xuma33
Member
- Jul 21, 2022
- 25
- 12
Hakuna mtu alietajirika kwa kubet.... Lazma ujue Namna ya kusaka hela consistently kwenye channel zake... Kubet hata ukipata billion utafilisika tu sababu bado hujajua channels za pesa.
funguka basi mkuu watu bado hatuja kuelewa kaka maneno yko km siasa wakati mifumo y pesa haiitaj siasa mkuu