Mimi_chusy
New Member
- Sep 10, 2022
- 2
- 1
TrueBlack people share cigarettes and beers but never opportunities.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TrueBlack people share cigarettes and beers but never opportunities.
Hii ni sehemu ya kupeana machimbo,hizi comments zinaishi, kwanini usiweke hapa kwa faida ya wote?Njoo PM
Bei ganiNauza iPad wakuu usijali kuhusu bei
0742537423View attachment 1523882
Nasikia siku hizi zimekua adimu kabisa kuna wachina wamekamata sokoNANUNUA UUME ZA NG'OMBE KWA KILO ZIZOKAUSHWA VIZURI.
NICHEKI WASAP 0742537423
Sidhani kama kuja PM ni vigumu kama mtu ana shida. Waliokuja PM kuna niliowapeleka, kuna niliowatumia namba direct, kuna niliowaelekeza bila malipo au kuomba kitu chochote. Ushuhuda watatoa hapa. Na maana yangu kuwaambia waje PM ni hiyo. Mimi siko vizuri kwenye kukariri mitaa ya Kariakoo na kumuelezea mtu, najua njia tu, mtu kuwasiliana kwa ukaribu inakuwa rahisi.Hii ni sehemu ya kupeana machimbo,hizi comments zinaishi, kwanini usiweke hapa kwa faida ya wote?
Kila la kheriSidhani kama kuja PM ni vigumu kama mtu ana shida. Waliokuja PM kuna niliowapeleka, kuna niliowatumia namba direct, kuna niliowaelekeza bila malipo au kuomba kitu chochote. Ushuhuda watatoa hapa. Na maana yangu kuwaambia waje PM ni hiyo. Mimi siko vizuri kwenye kukariri mitaa ya Kariakoo na kumuelezea mtu, najua njia tu, mtu kuwasiliana kwa ukaribu inakuwa rahisi.
Natamani nianze hii bzness ya perfume, pia unaweza share ni perfume za aina gani unauza ,ni zile za kupima au za kawaida.Nlianza biashara ya urembo wa wanawake bila mtaji wa maana, naweza kusema kama haikuwa 30000 basi haizidi 50,0000, naweza kusema nlianza nikiwa chuo mwaka wa pili. Hapa ni baada ya kujaribu biashara ya viatu vya kimaasai mwaka wa kwanza nikiwa naagiza Kenya baadae supplier wangu akapotea ghafla na biashara yangu ikawa imeishia hapo. Nmesoma mpaka mwaka wa tano nafanya hii biashara ya urembo nikiwa nawauzia wanachuo wenzangu. Kusema ukweli biashara ile ndo ilinitunza mpaka namaliza masomo yangu. Nilikuwa nshakuwa na market kubwa mnooo. Kipindi nipo mwaka wa tano ndo corona ikatokea. Aisee nlikuwa nmeagiza mzigo China, nmewaagizia pia na watu mpaka tunaongea hapa mzigo haujawahi kufika. Nlipata hasara kubwa mno nkarudi zero.
Sasa hivi ndo narudi kidogo kidogo, nafanya biashara bila mtaji na duka nlishafunga. Kwa siku naweza kuingiza faida ya 20000 mpaka 30000. Tarehe za mishahara nishazoea kuingiza laki, elfu themanini tena kwa mkupuo. Nmeshindwa kusimama tena haraka apart from faida ninayoingiza kwa sababu ya madeni, ni vile niliwaagizia watu mizigo na ndo hivyo nkapata hasira kwa hiyo shida imekuwa kulipa madeni na mimi sio mtu wa kukaa kwa amani ili hali nkijua kuna mtu ananililia hela ake, lakin namshukuru Mungu almost 80% nmelipa.
Nimependa pia kuchangia kwenye uzi huu ila biashara ya urembo wa wanawake inalipa. Na siwez kujua kinachonisaidia ni ile market ambayo nlishajijengea tangu 2017 au ni baada ya kupata matatizo nmejifunza mambo mengi, nmepata machimbo ya kufa mtu Kariakoo ata sasa hivi siwazagi kuagiza mzigo China na bado suppliers wangu wananiamin kunipa ata pc moja kwa bei ya jumla. Lakini hii style inachosha sana sana.
