Hizo ni baadhi ya kazi zetu
Hongera sana! Kamanda napenda watu wanaothubutuJuu uzi ni murua sana ila watu hawaupi attention. Nilianza na mtaji usiozidi laki sasa nimefungua milk point
Unashindwaje kutaja hapa? huu ndio uswahili wenyewe. Uaona ukitaja kama vile watu watakuwa wengi alafu wewe faida itapungua hahahahahππHaina ukweli hii...
Unaweza ukawa na mtaji mdogo, ukawa unafanya biashara yenye bidhaa iliyo na uhitaji mkubwa na ukaingiza faida inayorudisha mtaji kwa siku...
Ipo mifano mingi tu sina muda wa kuitaja Kenzpuls
Mkuu nahitaji kujua zaidi kuhusu hii biasharaMim nadeal na kitimoto aise kila nikiuza kila 10 faida yake ni 40000 kwa vile mm nitanunua kwa mchinyajiji buku 5 kwa kilo mim nitauza kwa elfu 9000 kwa kilo hvyo huwa nikiuuza kilo 30 kwa siku ckozi faida ya laki moja kwa siku mtaji wa kilo 30 ni laki na 50 hvyo ikipata ofc au pahala hakikisha anzisha business hii laki kwa siku mim huwa ni kawaida ...nawasilisha kama unaitaji maelezo zaid check me DM /pm nitakupa abcd
[emoji23][emoji23][emoji23]Wasomi ndio maana biashara zinawashinda mna Mambo mengi km unga wa ngano .
[emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]Miezi miwili iliyopita nilikua najihusisha na biashara ya vipodozi vya usoni vya wanawake..nilikua natumia mtaji wa tsh 30000 kwa siku nilikua naweza kupata wateja si chini ya 5 hadi 6 na kila bidhaa nilikua nauza 30000.. kwahiyo nilikua napata hadi laki na nusu faida..ila tatizo ilikua inachosha Sana na nilivyopumzika ndiyo nikapumzika mazima.
ππ[emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha,Niko karantini ujue,hiyo Ni njia ya kupass time huku unaingiza dolali,,ujue kuna scam na wapo wanaotoa kweli pesa,na njia ya kujua Ni kwenda nao Hadi minimum amount ya ku cash out ikifika ndo utajua uliingia kwenye scam au no
Natamani kuijua hii biashara.Nina mpango wa kufanya ivyo nikirudi tena kwenye hiyo biashara..ila hongera kwa kupambana dear.
Mkuu tengeza hell acha maneno mingi,checking earning inazidi kupanda,ikifika dola250,na cash in ,ntaleta mrejesho Kama nimepigwa ama vipi,
Ukitoa hiyo hela nakurudishia nyingineMkuu tengeza hell acha maneno mingi,checking earning inazidi kupanda,ikifika dola250,na cash in ,ntaleta mrejesho Kama nimepigwa ama vipi,
View attachment 1450753
InfluencersEarn β Make Money with Social Media
biashara gani hiyo mkuuMimi kamtaji kangu ni 60m kwa siku nakunja 300,000 iliyosimama