King 999
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,872
- 8,374
salute[emoji41]Anza kuuza bange.
WAPI UTAPATA BANGE!
1. Nenda shambani mwenyewe wala usitengeneze connection itakuja kukuharibia.
2. Usiende kwenye mashamba ya mipakani mwa nchi ni risk!
3. Nenda kwenye mashamba ya bange yanayolimwa kwenye majaruba au mashamba ya miwa.
Nimetaja hiki kilimo kwa kuwa kinalimwa mwaka mzima hakuna siku utaenda shamba la miwa ukute liko wazi.
UTAIUZA WAPI?
1. Wateja wako wa mwanzo kabisa wanatakiwa kuwa maaskari wa jeshi lolote.
2. Wateja wako wapili ni wafanyakazi wa umma wengineo!
3. Wateja wako watatu Madereva.
Ishia hapa usimuuzie mwingine yeyote.
NAMNA GANI UTAWAUZIA MAASKARI?
1. Tengeneza urafiki nao baadhi ule urafiki wa kulala hadi gheto mmoja au wanakuachia gheto kabisa.
Vijumba vyao unavijua
2. Polisi au askari yoyote hana rafiki pale anapotekeleza kazi yake hivyo unapaswa kuwa makini sana usije sanukiwa huko unapofuata kwani atakukana au kuja kukudaka yeye mwenyewe.
Ukifanikiwa kwenye haya utavuna hela kwao sana yani sanaa bila kusahau watumishi wengine wauma wenye pesa zaidi.
UIFANYE KWA MUDA GANI?
Fanya hii kazi kwa miezi sita tu achana nayo utakuwa milionea tayari nafahamu itakuwa ngumu sana kuacha ila you have to leave it!
Note: kete moja kwa maaskari uza 2000/- watumishi wengine uza 3000 - 4000 itategemea na wapi ulipata mzigo.
Note: hii idea imeandikwa na mvutaji na muuza bange mstaafu!