyumbani.

Mimi Simkatalii Mtu Kumfundisha Tatizo Uaminifu, Uaminifu, Uaminifu.

Nikirudi Nitakujulisha Ila Tutaingia Mkataba, Nimejifunza Tayari.
 
Nimepata eneo ila jiko na vingine naona inafika mil na mm mtaji ninao laki 5 ,nisaidie hapa ww unawezaje kwa hyo laki 7?
Kama una kazi nyingine arafu unataka ufungue biashara ya chips uweke mtu bila kumsimamia nakushauri ufikirie Mara mbili mbili hilo wazo lako mm binafsi nishalia sana na vijana wa chips na wame nipa hasara sana hadi nine fung yani ni pasua kichwa una kuta mtu kamaliza vitu vyote arafu hela ukimuliza hana ana kwambia bro biashara mbaya sana ina kuaje mbaya wakati chips zime kwisha mishkaki hakuna mayai yame kwisha yani basi tu
 
V75 ndio nini mkuu,broker yupi mzuri ambae unaweza kuanza na dollar 100.
 
Lazima kuna short time hapo
 
Sababu nilichokua nakitaka nilikipata..na ndicho ninachokifanya Sasa..ile ilikua tu njia ya kufikia nilipo Sasa.

Ingawa nataka kurudi tena [emoji1787][emoji1787]
tofauti na malengo ulipokuwepo kugumu hatari haahaas
 
Inategemea na mazingira uliyokuwepo ila mimi hapa nilipo ni uswazi napata 50,000 per day siku biashara ikiyumba aishuki chini ya 30,000
Safi sana mkuu,hapo sio haba kabisa.
 
Kwenye pepperstone kuna skrill?
 
ABC bank hawana usumbufu miamala yao,vipi mtu akiwa mkoani na hii ABC bank deposit unaifanya kwa njia gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…