Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Tupe connection mkuu.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Wakuu mimi nikipata chances siwezi kuwabania, naelewa hali halisi ya mtaa hasa ukiwa na kipato finyu.
Sina muda mrefu sanaaa huku,pia muda mwingi niko bize ila najitahidi kadili niwezavyo kushare fursa zozote ambazo zitajitokeza huku.

Ila huku Mafinga Viwanda ni vingi,hivyo mtu kwa kuanzia anaweza kuanza na hizo kazi. Mshahara wao ni kuanzia 250K kwa baadhi ya viwanda.
Hata mimi nilikuja kwa lengo hilo ila mtu alienipa hifadhi akanishauri nimrudie Boss wetu wa zamani ambae niliwahi kufanya nae kazi nikiwa kama tingo kwenye maroli yake,japo ilikua ni kwa muda mfupi.
So,huyo boss ndie alienipa hii kazi ya usimamizi.
 
Jamani tunaomba Breakdown ya Bucha la nyama ambalo mtaji hauzidi M2
Mkuu bucha kwa mtaji wa 2m ni ishu ngumu mnooo

Utabidi upate frem, uirekebishe, ukaguliwe na mamlaka, ununue mizani, machine au kigogo cha kukatia nyama, umlipe mfanyakazi, upige zile marumaru buchani bado uwe na mtaji wa ng'ombe wa kuchinja au ujumue nyama ambyo Mara nying haina faida hasa ikilala hupungua uzito, ununue friza,

Mkuu nisikudanganye 2m kwa bucha itapotea bure hiyo hela
 
Mkuu bucha kwa mtaji wa 2m ni ishu ngumu mnooo

Utabidi upate frem, uirekebishe, ukaguliwe na mamlaka, ununue mizani, machine au kigogo cha kukatia nyama, umlipe mfanyakazi, upige zile marumaru buchani bado uwe na mtaji wa ng'ombe wa kuchinja au ujumue nyama ambyo Mara nying haina faida hasa ikilala hupungua uzito, ununue friza,

Mkuu nisikudanganye 2m kwa bucha itapotea bure hiyo hela
Sawa sawa
 
Makundi ya Whatsapp ya ushauri wa kiafya na urembo. Japo si sana mwaka huu kwa kuwa nimeconcentrate kwingine, hapo nyuma wastani kwa mwezi ilikuwa ni mil 4. Maximum effort nakumbuka tuliingiza mil 10 katika mwezi. Hata sasa hivi ambapo ni minimum effort inaingiza laki 6 kwa mwezi profit kwa product moja tu bila paid ads.
 
jiamini maana hamna mwizi wa kukuibia TOROLI/MKOKOTENI wako

atauiba ataubebaje,ataenda uuza wapi? yani tengeneza yako 6 tu

itakukost kama 900k then laki iliyobaki kwenye ile 1M

nunulia MADUMU ya maji ya lita 20 madumu utapata 1 @ 5000

utanunua madumu 20 then ktk yale matoroli 6 chukua matoroli mawili

Yaweke madumu kila toroli liwe na madumu 8 then madumu yako ma 4 yawe reserve yatulize

ataetaka kukodisha toroli na madumu mpe bei yake na ataetaaka kodisha toroli bila madumu mpe bei yake

Kaa vuta kiti somewhere fanya biashara yyte ya kijinga hata ukikaa ndani ukfanya biashara ya online fresh

yani baada ya hapo ili usikae bure we tafuta cha kufanya simamia vitoroli vyako

DEAR MOTHER utanikumbuka siku 1
Thank you CONTROLA be blessed man.
 
Back
Top Bottom