Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Anza kuuza bange.
WAPI UTAPATA BANGE!
1. Nenda shambani mwenyewe wala usitengeneze connection itakuja kukuharibia.

2. Usiende kwenye mashamba ya mipakani mwa nchi ni risk!

3. Nenda kwenye mashamba ya bange yanayolimwa kwenye majaruba au mashamba ya miwa.
Nimetaja hiki kilimo kwa kuwa kinalimwa mwaka mzima hakuna siku utaenda shamba la miwa ukute liko wazi.

UTAIUZA WAPI?

1. Wateja wako wa mwanzo kabisa wanatakiwa kuwa maaskari wa jeshi lolote.

2. Wateja wako wapili ni wafanyakazi wa umma wengineo!

3. Wateja wako watatu Madereva.
Ishia hapa usimuuzie mwingine yeyote.

NAMNA GANI UTAWAUZIA MAASKARI?

1. Tengeneza urafiki nao baadhi ule urafiki wa kulala hadi gheto mmoja au wanakuachia gheto kabisa.
Vijumba vyao unavijua

2. Polisi au askari yoyote hana rafiki pale anapotekeleza kazi yake hivyo unapaswa kuwa makini sana usije sanukiwa huko unapofuata kwani atakukana au kuja kukudaka yeye mwenyewe.

Ukifanikiwa kwenye haya utavuna hela kwao sana yani sanaa bila kusahau watumishi wengine wauma wenye pesa zaidi.

UIFANYE KWA MUDA GANI?
Fanya hii kazi kwa miezi sita tu achana nayo utakuwa milionea tayari nafahamu itakuwa ngumu sana kuacha ila you have to leave it!

Note: kete moja kwa maaskari uza 2000/- watumishi wengine uza 3000 - 4000 itategemea na wapi ulipata mzigo.

Note: hii idea imeandikwa na mvutaji na muuza bange mstaafu!
salute[emoji41]
 
Kingine inalipa hujawahi ona ni mirungi hii haipatikani sana sehemu nyingi ukiuza trip tatu hulii njaa tena na inawezekana.

Tatizo huwa wanakosea namna ya usafirishaji na wapi unaitolea.
Mtu anatoka nayo Arusha au Manyara anavaa mkoti mkubwaa jua kalii kwanini usihisiwe

Njombe wanavuna sana miti wasukuma tumeshajazana hahaha


Hhaha dili chafu na zenye risk kubwa ndo zinalipa...duh ..wameshafika huko wasukuma kwenye mbao??ahaha..!ila naona mbao kwa miaka hii hazilip vzr km miaka ya 2000!..au 🤔!
 
Biashara nyngne inayolipa ni sales, nunua pikipiki yako then chukua Bidhaa kutoka kwenye maduka ya jumla zungusha mtaani, 30k faster tu, kama mtaji unaruhusu nunua kirikuu minimum profit apo 50k, ushawahi kujiuliza why hiz selling companies inakikirikuu tu na mtaji usiozidi 10m lakn wanamlipa salesperson 400k, wana HR, accountants,managers, madepartments kibao na wanawalipa handsomely, they pay bills kama rent kwa mamilion ya hela kwa hicho hicho kikirikuu?
Maelezo mkuu tafadhali
 
Kuna gharama za uendeshaji na mtaji.
Kwanza kabisa msimamizi ni bora uwe wewe mwenyewe
Gharama za uendeshaji ni kwenye manunuzi ya umeme tu
Mtaji wake inategemea wewe unataka kuanza na console ngapi na za aina ipi?
Ps 2 dukani unapata kwa sh 170,000/= full ukitafuta used bei inazungumzika
Ps 3 dukani inapatikana kwa sh 500,000/= ukitafuta used bei inazungumzika
Ps 4 dukani inapatikana kwa sh 1,000,000/= mpaka 700,000/= ukitafuta used bei inazungumzika
Utanunua na tv inapendeza kuanzia inch 24 kwa kila console moja
 
Mwezi huu huu kuna mtu nimrkutana naye kwenye mishe za kazi...ni hustler .kazichanga ..nikamuuliza ishu zake...hakunificha...akaniambia unataka kuwa milionea haraka?nikamwambia sema kwanza nijipime...akasema peleka mara 2 tu Burundi bangi..lima tabora!..hhahaa nikaishia ku[emoji134][emoji134][emoji134]!...akasema usizidi hapo...! ...uwiii[emoji1787] hapana aisee
Mwakajana kuna mzee mmoja alikamatwa huko Tabora alikuwa na gunia hamsini na tisa (59).
 
