Complex Analysis
JF-Expert Member
- May 9, 2020
- 219
- 417
Wangari Maathai na wewe unaweza okoa jahazi mkuu😎naomba tugawane kidogo basi,sina hata hela ya kula leo mwenzio😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangari Maathai na wewe unaweza okoa jahazi mkuu😎naomba tugawane kidogo basi,sina hata hela ya kula leo mwenzio😎
Nipe namba pm!Wangari Maathai na wewe unaweza okoa jahazi mkuu😎
Nakufunguliamekuja pm yako imefungwa mkuu
Bado pm yako inanigomeaNakufungulia
Usisikilize sauti za watu wa nje yako sikiliza sautu inayo toka ndani mwako na ifanyie kazi.ifahamike mimi kwa sasa namiliki nyumba 5 hata kama ni za kawaida lakini chanzo ni ufundi wa cm namiliki duka la spare paty za pkpk chanzo ni ufundi cm acheni kujidanga eti kunauchawi hakuna ni fikira za kijinga kabisa tufanye kazi
Mr naweza pata mawasiliano yakohiii siri natamani wanawake wenye mitaji wasiojua cha kuifanyia waijue
nilimpa X wangu hiii biashara katika vitu ananiambiaga "kwanini hatokaa anisahau,ni kumpa hii biashara"
biashara moja ambayo haijulikani na katika watu wote wataochangia huu uzi na watakaotoka na mawazo ya kuyafanyia kazi
hamna ataechukua hili wazo,ila kwa mwenye mtaji wa 1M na haina kazi ajaribu tu then aone balaa lake
Mtaani Wananiita BOSS MATOROLI au BOSS MIKOKOTENI
Karibu PM mkuu,tupige story mbili tatu.Mr naweza pata mawasiliano yako
Mtaji ni tsh ngapi?Wewe unahaja ya kuajiriwa,,,kibanda kipo maeneo gan?????
Nimelipenda hili kalipio just like mkuu wa shule flani .... Hahaha kupitia huu uzi nimejifunza vingi na kurefesh sana.Sasa kilicho leta makalio yako hapa ni nini ?? Umesoma heading ya uzi ? kama hauko tayari kusema unachofanya n nn kimekuleta hapa ? Swala la biashara kufanyika mkoa A na kutofanyika mkoa B linahusiana nn na maswali ya wadau ? wamewekewa gundi mikoa waliyopo kwamba hawawezi hama wakafuata fursa ?.. akili za kimasikini hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kamtaji kangu ni 60m kwa siku nakunja 300,000 iliyosimama
Ujasiri na mali tu Da AsiaBiashara gani?
Mzee baba nawezaje kukupata?Usisikilize sauti za watu wa nje yako sikiliza sautu inayo toka ndani mwako na ifanyie kazi.ifahamike mimi kwa sasa namiliki nyumba 5 hata kama ni za kawaida lakini chanzo ni ufundi wa cm namiliki duka la spare paty za pkpk chanzo ni ufundi cm acheni kujidanga eti kunauchawi hakuna ni fikira za kijinga kabisa tufanye kazi
Changamoto zake ni zipi? Nataka nijitose huko mkuuNimesoma idea nyingi mno humu watanzania tuna mawazo mazuri ambayo ukiyaweka kwenye vitendo unafika mbali sana.vijana tuache kulalamika na mimi nilikuwa mmoja wao ila uthubutu wangu nilishawai kuj humu jamii forums kuomba mtaji lakin kun baadhi ya raia waliona km tapeli nisiye na muelekeo lkn kuna mtu simjui hanijui aliniamini na nikamlipa uaminifu sasa hivi tunasonga ktk biashara ya miamala.si haba maisha yanaenda
Usisikilize sauti za watu wa nje yako sikiliza sautu inayo toka ndani mwako na ifanyie kazi.ifahamike mimi kwa sasa namiliki nyumba 5 hata kama ni za kawaida lakini chanzo ni ufundi wa cm namiliki duka la spare paty za pkpk chanzo ni ufundi cm acheni kujidanga eti kunauchawi hakuna ni fikira za kijinga kabisa tufanye kazi