Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Mimi napatikana kurasini dearunapatikana wapi dear
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi napatikana kurasini dearunapatikana wapi dear
Nafanyaga online Mama angu..kupitia whatsappmafunzo yako ni online au kwa vitendo tuonane best
NITAKUTAFUTA BEST UNIFUNDISHEGE MAANA INABIDI KUCHAKARIKANafanyaga online Mama angu..kupitia whatsapp
Nafanyaga online Mama angu..kupitia whatsapp
Karibu sana mpendwaNITAKUTAFUTA BEST UNIFUNDISHEGE MAANA INABIDI KUCHAKARIKA
Nashindwa kukupata private ukiona inafaa nakuomba tafadhaliNinafuraha kusoma hivi 😊
Eo kuna mdada anauza bei yake nzuri tu..insta anaitumia jina manucato.
Na kama unakua na shida ya kutengeneza serum karibu pia
Wewe ni BepariNiliwahi kuwaza kuwa;
Unaenda kwa mama ntilie na laki moja unaongea nae umpe laki moja ili aongeze mtaji na kuboresha huduma... Ila ww unachotaka ni hela ya sahani moja tu kila cku (1500 mpka 2000) ndani ya mwaka mmoja...kwa mwez una 45,000/= or 60,000/= kwa mwaka una 540,000/= au 720,000/=
Sasa tufanye una milion moja.... Zungusha kwa watu kumi, jumla kwa mwaka unakusanya 5,400,000/= au 7,200,000/=
Then unafungua mghahawa wako... Huku unaendelea kununua sahani kwa akina mama..
Tapeli huyoNilifanya hii samaki nilikuwa natoa Singida
Wateja wakakolea nikaongeza mtaji nikamtumia supplier mpaka Leo samaki Hawajanifikia.
Nmekuchek PM naona umeifunga dada,Sawa mpendwa karibu
Nataka kujifunza kutengeneza perfumesNafanyaga online Mama angu..kupitia whatsapp
Mimi nipo mwanza dearMimi napatikana kurasini dear
Hii condition ya mtaji ulotumika inabana.
Binafsi niko na miradi midogo kadhaa inayonipa pesa.... Ipo inaingiza pesa kila siku na ipo n ya vipindi.
Labda nichangie mada kwenye aina ya miradi iliyopo,.
A Miradi inayonipatia kipato kila siku:
√ Duka la nguo na viatu (elly outfits)
√ Saluni ya kiume.
√ Bajaji.
B Miradi inayonipatia kipato kwa vipindi
√ Banda la kuonesha live mechi (maarufu kama kibanda umiza)
√ usambazaji wa wavu za kuvua samaki.
Note: Naendesha miradi hio kwa njia ya "kulisha na kuzaa".
Kulisha
Katika miradi iliyopo, nguo na viatu zinalipa sana. So ninachofanya ni kuongeza scale ktk biashara hio kwa kutumia faida zinazopatikana ktk miradi mingine
Kuzaa
Faida inayopatikana ktk biashara ya nguo na viatu inatumika ktk mgawanyo huu;
+70% inabaki kulinda biashara.
+30% inatumika ktk mahitaji yangu ya kawaida. Kula, kuvaa na kuishi.
Sasa mbona hata dm yako umefunga ndugu?.....tupo tunaotaman kujfunza nasi tuwe wazalishaji badala ya wachuuzi.....Nafanyaga online Mama angu..kupitia whatsapp
Et kiongozi baada ya tozo kuwekwa kwenye miamala biashara inaendaje now???Mzunguko mtu mkuu, tena hapo nilikuwaga wateja wa voda nawakataa wanaoutuma mbali. Ila mwezi huu sichague muamala yesterday night niliacha above hizo figure na hata tigo ziko over 500k karibu katika ofisi zangu zote. Tunapeana hamasa ili muamasike na mchukue hatua.View attachment 1248914
Mkuu halafu mwisho wa hiyo laki moja utaichukua au ndo inakua yake?Niliwahi kuwaza kuwa;
Unaenda kwa mama ntilie na laki moja unaongea nae umpe laki moja ili aongeze mtaji na kuboresha huduma... Ila ww unachotaka ni hela ya sahani moja tu kila cku (1500 mpka 2000) ndani ya mwaka mmoja...kwa mwez una 45,000/= or 60,000/= kwa mwaka una 540,000/= au 720,000/=
Sasa tufanye una milion moja.... Zungusha kwa watu kumi, jumla kwa mwaka unakusanya 5,400,000/= au 7,200,000/=
Then unafungua mghahawa wako... Huku unaendelea kununua sahani kwa akina mama..
Samahan naomba elimu hiiNina mpango wa kufanya ivyo nikirudi tena kwenye hiyo biashara..ila hongera kwa kupambana dear.