Kuna mtu namjua , heheehe .. N kasheshe, ana zaid ya mwaka, hana mpango wa kuacha leo wala kesho
karibu kwenye uwakala , hili goli langu ni banda tu na si fremu ya kulipia....leo tarehe 28/11...hapo bado airtel money na halopesa sijui, huwa hawaoneshi kama tgo na vodaView attachment 1275310View attachment 1275311View attachment 1275312
Nimeku PM mkuu.karibu kwenye uwakala , hili goli langu ni banda tu na si fremu ya kulipia....leo tarehe 28/11...hapo bado airtel money na halopesa sijui, huwa hawaoneshi kama tgo na vodaView attachment 1275310View attachment 1275311View attachment 1275312
Hahahaa umenikumbusha mbali sana, basi bhana kuna siku tunavuka boda kwenye zile harakati zetu zileee (najua usha nielewa). Kuna jamaa alikuwa kabeba viroba viwili za hizo mambo jamaa alikuwa anatetemeka njia nzima itakuwa ndio alikuwa anaanza. Ila ata kwa kule nako enda hiyo ishu iko poa tu alafu asikari wa kule wako peace sana ni kitendo cha kuelewana nao tu.
Hahahaa umenikumbusha mbali sana, basi bhana kuna siku tunavuka boda kwenye zile harakati zetu zileee (najua usha nielewa). Kuna jamaa alikuwa kabeba viroba viwili za hizo mambo jamaa alikuwa anatetemeka njia nzima itakuwa ndio alikuwa anaanza. Ila ata kwa kule nako enda hiyo ishu iko poa tu alafu asikari wa kule wako peace sana ni kitendo cha kuelewana nao tu.
Sawa kamandaTafuta eneo la watoto umri wa miaka 13 mpaka 18. Kisha nipigie tujajenge
Yuko fresh tu..anamalizia mjengo wake..alitumia miez ya mwanzon kujijenga..siku hz hakai front tenaYukoje kimaisha kiujumla?
[emoji28][emoji28][emoji28]ananipa majaribu makubwa sana!ananichek mno mshikaj anahela chafuuuu...anasema acha woga ww njoo twende[emoji1787]
Huko pande zako lazima nitimbe early nxt yr mkuu!najua wajua[emoji1787]
Mkuu..umeficha ficha sana hapa..fungua kidogo basi
hv mirungi si imeruhusiwa kenya tu au mpaka burundi nako inaruhusiwaAma peleka mirungi, kule mirungi sio haramu watu wanatafuna tu kama wanakunywa maji [emoji23][emoji23]
Sio huyu...wewe na huko kwenye kuzisaka uendakoJamaa alikuwa anasafirisha bangi kupeleka nchi jirani basi njia nzima alikuwa anatetemeka yeye tu na kulikuwa na jua kali
hv mirungi si imeruhusiwa kenya tu au mpaka burundi nako inaruhusiwa
Sio huyu...wewe na huko kwenye kuzisaka uendako
till ya voda mimi sina ya ziada mkuu, ila nakushauri ukaombe ya kwako mwenyewe au kama huna documents tafuta hata za jirani au ndugu/rafiki unaemfahamu ukaombe. Till za voda si za kununua mkonon kwa mtu usiemjua maana huwa zinafungiwa sana mwenye jina lake akiitakaSamahani hivi naweza pata till ya voda kwa Bei gani bro
till ya voda mimi sina ya ziada mkuu, ila nakushauri ukaombe ya kwako mwenyewe au kama huna documents tafuta hata za jirani au ndugu/rafiki unaemfahamu ukaombe. Till za voda si za kununua mkonon kwa mtu usiemjua maana huwa zinafungiwa sana mwenye jina lake akiitaka
Jamaa alikuwa anasafirisha bangi kupeleka nchi jirani basi njia nzima alikuwa anatetemeka yeye tu na kulikuwa na jua kali