Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Yes tukohivyo...ila mm sijakuuliza..wajibu walokuulizaC nmeona unasema et watz ndo tulivyo!?
Poa poaYes tukohivyo...ila mm sijakuuliza..wajibu walokuuliza
Mzee baba tatzo cyo kumwagika ila mko tayari? Je, ktk mazingira yenu mlipo mnaona hizo fursa na mtakubaliana na macho ya watu? Mi mpaka saiv najiuliza kuwa kwann sikuanza zamani japokuwa bado nipo masomoni ila likizo hii ya Corona ndio nimeingia kupiga hizo biashara. Mpaka sasa nina kama mwezi na cku nikiwa nafanya hiyo biashara ila naona dira kabsa.
Mwanzo nilikuwa naogopa sana ila saiv nimezoea sasa na faida ninayoipata nawekeza katika vitega uchumi vingine kama ufugaji ila msimu wa kulima ukianza najua nitakuwa na mtaji wa kutosha wa kukodi shamba na kulima.
Vijana wenzangu niwambie tu ukweli kuwa tanzania bado fursa zipo mie hii kauli nilikuaga napingana nayo sana ila baada ya kuanza kuingiza pesa kwa sh 7000 kama mtaji na napata kuanzia 5000 kwa cku saiv ata naandika hapa nikiwa na furaha kabsaaaaa. Kama leo niwambie ukweli nilitumia 13,000 nikaingiza faida ya Tsh 10,800 tena ndani ya saa 6 nilikuwa nimerudi home nikaanza kulisha kuku wanguuuuu.
Tujitume vijana mie nilikuaga n wa kulaumu hata ukifatilia nyuzi zangu nyingi ila saiv mpaka rahaaa.
Akikujibu nitag mkuu, maana naona anahangaikahangaika tuu kama kuku anayetaka kutaga
Equity kwenda Skrill dakika sifuri, unakwama wapi mkuuMambo vipi mkuu Sniper,
Bank ya Equity kwenda Skrill inagoma. Ila nikituma wire transfer moja kwa moja pepperstone itaenda? Equity wana credit card au hizi hizi debit unamaanisha zinapokea pesa from abroad?
Na Bank ABC napo hali ikoje. Sina account ABC ila nina friend pale anafanya kazi.
Ikiwezekana iwe tu wire transfer moja kwa moja kwa broker na kutoa hivyo hivyo one way ije kwenye account yangu.
Naomba ufafanuzi please.
Umewithdraw tayari? Pesa unayo hapo mkononi?SI Bora hata hii,Leo tu nimetengeza USD 50.
InfluencersEarn – Make Money with Social Media
Umewithdraw tayari? Pesa unayo hapo mkononi?
Sasa kilicho leta makalio yako hapa ni nini ?? Umesoma heading ya uzi ? kama hauko tayari kusema unachofanya n nn kimekuleta hapa ? Swala la biashara kufanyika mkoa A na kutofanyika mkoa B linahusiana nn na maswali ya wadau ? wamewekewa gundi mikoa waliyopo kwamba hawawezi hama wakafuata fursa ?.. akili za kimasikini hizoMkuu kila mkoa kuna fursa zake sasa nikikwambie business ambayo nafanya afu ukute ata mkoan kwako haipo mkuu
Bado ngapi Hapo.hamna kitu hapo...minimum withdraw ni dola 250.. utaifukisha lini na ndio mambo ya refferals
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni biashara gani hiyo?Wakuu kama kuna mtu anahitaji maelezo anaweza kunicheki kwa muda wake ila sema kweli, hii comment yangu imezua maswali mengi kwa baadhi ya wadau.
Ila niwahakikishie kuwa pesa ipo kama ukiamua kuisaka. Mimi nilikuwa mtu wa kulaumu sana na kuona aibu kufanya baadhi ya kazi kwan waliokuwa wanazifanya walionekana kama watu wa chini sana. Hata ukiangalia mavazi yao n ya ajabu ajabu kwa wengi wao. Ila nikajaribu kazi moja wapo. Kweli kabsa sijajuta make naona malengo zangu naanza kuzipatia njia. Nifanya kwa mtaji mdogo sana yani kuanzia 6000 mpaka 20000 tu napata faida ya mpaka 15000 kwa siku. Afu ni kwa masaa tyu. Kufikia saa 7 mchana unakuta nipo getto navuta pumzi tu. Saiv nimeanzisha na mradi wa kufuga kuku japo nimeanza kwa mtaji mdogo but baada ya muda nitaongeza.
Vijana wenzangu hasa wa maisha ya kawaida naomba tusichague kazi. Biasha haihitaji mtaji mkubwa sana but utayari wako na juhudi zako.
We jamaa uko kama wale wa biashara za network sijui forever blah blahMzee baba tatzo cyo kumwagika ila mko tayari? Je, ktk mazingira yenu mlipo mnaona hizo fursa na mtakubaliana na macho ya watu? Mi mpaka saiv najiuliza kuwa kwann sikuanza zamani japokuwa bado nipo masomoni ila likizo hii ya Corona ndio nimeingia kupiga hizo biashara. Mpaka sasa nina kama mwezi na cku nikiwa nafanya hiyo biashara ila naona dira kabsa.
Mwanzo nilikuwa naogopa sana ila saiv nimezoea sasa na faida ninayoipata nawekeza katika vitega uchumi vingine kama ufugaji ila msimu wa kulima ukianza najua nitakuwa na mtaji wa kutosha wa kukodi shamba na kulima.
