Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Naombeni ushauri wadau kwani nataka kununua mashine ya kukausha matunda ili kutengeneza crisps niuze. Nimeona huku niliko kuna crisps za kutosha matunda tofauti kama maembe,mabasi,ndizi za kuiva nk.
Kama soko lipo songa mbele!
Nadhani itabidi nitengeneze soko langu mwenyewe,niko nje ya tz ila haka ka-project nataka nifanyie Tanzania,.
Nakushauri ungetafuta soko la uhakika kwanza, mashine za kukausha matunda ni bei .unaweza kuzika pesa ki masiharaNaombeni ushauri wadau kwani nataka kununua mashine ya kukausha matunda ili kutengeneza crisps niuze. Nimeona huku niliko kuna crisps za kutosha matunda tofauti kama maembe,mabasi,ndizi za kuiva nk.
Sido walikua wanaziuza aghali kwel nahukusoko lake sio kivile kbs!Nakushauri ungetafuta soko la uhakika kwanza, mashine za kukausha matunda ni bei .unaweza kuzika pesa ki masihara
Sido walikua wanaziuza aghali kwel nahukusoko lake sio kivile kbs!
Nilihoji kwanini wanauza bei aghali hvyo, wakaniambia wananunua vifaa kenya sasa si bora ninunulie huko
Nilihoji kwanini wanauza bei aghali hvyo, wakaniambia wananunua vifaa kenya sasa si bora ninunulie huko
Nimeona kuna zile ndizi za kukaushwa ziko karibia mduka yote dar,, .
The pbm ni soko la uhakika ..means unapeleka bidhaa yako supermarkt wanaishia kuchukua pcs 50! Na hizo zitakaa miez .Nah! Biashara kichaa hyo kbs!
Vya kukausha vinasoko huko kwa wenzetu, sasa inabd uwe umejipanga kukidhi viwango vyao ili ufanye exportationKuna mama mmoja alinunua ya kukaushia mboga...nilimshauri kbl kuwa mama hzi ishu za kukausha matembele then uuze kuwa makini🤣🤣kalipachika nje kuku wananyea tu!eish!
Vya kukausha vinasoko huko kwa wenzetu, sasa inabd uwe umejipanga kukidhi viwango vyao ili ufanye exportation
Kuna kiwanda kilikuwepo maeneo ya dakawa moro...kilikuwa cha wazungu wlikua wnakausha hayo matunda karibia yote..hasahsa ndizi .mwee mbona wamefunga!wnaenda mwaka wa 3 ss..walikua wanaexport!
NAONA UNATAKA KUMPA MWONGOZO MKUU!!!Kongole zaidi kwa wife!maana majority hawapend ishu hizo!karibu mkuu sana!
AKITAJA ENEO TU,Umewekeza uswazi au jamii ya kati? Samahani kama unaweza taja maeneo nije nijifunze kutoka kwako
AKITAJA ENEO TU,
NA MIMI ASUBUHI YAKE NAENDA KUFUNGUA KIBANDA CHANGU MTAA HUOHUO!!!
HII NCHI NI YETU SOTE HII!!!
MKUU,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]shida kubwa iko hapo
Biashara gan mkuuuu????Mimi kamtaji kangu ni 60m kwa siku nakunja 300,000 iliyosimama
Wewe unahaja ya kuajiriwa,,,kibanda kipo maeneo gan?????karibu kwenye uwakala , hili goli langu ni banda tu na si fremu ya kulipia....leo tarehe 28/11...hapo bado airtel money na halopesa sijui, huwa hawaoneshi kama tgo na vodaView attachment 1275310View attachment 1275311View attachment 1275312