Umesema?Makundi ya Whatsapp ya ushauri wa kiafya na urembo. Japo si sana mwaka huu kwa kuwa nimeconcentrate kwingine, hapo nyuma wastani kwa mwezi ilikuwa ni mil 4. Maximum effort nakumbuka tuliingiza mil 10 katika mwezi. Hata sasa hivi ambapo ni minimum effort inaingiza laki 6 kwa mwezi profit kwa product moja tu bila paid ads.
[emoji23][emoji23]Mimi naingiza pesa hiyo, biashasha yangu ni duka bar, mchana nauza bidhaa za kawaida kama mchele, unga, sukari mafuta nk, strategy yangu ni bei ndogo, naagiza, mkoani nauza kwa bei ya chini kuliko washindani, pia nimeweka mpesa na mitandao mingine, upande wa bar kuna supu na vinywaji, usiku nauza ganja pia hii imepelekea ongezeko kubwa la wateja , nafikilia kununua kontena la 20ft ili nipate nafasi ya kutosha.
Aseeeee kbsaImagine mtu unawekeza 15m au hata 12m kwny biashara ya duka profit yake ni chini ya 30k per day au mara moja moja 30k, 35k _40k....wakat huo nakuta mtu anapga debe anapata 30k au hata 50k per day, mwngine genge tu anakunja hyo 30k na kuendelea per day....
Hii mifano kdgo na mingine mlonayo simple....kwamba low investment capital na anapata zaid yako mwnye uwekezaj mkubwa......tadhal ndugu wana Jf tupeane mbinu na ideas za biashara nzur ynye mataj mdogo na hesab ya walau 30k na kuendelea kwa siku......
Karibuni wandugu.........
Nadhan kwasabab weng wameamua kutofunguka....kumwaga siri za mafanikio
Mkuu itategemea na wewe uko wapi na una uzoefu kiasi gani?Imagine mtu unawekeza 15m au hata 12m kwny biashara ya duka profit yake ni chini ya 30k per day au mara moja moja 30k, 35k _40k....wakat huo nakuta mtu anapga debe anapata 30k au hata 50k per day, mwngine genge tu anakunja hyo 30k na kuendelea per day....
Hii mifano kdgo na mingine mlonayo simple....kwamba low investment capital na anapata zaid yako mwnye uwekezaj mkubwa......tadhal ndugu wana Jf tupeane mbinu na ideas za biashara nzur ynye mataj mdogo na hesab ya walau 30k na kuendelea kwa siku......
Karibuni wandugu.........
Kuna ukwel hapa kias.....shukranMkuu itategemea na wewe uko wapi na una udhoefu kiasi gani?
Wanao kunja 30K kwa mtaji mdogo au wasio na mtaji kabisa wapo lakini sasa kwa wao sio kila siku hukunja hivyo.
Ila kwa wale wenye mtaji wa 12m wao kila siku watakunja na watakunja zaidi sana ipo siku, kazi yao inawapa amani na wanacollateral kwamba anaweza kukopa akaendeleza biashara au kukuza mtaji kutokana na fursa anayo ona kwenye biashara aliyo nayo.
Nauliza ni unakuwa wakala au unanunua then unaza Kwa watu wa madukani Kwa order.Nmemaanisha consuming products mkuu kama pipi, dawa za meno, mafuta ya kupaka, nido nk..
kuna bro alikuwa anafanya kazi company moja ya uuzaji walipomtimua alianza kuchukua mzigo k/koo anazungusha kwenye maduka ya mtaani.. 50k-100k+ per day ilikuwa kawaida sema wa bongo hatupendi ku'take risk alipaka kazi tena akaajiriwa
Hv wap ntapata hizi bahasha za kufungia bidhaa kama chips(sio za kaki) n.k kwa jumla hapa dar??
