BrazakakaBura
Member
- Feb 16, 2017
- 88
- 104
Hii inataka ngapi mkuu na ni aina gan???Nauza iPad wakuu usijali kuhusu bei
0742537423View attachment 1523882
Salooon local ya kunyoa watu,usiweke zile mbwembwe
sijui akimaliza kunyoa aoshwe then apakwe mafuta,hakikisha kazi yako ni kunyoa tu
mtu akishamaliza kunyoa Asepe zake akaoge kwao huko
Nyoa mtu mzima 1500, mtoto 1000
Wakija watu wazima wakikuomba uwanyoe kwa 1000 usikatae Wanyoe
Jioni unaondoka na zaidi ya 40k
ILA TU
saloon iwe yako na wewe kinyozi ndio uwe boss
Jamani kuna portable toilets/ mobile toilets za kukodi kwa shughuli zote za outdoor. Bei ni nzuri sana. Tunahitaji support yetu
Kwa mawasiliano zaidi piga 0768 333 953
Barua pepe ni muhogomchungu.kr@gmail.com
Karibuni sana View attachment 1526590View attachment 1526591View attachment 1526592
Tunaanza 150, 000 kwa siku, kwa choo kimoja.Shida hamuweki Bei...sijui kwanini
Ulikua unauza kwa kutumia strategy gani?Miezi miwili iliyopita nilikua najihusisha na biashara ya vipodozi vya usoni vya wanawake..nilikua natumia mtaji wa tsh 30000 kwa siku nilikua naweza kupata wateja si chini ya 5 hadi 6 na kila bidhaa nilikua nauza 30000.. kwahiyo nilikua napata hadi laki na nusu faida..ila tatizo ilikua inachosha Sana na nilivyopumzika ndiyo nikapumzika mazima.
Uliifanya kwa muda ganiHaikua biashara ya muda mrefu niliifanya ili nifanye kitu kingine mkuu.
Naomba formula uliyokua unaitumia PMHaikua biashara ya muda mrefu niliifanya ili nifanye kitu kingine mkuu.
Elezea hapaBiashara nyngne inayolipa ni sales, nunua pikipiki yako then chukua Bidhaa kutoka kwenye maduka ya jumla zungusha mtaani, 30k faster tu, kama mtaji unaruhusu nunua kirikuu minimum profit apo 50k, ushawahi kujiuliza why hiz selling companies inakikirikuu tu na mtaji usiozidi 10m lakn wanamlipa salesperson 400k, wana HR, accountants,managers, madepartments kibao na wanawalipa handsomely, they pay bills kama rent kwa mamilion ya hela kwa hicho hicho kikirikuu?
Mpaka wakodi kwanini musiviweke mji mzima mupate daily income.Jamani kuna portable toilets/ mobile toilets za kukodi kwa shughuli zote za outdoor. Bei ni nzuri sana. Tunahitaji support yetu
Kwa mawasiliano zaidi piga 0768 333 953
Barua pepe ni muhogomchungu.kr@gmail.com
Karibuni sana View attachment 1526590View attachment 1526591View attachment 1526592
Hilo nalo lakufikiria [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Mpaka wakodi kwanini musiviweke mji mzima mupate daily income.
Hemu munipe Toi moja nikaisimamie pale Tandika Sokoni chapu.Hilo nalo lakufikiria [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Wazo zuri sana.
Sawa mkuu. ....hahaHemu munipe Toi moja nikaisimamie pale Tandika Sokoni chapu.
Gharama za hicho choo ni kiasi gan mtu akitaka umuuzie?Jamani kuna portable toilets/ mobile toilets za kukodi kwa shughuli zote za outdoor. Bei ni nzuri sana. Tunahitaji support yetu
Kwa mawasiliano zaidi piga 0768 333 953
Barua pepe ni muhogomchungu.kr@gmail.com
Karibuni sana View attachment 1526590View attachment 1526591View attachment 1526592
Nitafute inboxGharama za hicho choo ni kiasi gan mtu akitaka umuuzie?
Habari mkuu. nilikuwa nahitaji msaada wako. Nimeku PM naona umefunga- So far narecommend tumia pepperstone broker
- Deposit kwa credit card (ABC Bank au Equity) direct inakata, within 2 minutes
- Withdraw direct to credit card (ABC Bank) , inachukua siku 2 - 3
- Mpesa option ishakua kimeo mpk hapo watakapo resolve na BoT. Lini hatujui