Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Unafanya biashara gani?
Mzee baba tatzo cyo kumwagika ila mko tayari? Je, ktk mazingira yenu mlipo mnaona hizo fursa na mtakubaliana na macho ya watu? Mi mpaka saiv najiuliza kuwa kwann sikuanza zamani japokuwa bado nipo masomoni ila likizo hii ya Corona ndio nimeingia kupiga hizo biashara. Mpaka sasa nina kama mwezi na cku nikiwa nafanya hiyo biashara ila naona dira kabsa.

Mwanzo nilikuwa naogopa sana ila saiv nimezoea sasa na faida ninayoipata nawekeza katika vitega uchumi vingine kama ufugaji ila msimu wa kulima ukianza najua nitakuwa na mtaji wa kutosha wa kukodi shamba na kulima.

Vijana wenzangu niwambie tu ukweli kuwa tanzania bado fursa zipo mie hii kauli nilikuaga napingana nayo sana ila baada ya kuanza kuingiza pesa kwa sh 7000 kama mtaji na napata kuanzia 5000 kwa cku saiv ata naandika hapa nikiwa na furaha kabsaaaaa. Kama leo niwambie ukweli nilitumia 13,000 nikaingiza faida ya Tsh 10,800 tena ndani ya saa 6 nilikuwa nimerudi home nikaanza kulisha kuku wanguuuuu.

Tujitume vijana mie nilikuaga n wa kulaumu hata ukifatilia nyuzi zangu nyingi ila saiv mpaka rahaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo vipi mkuu Sniper,

Bank ya Equity kwenda Skrill inagoma. Ila nikituma wire transfer moja kwa moja pepperstone itaenda? Equity wana credit card au hizi hizi debit unamaanisha zinapokea pesa from abroad?

Na Bank ABC napo hali ikoje. Sina account ABC ila nina friend pale anafanya kazi.
Ikiwezekana iwe tu wire transfer moja kwa moja kwa broker na kutoa hivyo hivyo one way ije kwenye account yangu.

Naomba ufafanuzi please.
Equity kwenda Skrill dakika sifuri, unakwama wapi mkuu
 
Mkuu kila mkoa kuna fursa zake sasa nikikwambie business ambayo nafanya afu ukute ata mkoan kwako haipo mkuu
Sasa kilicho leta makalio yako hapa ni nini ?? Umesoma heading ya uzi ? kama hauko tayari kusema unachofanya n nn kimekuleta hapa ? Swala la biashara kufanyika mkoa A na kutofanyika mkoa B linahusiana nn na maswali ya wadau ? wamewekewa gundi mikoa waliyopo kwamba hawawezi hama wakafuata fursa ?.. akili za kimasikini hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Je hawa watu wameruhusu picha zao kuwekwa mtandaoni?


It is never too late to begin. Start now
 
Screenshot_20200516-214438.png
hamna kitu hapo...minimum withdraw ni dola 250.. utaifukisha lini na ndio mambo ya refferals

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado ngapi Hapo.
 
Wakuu kama kuna mtu anahitaji maelezo anaweza kunicheki kwa muda wake ila sema kweli, hii comment yangu imezua maswali mengi kwa baadhi ya wadau.

Ila niwahakikishie kuwa pesa ipo kama ukiamua kuisaka. Mimi nilikuwa mtu wa kulaumu sana na kuona aibu kufanya baadhi ya kazi kwan waliokuwa wanazifanya walionekana kama watu wa chini sana. Hata ukiangalia mavazi yao n ya ajabu ajabu kwa wengi wao. Ila nikajaribu kazi moja wapo. Kweli kabsa sijajuta make naona malengo zangu naanza kuzipatia njia. Nifanya kwa mtaji mdogo sana yani kuanzia 6000 mpaka 20000 tu napata faida ya mpaka 15000 kwa siku. Afu ni kwa masaa tyu. Kufikia saa 7 mchana unakuta nipo getto navuta pumzi tu. Saiv nimeanzisha na mradi wa kufuga kuku japo nimeanza kwa mtaji mdogo but baada ya muda nitaongeza.

Vijana wenzangu hasa wa maisha ya kawaida naomba tusichague kazi. Biasha haihitaji mtaji mkubwa sana but utayari wako na juhudi zako.
Ni biashara gani hiyo?
Umetoa tu maelezo na hujaitaja
Itaje watu wajifunze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee baba tatzo cyo kumwagika ila mko tayari? Je, ktk mazingira yenu mlipo mnaona hizo fursa na mtakubaliana na macho ya watu? Mi mpaka saiv najiuliza kuwa kwann sikuanza zamani japokuwa bado nipo masomoni ila likizo hii ya Corona ndio nimeingia kupiga hizo biashara. Mpaka sasa nina kama mwezi na cku nikiwa nafanya hiyo biashara ila naona dira kabsa.

