Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
MKUU,Hujataka tu mkuu, nasema hivi, hujataka tu mkuu, mtu mwenye nia ya jambo huonekana, lakini pia siku nyingine ukiwa na shida jifunze kua mdogo , acha kuuliza maswali ya kijinga namna hii instead msumbue huyo mhusika na shida yako , atafika mahali tu ataguswa atakusaidia
Mkuu,Umeona eh!hajataka ..lile neno mtaka cha uvunguni shart ainame huwa ni kweli kbs
NIA IPO MKUU.Kabisa, hajawa na nia huyo
Dada angu nipe connection uko ulipo nije.Raoluoroliech
Hicho tu ndo kinawacost watu....nna shost amefirisika sn ss hv...namwambia oya toka dar njoo mkoani anakuambia manengelo siwez toka huku..anasema anakomaa na jiji..vocha tu nwdys inamshinda...unabak kumshanga ss unafanya nn huko!yote hyo ni hofu na woga...!nitaonekanaje....!kitu ambacho ni mbaya sna!...
Mkuu,
WEWE nia yako Mimi nisiwe fundi au??
Nipe mwongozo kidogo hapo.
Mkuu sijafika popote napotaka..tupambane tu wote!Dada angu nipe connection uko ulipo nije.
Kwenye biashara hatuzungumzii, wala relation kwa namna yoyote ile na ufalme wa mbinguni otherwise iwe charity business nami sijaulizia kwenye mkondo huo, nimeuliza how to make money in guest business.Uliliona Swali Nililoulizwa Nikatoa Hill Jibu???
Kwenye Biashara Yako Wewe, Yangu Mimi Binafsi Namtanguliza Mungu.Kwenye biashara hatuzungumzii, wala relation kwa namna yoyote ile na ufalme wa mbinguni otherwise iwe charity business nami sijaulizia kwenye mkondo huo, nimeuliza how to make money in guest business.
Asante Na Ni Kawaida Bro, Mimi Huwa Naamin Kila Kitu Kinakujaga Kwa Reason.Mkuu,
Pole sana kwa janga lililokukuta,
Nasisitiza pole sana.
Ulikuwa na nia ya kusaidia, Ila wema wako umekusababishia pigo.
Kinachonisikitisha zaidi NI kuwa HUYO mjinga aliyekuibia ametengeza mazingira magumu kwa wengine ambao wangenufaika kupitia wewe- kwani naamini kwa Sasa huwezi kumkaribisha mtu kwa ukiwa na amani na Imani kama ilivyokuwa awali.
Yaaap, nakubaliana na msimamo wako, ingawa nipo tofauti na wewe.Kwenye Biashara Yako Wewe, Yangu Mimi Binafsi Namtanguliza Mungu.
Kila Mtu Ana Strategy Take Ya Kuzid Kusimama Kwenye Game.
Yangu Ni Hiyo.
Asante.
Ipoje hi nimfundishe wifeNauza mkorogo [emoji23][emoji23] vifaa vinanigarimu 50000 natoa kopo 10, kila kopo nauza 25000. Kwa siku naweza kuuza kopo mbili mpk nne. Wateja Facebook na Instagram. Na business nyingine ila hii ndio inanipa faida kubwa.
Na ukiinama unaliwa [emoji23][emoji23]Bila kupepesa macho ww ndo hutaki..sidhan km yy ndo akufate ww..!lol..cha uvunguni sharti uiname
Naomba ufafanuzi kwa hapa kidogoNimewahi kutoa uzi kuhusu samaki na maziwa. Miminatumia mtaji wa 60000 kwa siku usafiri 4000 nakunja 33000 kwa siku kama faida
Mkokoteni mmoja shingap mkuuhiii siri natamani wanawake wenye mitaji wasiojua cha kuifanyia waijue
nilimpa X wangu hiii biashara katika vitu ananiambiaga "kwanini hatokaa anisahau,ni kumpa hii biashara"
biashara moja ambayo haijulikani na katika watu wote wataochangia huu uzi na watakaotoka na mawazo ya kuyafanyia kazi
hamna ataechukua hili wazo,ila kwa mwenye mtaji wa 1M na haina kazi ajaribu tu then aone balaa lake
Mtaani Wananiita BOSS MATOROLI au BOSS MIKOKOTENI
Nmefanya hii kazi na kampuni Fulani apa Arusha, ni nzuri but ina risk sana aise..Biashara nyngne inayolipa ni sales, nunua pikipiki yako then chukua Bidhaa kutoka kwenye maduka ya jumla zungusha mtaani, 30k faster tu, kama mtaji unaruhusu nunua kirikuu minimum profit apo 50k, ushawahi kujiuliza why hiz selling companies inakikirikuu tu na mtaji usiozidi 10m lakn wanamlipa salesperson 400k, wana HR, accountants,managers, madepartments kibao na wanawalipa handsomely, they pay bills kama rent kwa mamilion ya hela kwa hicho hicho kikirikuu?