Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Hongera kijana, ila naona kuna kijana mwingine hapa namsoma anasema kwamba kupata hio faida kwa siku lazima uanze na mtaji wa milioni 50, je ni kweli ? Nimeuliza makusudi nipate jibu kutoka kwako usaidie na wengine ili wengine wenye kutaka kuanza business kama yako wasikate tamaa na capital waliyonayo au wanaokatishwa tamaa na comments kama hizo Kashindi,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haina ukweli hii...

Unaweza ukawa na mtaji mdogo, ukawa unafanya biashara yenye bidhaa iliyo na uhitaji mkubwa na ukaingiza faida inayorudisha mtaji kwa siku...

Ipo mifano mingi tu sina muda wa kuitaja Kenzpuls
Shemelaaaa
 
Unanunua wap mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sina cha kuongeza. Umesema yote


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nn unatoka tahadhari kuwa watu wasikope? Hata kwa mtumishi ambaye ana mshahara wake nae asikope? Ili ajitafutie kipato cha ziada?

Sent using Jamii Forums mobile app
 


😅😅😅!... Bahati nzuri nnaifanya hii biashara mkuu! Anywys tuyaache haya!
 
Reactions: amu
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…