Acheni huu uhuni. Hampaswi kua kwenye huu uzi
Naombeni ushauri wadau kwani nataka kununua mashine ya kukausha matunda ili kutengeneza crisps niuze. Nimeona huku niliko kuna crisps za kutosha matunda tofauti kama maembe,mabasi,ndizi za kuiva nk.
Kuna mama mmoja alinunua ya kukaushia mboga...nilimshauri kbl kuwa mama hzi ishu za kukausha matembele then uuze kuwa makini🤣🤣kalipachika nje kuku wananyea tu!eish!
[emoji3][emoji3] sio ya kucheka basi tu.
Acheni huu uhuni. Hampaswi kua kwenye huu uzi
Boss uwe makini na kauli zako kwa mambo ambayo huyajui kaakimya View attachment 1279299
namiimi naomba namba za mshikaji na afande ili niingie kati[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
japo naskia jela kubaaayaaa
Yaani nilikua nawaza hapo akili inagoma fasta kiukweli kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!uwii kudakwa uwekwe ndan mama na familia dah noma mno[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!
Acha huo uhuni , hakuna biashara hapoBoss uwe makini na kauli zako kwa mambo ambayo huyajui kaakimya View attachment 1279299
Sawa boss umeshinda mm mhuni wewe mwemaAcha huo uhuni , hakuna biashara hapo
You can make it. Pamoja na kuwa Magu kabana ila watu hawalali njaa.Kuna jamii fulani iliwah sikika kuwa kipindi hiki cha Magu hakuna biashara unayomake profit ya 200k!..labda ww unatokea Mars mkuu!hongera zako
You can
You can make it. Pamoja na kuwa Magu kabana ila watu hawalali njaa.
HahahahaBlack people share cigarettes and beers but never opportunities.
Hahah aisee kinakua kiwanda cha viambata vya sumu au kitaitwaje mzee baba?
Ila wangeruhusu tu, maana wanawake weusi wamepotea siku hizi yaani kumuona mwanamke mweusi ni kama kusubiri kuona nyeti za kuku ni mpk upepo upulize.