Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Naombeni ushauri wadau kwani nataka kununua mashine ya kukausha matunda ili kutengeneza crisps niuze. Nimeona huku niliko kuna crisps za kutosha matunda tofauti kama maembe,mabasi,ndizi za kuiva nk.
Kama soko lipo songa mbele!