Hujataka tu mkuu, nasema hivi, hujataka tu mkuu, mtu mwenye nia ya jambo huonekana, lakini pia siku nyingine ukiwa na shida jifunze kua mdogo , acha kuuliza maswali ya kijinga namna hii instead msumbue huyo mhusika na shida yako , atafika mahali tu ataguswa atakusaidiaMKUU,
WEWE KWA NINI HAUTAKI KUNIFUNDISHA UFUNDI SIMU WAKATI NAMI NIPO MTWARA?
TUANZIE HAPO KWANZA.
Hujataka tu mkuu, nasema hivi, hujataka tu mkuu, mtu mwenye nia ya jambo huonekana, lakini pia siku nyingine ukiwa na shida jifunze kua mdogo , acha kuuliza maswali ya kijinga namna hii instead msumbue huyo mhusika na shida yako , atafika mahali tu ataguswa atakusaidia
Kabisa, hajawa na nia huyoUmeona eh!hajataka ..lile neno mtaka cha uvunguni shart ainame huwa ni kweli kbs
Dah Unanionea Sana MkuuMKUU,
WEWE KWA NINI HAUTAKI KUNIFUNDISHA UFUNDI SIMU WAKATI NAMI NIPO MTWARA?
TUANZIE HAPO KWANZA.
150,000/= Mimi ninayo mawili ilinitoka laki tatu mana mm yangu nime weka matairi ya pikipiki yaliyo tumika ambapo fremu pekee nili tengeneza kwa 60,000/= hayo matairi mawili nilinunua 90,000/=Hv toroli moja yaweza kugharimu bei boss, wengine mitaji mpaka tu make mdogo mdogo
Kama una kazi nyingine arafu unataka ufungue biashara ya chips uweke mtu bila kumsimamia nakushauri ufikirie Mara mbili mbili hilo wazo lako mm binafsi nishalia sana na vijana wa chips na wame nipa hasara sana hadi nine fung yani ni pasua kichwa una kuta mtu kamaliza vitu vyote arafu hela ukimuliza hana ana kwambia bro biashara mbaya sana ina kuaje mbaya wakati chips zime kwisha mishkaki hakuna mayai yame kwisha yani basi tuNimepata eneo ila jiko na vingine naona inafika mil na mm mtaji ninao laki 5 ,nisaidie hapa ww unawezaje kwa hyo laki 7?
V75 ndio nini mkuu,broker yupi mzuri ambae unaweza kuanza na dollar 100.Ukiwa na mtaji wa 350k almost $150+ bac unaweza kutengeneza zaid ya 30k kwa siku, tafuta wataalamu wa crypto na forex ufundishwe huko ndo hela iko utakuza capital yako mpaka utashangaa cha msing tu usiwe na tamaa sana na uwe na risk management tena saivi kama ukitrade v75 kama unaijua vizuri bac kwa cku unaingiza hela ambazo hukuwai kuzania kama utaingiza per day hii kutokana na mtaj wako
Lazima kuna short time hapoHakuna chenye faida kama Guest house.Tatizo ni mtaji tu...
Nimebadilisha nyumba ya kupanga (ya urithi)ikawa guest house.Ilikua na room 12.Mbovu mbovu tu.kwa siku nilikua napata zaidi ya 90k.Saiv nimekarabati naingiza zaidi.Nina mpango wa kujenga ingine
Daaah,hii ni life sentence!Mwakajana kuna mzee mmoja alikamatwa huko Tabora alikuwa na gunia hamsini na tisa (59).
tofauti na malengo ulipokuwepo kugumu hatari haahaasSababu nilichokua nakitaka nilikipata..na ndicho ninachokifanya Sasa..ile ilikua tu njia ya kufikia nilipo Sasa.
Ingawa nataka kurudi tena [emoji1787][emoji1787]
[emoji44]tofauti na malengo ulipokuwepo kugumu hatari haahaas
Inategemea na mazingira uliyokuwepo ila mimi hapa nilipo ni uswazi napata 50,000 per day siku biashara ikiyumba aishuki chini ya 30,000Unaweza kuingiza sh ngapi kwa siku hii biashara?
Safi sana mkuu,hapo sio haba kabisa.Inategemea na mazingira uliyokuwepo ila mimi hapa nilipo ni uswazi napata 50,000 per day siku biashara ikiyumba aishuki chini ya 30,000
Kwenye pepperstone kuna skrill?- So far narecommend tumia pepperstone broker
- Deposit kwa credit card (ABC Bank au Equity) direct inakata, within 2 minutes
- Withdraw direct to credit card (ABC Bank) , inachukua siku 2 - 3
- Mpesa option ishakua kimeo mpk hapo watakapo resolve na BoT. Lini hatujui
ABC bank hawana usumbufu miamala yao,vipi mtu akiwa mkoani na hii ABC bank deposit unaifanya kwa njia gani?- So far narecommend tumia pepperstone broker
- Deposit kwa credit card (ABC Bank au Equity) direct inakata, within 2 minutes
- Withdraw direct to credit card (ABC Bank) , inachukua siku 2 - 3
- Mpesa option ishakua kimeo mpk hapo watakapo resolve na BoT. Lini hatujui
mbona ulisema mama yako anafanya hiyo biashara mpaka kesho? au umesahauHapana mkuuu sina kabisa sijawahi pata mtu wa hiyo biashara nikakaa nae nikamchimba chimba
nilisema mama yangu anafanya biashara gani?mbona ulisema mama yako anafanya hiyo biashara mpaka kesho? au umesahau
Umenishawishi sana kiongozi ila hujataja bei ya kila nguo!
MKUU,Bila kupepesa macho ww ndo hutaki..sidhan km yy ndo akufate ww..!lol..cha uvunguni sharti uiname