Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Usisikilize sauti za watu wa nje yako sikiliza sautu inayo toka ndani mwako na ifanyie kazi.ifahamike mimi kwa sasa namiliki nyumba 5 hata kama ni za kawaida lakini chanzo ni ufundi wa cm namiliki duka la spare paty za pkpk chanzo ni ufundi cm acheni kujidanga eti kunauchawi hakuna ni fikira za kijinga kabisa tufanye kazi

Mkuu ikibidi funguka kuhusu ulifikaje hapo changamoto ulizopitia..na kwanini unasema hakuna uchawi??
Cc@GIRITA
 
hiii siri natamani wanawake wenye mitaji wasiojua cha kuifanyia waijue

nilimpa X wangu hiii biashara katika vitu ananiambiaga "kwanini hatokaa anisahau,ni kumpa hii biashara"

biashara moja ambayo haijulikani na katika watu wote wataochangia huu uzi na watakaotoka na mawazo ya kuyafanyia kazi

hamna ataechukua hili wazo,ila kwa mwenye mtaji wa 1M na haina kazi ajaribu tu then aone balaa lake

Mtaani Wananiita BOSS MATOROLI au BOSS MIKOKOTENI
Mr naweza pata mawasiliano yako
 
Sasa kilicho leta makalio yako hapa ni nini ?? Umesoma heading ya uzi ? kama hauko tayari kusema unachofanya n nn kimekuleta hapa ? Swala la biashara kufanyika mkoa A na kutofanyika mkoa B linahusiana nn na maswali ya wadau ? wamewekewa gundi mikoa waliyopo kwamba hawawezi hama wakafuata fursa ?.. akili za kimasikini hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimelipenda hili kalipio just like mkuu wa shule flani .... Hahaha kupitia huu uzi nimejifunza vingi na kurefesh sana.
 
Nimesoma idea nyingi mno humu watanzania tuna mawazo mazuri ambayo ukiyaweka kwenye vitendo unafika mbali sana.vijana tuache kulalamika na mimi nilikuwa mmoja wao ila uthubutu wangu nilishawai kuj humu jamii forums kuomba mtaji lakin kun baadhi ya raia waliona km tapeli nisiye na muelekeo lkn kuna mtu simjui hanijui aliniamini na nikamlipa uaminifu sasa hivi tunasonga ktk biashara ya miamala.si haba maisha yanaenda
 
Usisikilize sauti za watu wa nje yako sikiliza sautu inayo toka ndani mwako na ifanyie kazi.ifahamike mimi kwa sasa namiliki nyumba 5 hata kama ni za kawaida lakini chanzo ni ufundi wa cm namiliki duka la spare paty za pkpk chanzo ni ufundi cm acheni kujidanga eti kunauchawi hakuna ni fikira za kijinga kabisa tufanye kazi
Mzee baba nawezaje kukupata?
 
Nimesoma idea nyingi mno humu watanzania tuna mawazo mazuri ambayo ukiyaweka kwenye vitendo unafika mbali sana.vijana tuache kulalamika na mimi nilikuwa mmoja wao ila uthubutu wangu nilishawai kuj humu jamii forums kuomba mtaji lakin kun baadhi ya raia waliona km tapeli nisiye na muelekeo lkn kuna mtu simjui hanijui aliniamini na nikamlipa uaminifu sasa hivi tunasonga ktk biashara ya miamala.si haba maisha yanaenda
Changamoto zake ni zipi? Nataka nijitose huko mkuu
 
Usisikilize sauti za watu wa nje yako sikiliza sautu inayo toka ndani mwako na ifanyie kazi.ifahamike mimi kwa sasa namiliki nyumba 5 hata kama ni za kawaida lakini chanzo ni ufundi wa cm namiliki duka la spare paty za pkpk chanzo ni ufundi cm acheni kujidanga eti kunauchawi hakuna ni fikira za kijinga kabisa tufanye kazi


Naiheshimu hii KAZI.
Akijaga kijana na degree zake ofisini dizaini anahitaji huduma kidharau alafu kama hajui KISWAHILI.

Huwa namshukuru tu Mungu..
 
Back
Top Bottom