Mwanzo nilikuwa naogopa sana ila saiv nimezoea sasa na faida ninayoipata nawekeza katika vitega uchumi vingine kama ufugaji ila msimu wa kulima ukianza najua nitakuwa na mtaji wa kutosha wa kukodi shamba na kulima.

Vijana wenzangu niwambie tu ukweli kuwa tanzania bado fursa zipo mie hii kauli nilikuaga napingana nayo sana ila baada ya kuanza kuingiza pesa kwa sh 7000 kama mtaji na napata kuanzia 5000 kwa cku saiv ata naandika hapa nikiwa na furaha kabsaaaaa. Kama leo niwambie ukweli nilitumia 13,000 nikaingiza faida ya Tsh 10,800 tena ndani ya saa 6 nilikuwa nimerudi home nikaanza kulisha kuku wanguuuuu.

Tujitume vijana mie nilikuaga n wa kulaumu hata ukifatilia nyuzi zangu nyingi ila saiv mpaka rahaaa.
We jamaa uko kama wale wa biashara za network sijui forever blah blah
Watu wanakuuliza biashara gani unatoa maelezo huitaji hiyo biashara, sasa maelezo yako yanawasaidiaje?
MTU kufanya au kutofanya katika mazingira yake ni hiyari yake wewe taja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah.... Mbona biashara hatari sana hiyo

Ubaya wa vocha ni kama sigara tu

Mzigo mwepesi lakini hela ndefu,

Watu wakimjulia maisha yake yatakuwa hatarini

Sent using Jamii Forums mobile app
vocha faida yake ni vi mia mia,hadi upate lak uzunguke kweli labda wale agents wanaweza kuwa wanapiga faida kubwa sababu mitaji yao ni mamilioni
 
Mzee baba tatzo cyo kumwagika ila mko tayari? Je, ktk mazingira yenu mlipo mnaona hizo fursa na mtakubaliana na macho ya watu? Mi mpaka saiv najiuliza kuwa kwann sikuanza zamani japokuwa bado nipo masomoni ila likizo hii ya Corona ndio nimeingia kupiga hizo biashara. Mpaka sasa nina kama mwezi na cku nikiwa nafanya hiyo biashara ila naona dira kabsa.

Mwanzo nilikuwa naogopa sana ila saiv nimezoea sasa na faida ninayoipata nawekeza katika vitega uchumi vingine kama ufugaji ila msimu wa kulima ukianza najua nitakuwa na mtaji wa kutosha wa kukodi shamba na kulima.

Vijana wenzangu niwambie tu ukweli kuwa tanzania bado fursa zipo mie hii kauli nilikuaga napingana nayo sana ila baada ya kuanza kuingiza pesa kwa sh 7000 kama mtaji na napata kuanzia 5000 kwa cku saiv ata naandika hapa nikiwa na furaha kabsaaaaa. Kama leo niwambie ukweli nilitumia 13,000 nikaingiza faida ya Tsh 10,800 tena ndani ya saa 6 nilikuwa nimerudi home nikaanza kulisha kuku wanguuuuu.

Tujitume vijana mie nilikuaga n wa kulaumu hata ukifatilia nyuzi zangu nyingi ila saiv mpaka rahaaa.
Mkuuu napenda kweli kujua Ni fursa gan hiyo unafany labda na mm nianzie hapo huku nikiendelea na fursa zingne


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa Ongeza Na Ujuzi Wa Laptop
Kwa Siku utalala Na 200k

Mimi Nipo Huku Mkoan Napata Hadi 200k Per Day Nafanya Computer Na Simu

Sema Nina Vifaa Haswaa Ofisi Yangu Kam Mahabara Nina Mpak Microscope Nilinunua Ebay 1.2M Mpaka NIpata.

Now Nipo Namalizia Kupaua Ndugu.

WOTE MSIO NA AJIRA LAKIN UNAPENDA ELECTRONICS KOMAA NA COMPUTER AND PHONE REPAIR UTANIKUMBUKA

UPDATES:

Watu wananifuata PM Wananiuliza Watajifunzaje, Jamani Hivi Vitu Ni Practical Sana, Unahitaji Basic Knowledge Tu.

Na Yote Ipo Kwenye INTERNET Sijawahi Kufundishwa na Mtu Kuhusu Electronics Au Software Za Simu Na Laptop
Ni Kujifunza Then Unharibu Unasimama Mpaka Mwisho

Nilishazima Simu Kama 20 Za Watu, Ni Kweli Lakini Huwez Amin Kipind Hicho Nilijifunza Sana.

USIOGOPE, JITOE ANZA KUJIFUNZA.

Pita Hapa Upate Mwangaza Kidogo


ndugu naomba mawasiliano yako kama hutojali.
 
Back
Top Bottom