Naamini kama kuna mtu hana liabilities wala madeni kama mimi hii biashara inaweza kumtoa kwa mtaji mdogo kabla hujawaza mitaji ya mamilioni huko.
Maana on my side ni kama nafanya bila ya kuwa na mtaji wowote. Hapa nimeongeza na biashara ya perfume nayo inanilipa na kitu cha kwanza uwa natengeneza uaminifu mkubwa na masupplier ili nikitaka ata moja wanipe kwa bei ya jumla
Hongera japo story yako ina relate na mtu alienipigaNlianza biashara ya urembo wa wanawake bila mtaji wa maana, naweza kusema kama haikuwa 30000 basi haizidi 50,0000, naweza kusema nlianza nikiwa chuo mwaka wa pili. Hapa ni baada ya kujaribu biashara ya viatu vya kimaasai mwaka wa kwanza nikiwa naagiza Kenya baadae supplier wangu akapotea ghafla na biashara yangu ikawa imeishia hapo. Nmesoma mpaka mwaka wa tano nafanya hii biashara ya urembo nikiwa nawauzia wanachuo wenzangu. Kusema ukweli biashara ile ndo ilinitunza mpaka namaliza masomo yangu. Nilikuwa nshakuwa na market kubwa mnooo. Kipindi nipo mwaka wa tano ndo corona ikatokea. Aisee nlikuwa nmeagiza mzigo China, nmewaagizia pia na watu mpaka tunaongea hapa mzigo haujawahi kufika. Nlipata hasara kubwa mno nkarudi zero.
Sasa hivi ndo narudi kidogo kidogo, nafanya biashara bila mtaji na duka nlishafunga. Kwa siku naweza kuingiza faida ya 20000 mpaka 30000. Tarehe za mishahara nishazoea kuingiza laki, elfu themanini tena kwa mkupuo. Nmeshindwa kusimama tena haraka apart from faida ninayoingiza kwa sababu ya madeni, ni vile niliwaagizia watu mizigo na ndo hivyo nkapata hasira kwa hiyo shida imekuwa kulipa madeni na mimi sio mtu wa kukaa kwa amani ili hali nkijua kuna mtu ananililia hela ake, lakin namshukuru Mungu almost 80% nmelipa.
Nimependa pia kuchangia kwenye uzi huu ila biashara ya urembo wa wanawake inalipa. Na siwez kujua kinachonisaidia ni ile market ambayo nlishajijengea tangu 2017 au ni baada ya kupata matatizo nmejifunza mambo mengi, nmepata machimbo ya kufa mtu Kariakoo ata sasa hivi siwazagi kuagiza mzigo China na bado suppliers wangu wananiamin kunipa ata pc moja kwa bei ya jumla. Lakini hii style inachosha sana sana.
Naamini kama kuna mtu hana liabilities wala madeni kama mimi hii biashara inaweza kumtoa kwa mtaji mdogo kabla hujawaza mitaji ya mamilioni huko.
