Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Hujataka tu mkuu, nasema hivi, hujataka tu mkuu, mtu mwenye nia ya jambo huonekana, lakini pia siku nyingine ukiwa na shida jifunze kua mdogo , acha kuuliza maswali ya kijinga namna hii instead msumbue huyo mhusika na shida yako , atafika mahali tu ataguswa atakusaidia
MKUU,

HILO SWALI SIO LA KIJINGA,
NI LA MTU MWENYE USONGO WA JIFUNZA FANI.
 
Mtwara Smart, Mkuu,

Pole sana kwa janga lililokukuta,
Nasisitiza pole sana.
Ulikuwa na nia ya kusaidia, Ila wema wako umekusababishia pigo.

Kinachonisikitisha zaidi NI kuwa HUYO mjinga aliyekuibia ametengeza mazingira magumu kwa wengine ambao wangenufaika kupitia wewe- kwani naamini kwa Sasa huwezi kumkaribisha mtu kwa ukiwa na amani na Imani kama ilivyokuwa awali.
 
CONTROLA, Sio rahisi ivyo bro ..maana sio Kila Siku watu wananyoa halafu pia location inamatter pia ..waweza eka saloon sehemu usiotee kichwa ata kimoja..

Ila ni vizuri zaidi kufanya..
 
Raoluoroliech


Hicho tu ndo kinawacost watu....nna shost amefirisika sn ss hv...namwambia oya toka dar njoo mkoani anakuambia manengelo siwez toka huku..anasema anakomaa na jiji..vocha tu nwdys inamshinda...unabak kumshanga ss unafanya nn huko!yote hyo ni hofu na woga...!nitaonekanaje....!kitu ambacho ni mbaya sna!...
Dada angu nipe connection uko ulipo nije.
 
Uliliona Swali Nililoulizwa Nikatoa Hill Jibu???
Kwenye biashara hatuzungumzii, wala relation kwa namna yoyote ile na ufalme wa mbinguni otherwise iwe charity business nami sijaulizia kwenye mkondo huo, nimeuliza how to make money in guest business.
 
Kwenye biashara hatuzungumzii, wala relation kwa namna yoyote ile na ufalme wa mbinguni otherwise iwe charity business nami sijaulizia kwenye mkondo huo, nimeuliza how to make money in guest business.
Kwenye Biashara Yako Wewe, Yangu Mimi Binafsi Namtanguliza Mungu.

Kila Mtu Ana Strategy Take Ya Kuzid Kusimama Kwenye Game.

Yangu Ni Hiyo.

Asante.
 
Mkuu,

Pole sana kwa janga lililokukuta,
Nasisitiza pole sana.
Ulikuwa na nia ya kusaidia, Ila wema wako umekusababishia pigo.

Kinachonisikitisha zaidi NI kuwa HUYO mjinga aliyekuibia ametengeza mazingira magumu kwa wengine ambao wangenufaika kupitia wewe- kwani naamini kwa Sasa huwezi kumkaribisha mtu kwa ukiwa na amani na Imani kama ilivyokuwa awali.
Asante Na Ni Kawaida Bro, Mimi Huwa Naamin Kila Kitu Kinakujaga Kwa Reason.
 
Kwenye Biashara Yako Wewe, Yangu Mimi Binafsi Namtanguliza Mungu.

Kila Mtu Ana Strategy Take Ya Kuzid Kusimama Kwenye Game.

Yangu Ni Hiyo.

Asante.
Yaaap, nakubaliana na msimamo wako, ingawa nipo tofauti na wewe.
I agree to disagree.
 
Nauza mkorogo [emoji23][emoji23] vifaa vinanigarimu 50000 natoa kopo 10, kila kopo nauza 25000. Kwa siku naweza kuuza kopo mbili mpk nne. Wateja Facebook na Instagram. Na business nyingine ila hii ndio inanipa faida kubwa.
Ipoje hi nimfundishe wife
 
hiii siri natamani wanawake wenye mitaji wasiojua cha kuifanyia waijue

nilimpa X wangu hiii biashara katika vitu ananiambiaga "kwanini hatokaa anisahau,ni kumpa hii biashara"

biashara moja ambayo haijulikani na katika watu wote wataochangia huu uzi na watakaotoka na mawazo ya kuyafanyia kazi

hamna ataechukua hili wazo,ila kwa mwenye mtaji wa 1M na haina kazi ajaribu tu then aone balaa lake

Mtaani Wananiita BOSS MATOROLI au BOSS MIKOKOTENI
Mkokoteni mmoja shingap mkuu
 
Biashara nyngne inayolipa ni sales, nunua pikipiki yako then chukua Bidhaa kutoka kwenye maduka ya jumla zungusha mtaani, 30k faster tu, kama mtaji unaruhusu nunua kirikuu minimum profit apo 50k, ushawahi kujiuliza why hiz selling companies inakikirikuu tu na mtaji usiozidi 10m lakn wanamlipa salesperson 400k, wana HR, accountants,managers, madepartments kibao na wanawalipa handsomely, they pay bills kama rent kwa mamilion ya hela kwa hicho hicho kikirikuu?
Nmefanya hii kazi na kampuni Fulani apa Arusha, ni nzuri but ina risk sana aise..
 
Back
Top Bottom