Mwezi huu huu kuna mtu nimrkutana naye kwenye mishe za kazi...ni hustler .kazichanga ..nikamuuliza ishu zake...hakunificha...akaniambia unataka kuwa milionea haraka?nikamwambia sema kwanza nijipime...akasema peleka mara 2 tu Burundi bangi..lima tabora!..hhahaa nikaishia ku[emoji134][emoji134][emoji134]!...akasema usizidi hapo...! ...uwiii[emoji1787] hapana aisee
Kuna mtu namjua , heheehe .. N kasheshe, ana zaid ya mwaka, hana mpango wa kuacha leo wala kesho
 
ASANTE SANA MKUU KWA IDEA NYINGI ZA BIASHARA ULIZOTOA HUMU NDANI, KWANGU MIMI FULL TIME EMPLOYED NAONA HII YA MATOROLI ITANIFAA, SAMAHANI UNAFAHAMU KWA DAR WAPI WANATENGENEZA HIZO TOROLI? CHANGAMOTO YA PILI NI KUMPATA KIJANA WA KUMKODISHA
mafundi wa kuchomelea wote wanaweza kutengeneza matoroli.
Pili mtu wa kumkodisha ni ww kuangalia mazingira hata nyumbani unaweza kuyaweka kikubwa je ni kuna huo uhitaji? Au vijiweni maeneno ya hard ware, sokoni, center kwenye muingiliano wa shughuli mbali mbali za mizigo n.k
 
Nafanya stationery....inalipa sana.
hv stationery inarudishaje faida et, mana copy shiling 50 afu printing 100 but ile machne ya copy inauzwa zaid ya 1milion.....naonaga kama ina return ndogo et
 
hv stationery inarudishaje faida et, mana copy shiling 50 afu printing 100 but ile machne ya copy inauzwa zaid ya 1milion.....naonaga kama ina return ndogo et
inategemeana na location mf. Jamaa angu ana stationary copy sh 100. Kuprint @sh500. Bado makorokoro kibao kama madaftari,kalamu,penseli,vitabu,bible,maua,manila card,lamination,tape,hapo hapo anauza vitu vya urembo vidgvidgo.
Yaani kiufupi stationary yake amesheheni vitu vingi sana. Vichezeo vya watoto ndio usiseme na ndo anauza kuliko hata kupiga copy ila kama endapo wewe kazi yako ji kupiga tu copy na kuchapa utachelewa sana kuona faida.
 
n kweli asee pia naona akiongezea mpesa hapo itakua poa
inategemeana na location mf. Jamaa angu ana stationary copy sh 100. Kuprint @sh500. Bado makorokoro kibao kama madaftari,kalamu,penseli,vitabu,bible,maua,manila card,lamination,tape,hapo hapo anauza vitu vya urembo vidgvidgo.
Yaani kiufupi stationary yake amesheheni vitu vingi sana. Vichezeo vya watoto ndio usiseme na ndo anauza kuliko hata kupiga copy ila kama endapo wewe kazi yako ji kupiga tu copy na kuchapa utachelewa sana kuona faida.
 

Make money online now
hawa wahuni achana nao utapoteza tu mda wako
ukitaka kutoa hela wanataka uwe na referral 40,kama huna referal wanasema ulipe ili wakupe referal(tangu lini boss akahtaji pesa kutoka kwa mfanyakazi wake?) , ukishalipa yanaaza mambo ya "server down" mara paap ur accout is blocked daaaaaah wahuni sio watu[emoji41]
20191104_161753.jpeg
20191104_161304.jpeg
 
Back
Top Bottom