Maana on my side ni kama nafanya bila ya kuwa na mtaji wowote. Hapa nimeongeza na biashara ya perfume nayo inanilipa na kitu cha kwanza uwa natengeneza uaminifu mkubwa na masupplier ili nikitaka ata moja wanipe kwa bei ya jumla
Hii naona inategemea na eneo piaBiashara ya tofari za block ,ukiwa mjanja kwenye hii busines utauza milioni 1 mpaka 4m kwa siku kwa wastani, kikubwa mtaji, customer care na usimamizi. Talking from experience not theoretically
nb'. Pesa utakayoipata zidisha 2/3=faida
Za kawaidaNatamani nianze hii bzness ya perfume, pia unaweza share ni perfume za aina gani unauza ,ni zile za kupima au za kawaida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza ukawa una matukio ya kula kimasihara au mzee wa gambe, una chuma ulete, una matumizi makubwa kuliko mapato yako.mimi janja janja huwa naingiza kuanzia elfu 30, kazi zenyewe za hovyo sana yaani;
1. Kuwafungulia watu email account/whatsap/facebook n.k..kwa elfu 5 kwa kimoja
2. kuweka windows na programes zingine ktk computer mbali mbali, kwa computer moja kiwango cha chini elfu 20
3. Diamond/Alikiba wakitoa nyimbo mpya ni furaha kwangu, nitawaingizia watu ktk flash/memory/simu..wimbo kwa shilingi 100, season...moja kwa shilingi 100 (kwa siku upande huu pekee unanipa zaidi ya elfu 30)
4. Nauza bits za injili walizotengeneza watu wengine 😎 ...nasaidia na kutafutia tyuni ya kwenda na hiyo biti..elfu 5 kwa moja😛
5. Nina mashine za photocopy, printing na scanning, passport ...hii yote kwa siku lazima inikusanyie kuanzia elfu 30
6. Nina idea kidogo ya ufundi, simu na computer na vifaa vingine vya umeme...narekebisha vifaa kwa bei ndogo ila si chini ya elfu 5 nikishindwa niwaunganisha wateja na mafundi wengine😀😀
7. Sura yangu na matendo yangu hayana shaka naaminika....hela zinakuja toka pande zote
Vyote hivyo ni pesa tupu...cha ajabu bado maisha yananizodoa jamani🙁🙁🙁🙁
hata sielewi ndugu yanguUnaweza ukawa una matukio ya kula kimasihara au mzee wa gambe, una chuma ulete, una matumizi makubwa kuliko mapato yako.
Hellow dada, kama una nafasi nakuomba unielekeze, PM yako nimejaribu kukutafuta ila naambiwa siwezi kukutumia mesejiTusubiri thikukuu iishe bro
Nimependa unavyompambania mkeo
Usijali ..nitakufundisha Tena vile ana salon atapiga Sana pesa.
Bado unauza kitimoto?Mim nadeal na kitimoto aise kila nikiuza kila 10 faida yake ni 40000 kwa vile mm nitanunua kwa mchinyajiji buku 5 kwa kilo mim nitauza kwa elfu 9000 kwa kilo hvyo huwa nikiuuza kilo 30 kwa siku ckozi faida ya laki moja kwa siku mtaji wa kilo 30 ni laki na 50 hvyo ikipata ofc au pahala hakikisha anzisha business hii laki kwa siku mim huwa ni kawaida ...nawasilisha kama unaitaji maelezo zaid check me DM /pm nitakupa abcd
Unacheza option gani mkuu....Mimi nina beti na sioni haya kumwambia mtu maisha yangu yanategemea betting kwa kiasi kikubwa.
Kwa siku natafuta odds 2 - 4 naweka mpunga wa kutosha mfn 50k - 100k nakula kuanzia 100k - 400k Faida yangu huanzia 50k - 300k.
KUMBUKA: siku hazifanani, sio kila siku nakula, naweza liwa kila siku kwa wiki nzima. Ila namshukuru Mungu hasara napata ila sijawahi kupunwa kila siku kwa wiki nzima.
Nikipunwa siku mbili mfululizo natulia hata siku nne ndo naendelea kama kawa.
Vile naweza kula kila siku kwa wiki nzima, ishanitokea na hunitokea mara kwa mara.
Kwa experience yako kwa sasa kazi kama hii inatakiwa uweke wapi ikiwa huna mtaji wa kwenda townNgoja niwape udaku huu,nakumbuka miaka ya 2007 sikuwa na mtaji wa keshi isipo kua nilikua na ufundi wa simu,ambao nilifundishwa na jamaangu mmoja anaitwa masasi alikua fundi mzuri sana asie na uchoyo....
Wakati nikijifunza kazi hiyo ofcn kwake alikua akiingiza sio chini ya laki 1 mbaka zaidi hii ilini fanya nijitume kujua kazi hiyo vema.nilipo jua ndipo nikakopa vitendea kazi nikaanza kazi mdogo mdogo kwa kwwli elf 20 paday mbaka 40 sikukosa hapo ndipo nilipo tokea.