Ukihitaji msimamiz mwingne, npo haapa broMimi mshahara wangu ni 250k tu ila nje ya hapo ninaingiza 20k-80k per day mambo yakichanganyia. Niko Mafinga,wilaya ya Mufindi nashinda pori nasimamia shughuli ya uchanaji mbao.
Mkuu sina kazi hapa, niunge mkuu.Mimi mshahara wangu ni 250k tu ila nje ya hapo ninaingiza 20k-80k per day mambo yakichanganyia. Niko Mafinga,wilaya ya Mufindi nashinda pori nasimamia shughuli ya uchanaji mbao.
NANUNUA UUME ZA NG'OMBE KWA KILO ZIZOKAUSHWA VIZURI.
NICHEKI WASAP 0742537423
NANUNUA UUME ZA NG'OMBE KWA KILO ZIZOKAUSHWA VIZURI.
NICHEKI WASAP 0742537423
Wakuu mimi nikipata chances siwezi kuwabania, naelewa hali halisi ya mtaa hasa ukiwa na kipato finyu.
Hapo Mnazi mmoja, Dar es SalaamBalo zako waagiza kutoka wapi mkuu?
Nimekupm kukupa number yanguKaribu sana mpendwa
Mkuu bucha kwa mtaji wa 2m ni ishu ngumu mnoooJamani tunaomba Breakdown ya Bucha la nyama ambalo mtaji hauzidi M2
Sawa sawaMkuu bucha kwa mtaji wa 2m ni ishu ngumu mnooo
Utabidi upate frem, uirekebishe, ukaguliwe na mamlaka, ununue mizani, machine au kigogo cha kukatia nyama, umlipe mfanyakazi, upige zile marumaru buchani bado uwe na mtaji wa ng'ombe wa kuchinja au ujumue nyama ambyo Mara nying haina faida hasa ikilala hupungua uzito, ununue friza,
Mkuu nisikudanganye 2m kwa bucha itapotea bure hiyo hela
Njoo nikuuuzie.Habari mkuu, naomba kuuliza. Hivi mashine nzuri za kutengeneza lambalamb/ice-cream hizi za Miamia his zinauzwa wap? Au hupatikana maeneo gani? Mimi nipo Dar temeke @ cleverman324
Unauza kiasi gani?Njoo nikuuuzie.
Mtaji inatakiwa kiasi gani?Natafuta partner katika biashara ya children's playground. Nicheck PM.
Fikra za masikiniHakuna mbongo wa kukushirikisha kitu kama hicho.
Mbongo Ni Mtu Mwenye Siri Sana Kwa Mambo Yanayompa Faida.
Ni Wasiri, Wabinafsi na Wanafiki Kupindukia.
Kuongea n rahis Ila kwenye matendoVijana rudini shambani kulima kilimo kina hela
Thank you CONTROLA be blessed man.jiamini maana hamna mwizi wa kukuibia TOROLI/MKOKOTENI wako
atauiba ataubebaje,ataenda uuza wapi? yani tengeneza yako 6 tu
itakukost kama 900k then laki iliyobaki kwenye ile 1M
nunulia MADUMU ya maji ya lita 20 madumu utapata 1 @ 5000
utanunua madumu 20 then ktk yale matoroli 6 chukua matoroli mawili
Yaweke madumu kila toroli liwe na madumu 8 then madumu yako ma 4 yawe reserve yatulize
ataetaka kukodisha toroli na madumu mpe bei yake na ataetaaka kodisha toroli bila madumu mpe bei yake
Kaa vuta kiti somewhere fanya biashara yyte ya kijinga hata ukikaa ndani ukfanya biashara ya online fresh
yani baada ya hapo ili usikae bure we tafuta cha kufanya simamia vitoroli vyako
DEAR MOTHER utanikumbuka siku 1