Mimi Nina tabia ya kudouble my investment au capital na Ninajua kuspot opportunity za kutimiza hayo... Mfano Kuna mwaka nilikuwa na million 5 nikasema nataka nipate 20 million kwa miezi kadhaa.Imagine mtu unawekeza 15m au hata 12m kwny biashara ya duka profit yake ni chini ya 30k per day au mara moja moja 30k, 35k _40k....wakat huo nakuta mtu anapga debe anapata 30k au hata 50k per day, mwngine genge tu anakunja hyo 30k na kuendelea per day....
Hii mifano kdgo na mingine mlonayo simple....kwamba low investment capital na anapata zaid yako mwnye uwekezaj mkubwa......tadhal ndugu wana Jf tupeane mbinu na ideas za biashara nzur ynye mataj mdogo na hesab ya walau 30k na kuendelea kwa siku......
Karibuni wandugu.........
How brother! ndio maana ya huu uziMimi Nina tabia ya kudouble my investment au capital na Ninajua kuspot opportunity za kutimiza hayo... Mfano Kuna mwaka nilikuwa na million 5 nikasema nataka nipate 20 million kwa miezi kadhaa.
Nilianza kwa kudouble ile million 5 ikafika 10m then nikadouble ikawa 20 baada ya hapo nikaanza kula maisha.
Nikiwa kwenye process za kudouble pesa huwa Sina utani na nakuwa focused saana.
Sifanyi biashara yeyote ya million 12 nipate faida ya 30k hata kama itakuwa consistent... Siwezi kufanya huo upuuzi. Nikiwa na million 12 najipa miezi miwili na siku kumi tu kwa ajili ya kudouble my capital.
It legal way and it's very simple but not easy... It takes strong determination, focus and discipline.How brother! ndio maana ya huu uzi
Maliza hapahapa walimwengu wakuelewe.It legal way and it's very simple but not easy... It takes strong determination, focus and discipline.
Nna plan ya kuja na Uzi wa masuala haya.
Mimi Nina tabia ya kudouble my investment au capital na Ninajua kuspot opportunity za kutimiza hayo... Mfano Kuna mwaka nilikuwa na million 5 nikasema nataka nipate 20 million kwa miezi kadhaa.
Nilianza kwa kudouble ile million 5 ikafika 10m then nikadouble ikawa 20 baada ya hapo nikaanza kula maisha.
Nikiwa kwenye process za kudouble pesa huwa Sina utani na nakuwa focused saana.
Sifanyi biashara yeyote ya million 12 nipate faida ya 30k hata kama itakuwa consistent... Siwezi kufanya huo upuuzi. Nikiwa na million 12 najipa miezi miwili na siku kumi tu kwa ajili ya kudouble my capital.
Ata mimi nmehisi ivyombon uelewek mkuu au una bet unatafuta mech yenye odd 2 unatia mzigo?
Mkuu ni mbinu gani unazotumia hasa ili kudouble hyo investment???Mimi Nina tabia ya kudouble my investment au capital na Ninajua kuspot opportunity za kutimiza hayo... Mfano Kuna mwaka nilikuwa na million 5 nikasema nataka nipate 20 million kwa miezi kadhaa.
Nilianza kwa kudouble ile million 5 ikafika 10m then nikadouble ikawa 20 baada ya hapo nikaanza kula maisha.
Nikiwa kwenye process za kudouble pesa huwa Sina utani na nakuwa focused saana.
Sifanyi biashara yeyote ya million 12 nipate faida ya 30k hata kama itakuwa consistent... Siwezi kufanya huo upuuzi. Nikiwa na million 12 najipa miezi miwili na siku kumi tu kwa ajili ya kudouble my capital.
Hakuna mtu alietajirika kwa kubet.... Lazma ujue Namna ya kusaka hela consistently kwenye channel zake... Kubet hata ukipata billion utafilisika tu sababu bado hujajua channels za pesa.mbon uelewek mkuu au una bet unatafuta mech yenye odd 2 unatia mzigo?