Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Thanks
 
Biashara ya kuuza earphones inalipa sana hasa maeneo yenye mikusanyiko ya watu kama stand n.k

Faida kwa pc moja ni kati ya sh500 mpaka sh 1500 au zaidi

Uhitaji ni mkubwa maana watu wengi wanashindwa kununua earphone original ambazo ni ghali sana

Kariakoo unanunua kwa bei ya jumla ambayo inaanzia sh 1000 kwa pc na kuendelea na mtaani unauza kuanzia sh1500 na kuendelea . Ukifanikiwa kuuza PC 20+ kwa siku tayari una 10k+ mfukoni. Tembelea maeneo ya stand uone watu wanavyopata hela kupitia hiyo biashara. Wengine wameongeza vitu kama chaja, protector ,cover n.k lakini kwa upande wa earphone naona ndio zinatoka sana.
 
Shida hamuweki Bei...sijui kwanini
Tunaanza 150, 000 kwa siku, kwa choo kimoja.
Kama ukichukua viwili yani kwa ajili ya wanawake na wanaume ni 130, 000 kwa kimoja.

Kama ni zaidi ya siku moja kwa choo kimoja ni 130, 000 kwa siku.

Kama ni viwili basi ni 120, 000

Long term, unakodi zaidi ya mwezi bei ni 100, 000

All figures in Tanzanian shilings
 
Ulikua unauza kwa kutumia strategy gani?


Na je naweza kuviuza kwa wazi wazi kama kariakoo pale?
 
Elezea hapa
 
Habari mkuu. nilikuwa nahitaji msaada wako. Nimeku PM naona umefunga
 
Mimi nauza matunda kwa siku mauzo hadi 70elfu nikitoa faida hadi 33elfu napata kwa siku. Nacheza mchezo(kibati) watu mia na ishirini, jina moja ni tsh 2000 ivyo nacheza majina matano kila daily ten. Kwenye faida yangu ya 30elfu natowa ten ya mchezo nabakiwa na 20 hivyo kwa mwezi kikosi M na laki sita ..bila makato yeyote maisha yanasonga.
Achilia mbali na trade forex na kuuza mchele.

Baada ya hapo nakuja kuilaumu serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…