Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
Kwa hili nitakutafuta!jiamini maana hamna mwizi wa kukuibia TOROLI/MKOKOTENI wako
atauiba ataubebaje,ataenda uuza wapi? yani tengeneza yako 6 tu
itakukost kama 900k then laki iliyobaki kwenye ile 1M
nunulia MADUMU ya maji ya lita 20 madumu utapata 1 @ 5000
utanunua madumu 20 then ktk yale matoroli 6 chukua matoroli mawili
Yaweke madumu kila toroli liwe na madumu 8 then madumu yako ma 4 yawe reserve yatulize
ataetaka kukodisha toroli na madumu mpe bei yake na ataetaaka kodisha toroli bila madumu mpe bei yake
Kaa vuta kiti somewhere fanya biashara yyte ya kijinga hata ukikaa ndani ukfanya biashara ya online fresh
yani baada ya hapo ili usikae bure we tafuta cha kufanya simamia vitoroli vyako
DEAR MOTHER utanikumbuka siku 1
Sent using Jamii Forums mobile app