Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Ninafuraha kusoma hivi 😊
Eo kuna mdada anauza bei yake nzuri tu..insta anaitumia jina manucato.

Na kama unakua na shida ya kutengeneza serum karibu pia
Nashindwa kukupata private ukiona inafaa nakuomba tafadhali
 
Wewe ni Bepari
 

Aina gani za nguo zinalipa
 
Kama una car wash ya mtaji wa chini ya m 2 toa mchanganuo hapa
 
Et kiongozi baada ya tozo kuwekwa kwenye miamala biashara inaendaje now???
 
Mkuu halafu mwisho wa hiyo laki moja utaichukua au ndo inakua yake?
 
Shukrani kwako mtoa uzi, yaani huu uzi nimeusoma kuanzia mwanzo mpaka mwisho bila kuacha chochote na nimemalizia na comment...Hakika kuna mengi ya kujifunza...Shukrani kwenu wakuu CONTROLA hakuna uchawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…