Vijana wenzangu niwambie tu ukweli kuwa tanzania bado fursa zipo mie hii kauli nilikuaga napingana nayo sana ila baada ya kuanza kuingiza pesa kwa sh 7000 kama mtaji na napata kuanzia 5000 kwa cku saiv ata naandika hapa nikiwa na furaha kabsaaaaa. Kama leo niwambie ukweli nilitumia 13,000 nikaingiza faida ya Tsh 10,800 tena ndani ya saa 6 nilikuwa nimerudi home nikaanza kulisha kuku wanguuuuu.
Tujitume vijana mie nilikuaga n wa kulaumu hata ukifatilia nyuzi zangu nyingi ila saiv mpaka rahaaa.
vocha faida yake ni vi mia mia,hadi upate lak uzunguke kweli labda wale agents wanaweza kuwa wanapiga faida kubwa sababu mitaji yao ni mamilioniDah.... Mbona biashara hatari sana hiyo
Ubaya wa vocha ni kama sigara tu
Mzigo mwepesi lakini hela ndefu,
Watu wakimjulia maisha yake yatakuwa hatarini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuuu napenda kweli kujua Ni fursa gan hiyo unafany labda na mm nianzie hapo huku nikiendelea na fursa zingneMzee baba tatzo cyo kumwagika ila mko tayari? Je, ktk mazingira yenu mlipo mnaona hizo fursa na mtakubaliana na macho ya watu? Mi mpaka saiv najiuliza kuwa kwann sikuanza zamani japokuwa bado nipo masomoni ila likizo hii ya Corona ndio nimeingia kupiga hizo biashara. Mpaka sasa nina kama mwezi na cku nikiwa nafanya hiyo biashara ila naona dira kabsa.
Mwanzo nilikuwa naogopa sana ila saiv nimezoea sasa na faida ninayoipata nawekeza katika vitega uchumi vingine kama ufugaji ila msimu wa kulima ukianza najua nitakuwa na mtaji wa kutosha wa kukodi shamba na kulima.
Vijana wenzangu niwambie tu ukweli kuwa tanzania bado fursa zipo mie hii kauli nilikuaga napingana nayo sana ila baada ya kuanza kuingiza pesa kwa sh 7000 kama mtaji na napata kuanzia 5000 kwa cku saiv ata naandika hapa nikiwa na furaha kabsaaaaa. Kama leo niwambie ukweli nilitumia 13,000 nikaingiza faida ya Tsh 10,800 tena ndani ya saa 6 nilikuwa nimerudi home nikaanza kulisha kuku wanguuuuu.
Tujitume vijana mie nilikuaga n wa kulaumu hata ukifatilia nyuzi zangu nyingi ila saiv mpaka rahaaa.
hahaàh mkuu huyu jamaa hana lolote,alikuwa anatingisha tu kiberiti..naona wadau wameanza kufukua nyuzi zake za nyumaMkuuu napenda kweli kujua Ni fursa gan hiyo unafany labda na mm nianzie hapo huku nikiendelea na fursa zingne
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Ongeza Na Ujuzi Wa Laptop
Kwa Siku utalala Na 200k
Mimi Nipo Huku Mkoan Napata Hadi 200k Per Day Nafanya Computer Na Simu
Sema Nina Vifaa Haswaa Ofisi Yangu Kam Mahabara Nina Mpak Microscope Nilinunua Ebay 1.2M Mpaka NIpata.
Now Nipo Namalizia Kupaua Ndugu.
WOTE MSIO NA AJIRA LAKIN UNAPENDA ELECTRONICS KOMAA NA COMPUTER AND PHONE REPAIR UTANIKUMBUKA
UPDATES:
Watu wananifuata PM Wananiuliza Watajifunzaje, Jamani Hivi Vitu Ni Practical Sana, Unahitaji Basic Knowledge Tu.
Na Yote Ipo Kwenye INTERNET Sijawahi Kufundishwa na Mtu Kuhusu Electronics Au Software Za Simu Na Laptop
Ni Kujifunza Then Unharibu Unasimama Mpaka Mwisho
Nilishazima Simu Kama 20 Za Watu, Ni Kweli Lakini Huwez Amin Kipind Hicho Nilijifunza Sana.
USIOGOPE, JITOE ANZA KUJIFUNZA.
Pita Hapa Upate Mwangaza Kidogo
Ushauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer
Habari Zenu Wakuu, Natumaini Leo Mko Vyema. Lengo La Nyuzi Hii Ni Kupeana Ushauri, Maoni Na Mbinu Za Uthubutu Katika Biashara Ya Ufundi Simu Na Laptop Kwanza Mimi Ni Mmoja Wa Mafundi Waliojifunza Na Ku Master Phone And Laptop Repair Kutoka Google Na Youtube, Yaani Self Made Technician...www.jamiiforums.com
Sasa baada ya malalamiko kibao ndo nikaumiza kichwa na kuingia kazn saiv mambo saf sanaView attachment 1452427hamna kitu hapo angalia malalamiko yake
Sent from my iPhone using JamiiForums
hahaah mkuu acha mikwara,tulia tu hapa usome comments za watu unaweza okoteza wazo la biashara ukapata pa kuanzia na weweSasa baada ya malalamiko kibao ndo nikaumiza kichwa na kuingia kazn saiv mambo saf sana
Wewe man life is dynamic. Kwahyo kulia kwa cku moja cyo kwamba utalia cku zotehahaah mkuu acha mikwara,tulia tu hapa usome comments za watu unaweza okoteza wazo la biashara ukapata pa kuanzia na wewe